GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
PopomaHaya Maupuuzi yenu mnayoyafanya sasa Kutuvutia Mashabiki wenu ( GENTAMYCINE nikiwemo ) yatatuingia vyema Mashabiki wenu pale tu tukisia Timu ( Simba SC ) imesajili Watu ( Wachezaji wa Kazi ) tupu ili kutupa Raha katika Mashindano yote yajayo kwa Kubeba kila Kombe litakalokuja mbele yetu.
wape uhuru wafanye watakavyoHaya Maupuuzi yenu mnayoyafanya sasa Kutuvutia Mashabiki wenu ( GENTAMYCINE nikiwemo ) yatatuingia vyema Mashabiki wenu pale tu tukisia Timu ( Simba SC ) imesajili Watu ( Wachezaji wa Kazi ) tupu ili kutupa Raha katika Mashindano yote yajayo kwa Kubeba kila Kombe litakalokuja mbele yetu.
Umeshituka na tangazo la mnada?Haya Maupuuzi yenu mnayoyafanya sasa Kutuvutia Mashabiki wenu ( GENTAMYCINE nikiwemo ) yatatuingia vyema Mashabiki wenu pale tu tukisia Timu ( Simba SC ) imesajili Watu ( Wachezaji wa Kazi ) tupu ili kutupa Raha katika Mashindano yote yajayo kwa Kubeba kila Kombe litakalokuja mbele yetu.
Nasikia wewe GENTAMYCINE ni shabiki wa yangaHaya Maupuuzi yenu mnayoyafanya sasa Kutuvutia Mashabiki wenu ( GENTAMYCINE nikiwemo ) yatatuingia vyema Mashabiki wenu pale tu tukisia Timu ( Simba SC ) imesajili Watu ( Wachezaji wa Kazi ) tupu ili kutupa Raha katika Mashindano yote yajayo kwa Kubeba kila Kombe litakalokuja mbele yetu.
brother humu wenye akili ni wachache mno,mmoja wapo ni wewe,japo mie ni yanga lakini nikisoma posts zako sichukui japo zingine zinakera lakini nina stahmala kubwa sanaHaya Maupuuzi yenu mnayoyafanya sasa Kutuvutia Mashabiki wenu ( GENTAMYCINE nikiwemo ) yatatuingia vyema Mashabiki wenu pale tu tukisia Timu ( Simba SC ) imesajili Watu ( Wachezaji wa Kazi ) tupu ili kutupa Raha katika Mashindano yote yajayo kwa Kubeba kila Kombe litakalokuja mbele yetu.
Kwani wale wachezaji wa msimu uliopita wanashida gani?Haya Maupuuzi yenu mnayoyafanya sasa Kutuvutia Mashabiki wenu ( GENTAMYCINE nikiwemo ) yatatuingia vyema Mashabiki wenu pale tu tukisia Timu ( Simba SC ) imesajili Watu ( Wachezaji wa Kazi ) tupu ili kutupa Raha katika Mashindano yote yajayo kwa Kubeba kila Kombe litakalokuja mbele yetu.
..Hata sisi yanga pia
Na hata shabiki wa azam wanataka hivyo pia
Kifupi ni ndoto ya kila shabiki
Mwanaume mwenzako ana kuumizaje mtani..?MWAMEDI mwenyewe Haeleweki ana in and out nyingi sana. Anasusasusa sana
Mo ANATUUMIZA sana wapenzi WA hiki kilabu.
Bora Aondoke.
Dah, siamini kama ni wewe umeandika hayaMWAMEDI mwenyewe Haeleweki ana in and out nyingi sana. Anasusasusa sana
Mo ANATUUMIZA sana wapenzi WA hiki kilabu.
Bora Aondoke.
Hivi Akpan, Bocco,n.k ukiwapa mshahara anaopokea Lionel Messi kama motisha wanaweza kubadilika? Yaani mbwa koko, tena aliyezeeka anaweza kufanya kuwa mkali kama Germany shepherd kwa kumbadilishia menu? Broo hapo umetoa boko la nusu mwaka.Kwani wale wachezaji wa msimu uliopita wanashida gani?
Ni swala la kuwaongezea Motisha tu ili wafanye vizuri zaidi ya walipoishia. So mimi nashauri safari hii Simba wasijikite na swala la usajili, wak8sajiri sana iwe mchezaji mmoja au wawili.