CEO wa JKT, Jemedari Said ataweza kuikosoa timu hiyo redioni Crown FM?

CEO wa JKT, Jemedari Said ataweza kuikosoa timu hiyo redioni Crown FM?

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Nauliza tu huyu jamaa ambaye huku ni mchambuzi wa mpira Crown FM huku ni CEO wa JKT Tanzania ataweza kutofautisha vipi haya mawili?

Asije kuongea kwa hisia akajikuta amefungiwa muda mrefu TFF
IMG_1952.jpeg
 
Huyu jamaa anajirundikia majukumu ambayo kiuhalisia hayatakiwi kwenda pamoja kwa wakati mmoja.

Yaani yeye ni wakala wa wachezaji, ni mchambuzi (ambaye wakati mwingine anaikosoa vikali timu ambayo wateja wake wanachezea) na sasa ni CEO wa timu nyingine. Na hapo inawezekana ana majukumu mengine katika soka.

Nimegundua kiwanda cha mpira wa miguu Tanzania bado kina uhaba mkubwa wa watu wa kufanya kazi mbalimbali ndiyo maana jambo kama hili linatokea.
 
Huyu jamaa anajirundikia majukumu ambayo kiuhalisia hayatakiwi kwenda pamoja kwa wakati mmoja.

Yaani yeye ni wakala wa wachezaji, ni mchambuzi (ambaye wakati mwingine anaikosoa vikali timu ambayo wateja wake wanachezea) na sasa ni CEO wa timu nyingine. Na hapo inawezekana ana majukumu mengine katika soka.

Nimegundua kiwanda cha mpira wa miguu Tanzania bado kina uhaba mkubwa wa watu wa kufanya kazi mbalimbali ndiyo maana jambo kama hili linatokea.
Hakika pia tamaa
 
Back
Top Bottom