CEO Simba SC nampa pongezi kwa ubunifu

CEO Simba SC nampa pongezi kwa ubunifu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ins52160607660_5a69fffb164c4fbe8862ad8d39e8d299_364794889_18365877286071034_219227575291084014...jpg


Hamasa ya Wiki ya Simba katika Uwanja wa Buza Kanisani. Huko wamekuja na Kibegi Part Two ambapo mashibiki mamilioni watashindana kupata tiketi 20 za Platnum. Mashabiki hao watashindana kwa kutuma SMS yenye neno Simba kwenda na.909192 itakayokatwa Sh.1,000 tu.

Hili na tukio la jana la mnada wa jezi na mengine mengi ambayo yamefanywa kuelekea msimu ujao ni ubunifu mzuri unaotakiwa kuingwa na vilabu vingine. Hongera CEO Kajula.

Hili ni zuri zaidi kwa sababu kama hamasa ya nguvu ikifanyika wakafika hata washiriki milioni 1 basi Simba Sc itatengeneza pesa nzuri sana. Lakini pia mashabiki waambiwe hii ni namna rahisi sana ya kusapoti club yao. Badala ya kubaki kulalamika kwa nini klabu inashindwa kusajili mchezaji wa 500m. Ni shabiki gani anashindwa hili kwa gharama ya buku?
 
Kajula ndio marketing bora East Africa
So Unaweza kuona simba ina mtu wa aina gani
 
Robatinyo anajipiga kifuani anakwambia "SIMBAA MOJA" badala ya SIMBA NGUVU MOJA.

Ila yule mzee bana😂
 
Back
Top Bottom