CEO Simba SC: Ni kama upo kwenye mahusiano mnaachana halafu bado unamlazimisha mpenzi wako wa zamani arudi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


"Kesi ya Morrison na Yanga bado ipo na kuna baadhi ya wanasheria wanatusaidia kwenye hiyo kesi.

Naona Yanga bado wanahangaika. Ni kama upo kwenye mahusiano mnaachana halafu bado unamlazimisha mpenzi wako wa zamani arudi.

Mmeachana, hakutaki, ameshaendelea na maisha mengine, bado unamng’ang’ania wa nini? Halafu mwenzio ana maisha yake hakusubiri. Achana nae". Amesema CEO Mrembo kuliko maCEO wote duniani
 
 
Mfano mfu iliyotolewa na PHD holder,[emoji28][emoji28]
 
Demu wa Mo nae kawa mswahilu tu, mambo ya utaalamu anaweza madimamango hapa. Kama anadhani Simba ni ya mumewe Mo basi asubiri chorus.
 
Demu wa Mo nae kawa mswahilu tu, mambo ya utaalamu anaweza madimamango hapa. Kama anadhani Simba ni ya mumewe Mo basi asubiri chorus.
Maneno ya wakosaji
 
Utopolo wamesajili wachezaji kumi kimataifa ukimweka na Morison wanakuwa wachezaji kumi na moja wakati hawana sifa ya kusajili wachezaji zaidi ya kumi
 
Nako kameanza ujinga! Anachokitaka atakipata, hizi ngonjera amwachie vuvuzela!
 
MIMI NILISIKIA TU PALE ALIPOULIZWA NA MSIKILIZAJI MMOJA KAMA AMEOLEWA AU ANA BOYFRIEND?
AKAKATAA KUJIBU AKILALAMIKA WASIKILIZAJI HAWAMTENDEI HAKI KWA SWALI HILO.
SASA SIJUI ALISHINDWA NINI KUJIBU.
 
MIMI NILISIKIA TU PALE ALIPOULIZWA NA MSIKILIZAJI MMOJA KAMA AMEOLEWA AU ANA BOYFRIEND?
AKAKATAA KUJIBU AKILALAMIKA WASIKILIZAJI HAWAMTENDEI HAKI KWA SWALI HILO.
SASA SIJUI ALISHINDWA NINI KUJIBU.
Yule Bi-mkubwa ana-stress.
 
Huyu Demu wa Mkude kumbe ni Mswahiliswahili?
 
MIMI NILISIKIA TU PALE ALIPOULIZWA NA MSIKILIZAJI MMOJA KAMA AMEOLEWA AU ANA BOYFRIEND?
AKAKATAA KUJIBU AKILALAMIKA WASIKILIZAJI HAWAMTENDEI HAKI KWA SWALI HILO.
SASA SIJUI ALISHINDWA NINI KUJIBU.
Ilo swali halihusiani na kazi yake halafu inaonyesha upeo wetu ulivyo tumeweka ngono mbele sio sinema au muziki ngono inachukua nafasi kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…