Sio kwamba wanafanikishwa ili kuhamasisha tabia mbaya , ama kutumiwa[emoji848][emoji848]Hivi kwanin watu wenye tabia mbaya hufanikiwa sana dunian materially!
Shetani yupo nyuma yake.Hivi kwanin watu wenye tabia mbaya hufanikiwa sana dunian materially!
tena sana wauza madawa ya kulevya, wauaji, watekaji, mafisad, nk kuna muda hadi nawaza hv au binadamu wengine tunaish kinyume nyumeHivi kwanin watu wenye tabia mbaya hufanikiwa sana dunian materially!
ukute kuna taarfa kama za dini ni kwa ajiri ya kupumbazana ili waovu waishi vizuri kwa mgongo wa ujinga wa wengine.tena sana wauza madawa ya kulevya, wauaji, watekaji, mafisad, nk kuna muda hadi nawaza hv au binadamu wengine tunaish kinyume nyume
Ata ceo wa apple tim cook ni shogaDunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa.
Haya mambo haya baada ya miaka 30 wanaume watakuwa wa kutafuta kwa torch
Dunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa.
Haya mambo haya baada ya miaka 30 wanaume watakuwa wa kutafuta kwa torch
Harufu ya🤮🤮🤮🤮🤮🤮