CEO-YANGA Tumeshatimiza Malengo hayo Mengine yakija ni Bahati tuu?

CEO-YANGA Tumeshatimiza Malengo hayo Mengine yakija ni Bahati tuu?

ikigijo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
1,839
Reaction score
1,902
CEO wa Yanga Eng.Hersi saidi alisikika akisema wao Mpango wao ilikuwa ni Kufika Makundi!
Ina Maana Matokeo Mengine yakija ni Bahati tuu Au Mbeleko?

Au ndio kwenda unajificha kwa kuogopa?
Hakuna Kitu Muhimu kama Kujiamini ktk Maisha au kitu ifanyacho.
Unachokiomba ndio utapata.

Either unataka pa kujificha ili uje ufanye Surprise kwa watu Ama kujificha kwa lawana!
Yote kwa yote unataka tuamini kuwa ukisonga mbele ni Bahati au mbeleko sababu haukuwa na Mpango huo,Ina maana pia Haukuwa na Mikakati ya Kwenda mbali zaidi.
Be as Engineer,
Be as A leader Acha Uoga.
Sisi ni Waelewa..Over
Unenayo ndio hutokea.
 
CEO wa Yanga Eng.Hersi saidi alisikika akisema wao Mpango wao ilikuwa ni Kufika Makundi!
Ina Maana Matokeo Mengine yakija ni Bahati tuu Au Mbeleko?

Au ndio kwenda unajificha kwa kuogopa?
Hakuna Kitu Muhimu kama Kujiamini ktk Maisha au kitu ifanyacho.
Unachokiomba ndio utapata.

Either unataka pa kujificha ili uje ufanye Surprise kwa watu Ama kujificha kwa lawana!
Yote kwa yote unataka tuamini kuwa ukisonga mbele ni Bahati au mbeleko sababu haukuwa na Mpango huo,Ina maana pia Haukuwa na Mikakati ya Kwenda mbali zaidi.
Be as Engineer,
Be as A leader Acha Uoga.
Sisi ni Waelewa..Over
Unenayo ndio hutokea.
Hersi ni CEO? mbumbumbu [emoji706]
 
CEO wa Yanga Eng.Hersi saidi alisikika akisema wao Mpango wao ilikuwa ni Kufika Makundi!
Ina Maana Matokeo Mengine yakija ni Bahati tuu Au Mbeleko?

Au ndio kwenda unajificha kwa kuogopa?
Hakuna Kitu Muhimu kama Kujiamini ktk Maisha au kitu ifanyacho.
Unachokiomba ndio utapata.

Either unataka pa kujificha ili uje ufanye Surprise kwa watu Ama kujificha kwa lawana!
Yote kwa yote unataka tuamini kuwa ukisonga mbele ni Bahati au mbeleko sababu haukuwa na Mpango huo,Ina maana pia Haukuwa na Mikakati ya Kwenda mbali zaidi.
Be as Engineer,
Be as A leader Acha Uoga.
Sisi ni Waelewa..Over
Unenayo ndio hutokea.
Tutafungwa mechi zote za makundi Ili mfurahi,ahaaaa
 
CEO wa Yanga Eng.Hersi saidi alisikika akisema wao Mpango wao ilikuwa ni Kufika Makundi!
Ina Maana Matokeo Mengine yakija ni Bahati tuu Au Mbeleko?

Au ndio kwenda unajificha kwa kuogopa?
Hakuna Kitu Muhimu kama Kujiamini ktk Maisha au kitu ifanyacho.
Unachokiomba ndio utapata.

Either unataka pa kujificha ili uje ufanye Surprise kwa watu Ama kujificha kwa lawana!
Yote kwa yote unataka tuamini kuwa ukisonga mbele ni Bahati au mbeleko sababu haukuwa na Mpango huo,Ina maana pia Haukuwa na Mikakati ya Kwenda mbali zaidi.
Be as Engineer,
Be as A leader Acha Uoga.
Sisi ni Waelewa..Over
Unenayo ndio hutokea.
Eng. Hersi sio CEO wa Yanga
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Eng. Hersi sio CEO wa Yanga

sawa Nineandika kimkakati sanaa Ujue!
Akija hapa Kubweka,
Namwsmbia wewe Hersi kwani ni CEO![emoji19][emoji16]
Ila Ujumbe unakuwa ameupata,
Nakuwa Nimeshamruka!

Ila Ukweli ameambiwa hajiamini,
Eti malengo ni Kufika Makundi tuu,
Ina Maana Timu ikienda mbele ni kwa mbeleko.
Unajua lazima uwe na Mipango/Objectives na Action Plan,

Action Plan kila Mtu azijue ili Twende pamoja,Tukifeli tunafeli wote!
tukishinda tunashinda wote kweupe!
Sio Anajifichia eti KwenyMakundi,
Basi Aondoe timu sababu hakuwa na Maandalizi ya kufika mbele![emoji17][emoji18]
 
CEO wa Yanga Eng.Hersi saidi alisikika akisema wao Mpango wao ilikuwa ni Kufika Makundi!
Ina Maana Matokeo Mengine yakija ni Bahati tuu Au Mbeleko?

Au ndio kwenda unajificha kwa kuogopa?
Hakuna Kitu Muhimu kama Kujiamini ktk Maisha au kitu ifanyacho.
Unachokiomba ndio utapata.

Either unataka pa kujificha ili uje ufanye Surprise kwa watu Ama kujificha kwa lawana!
Yote kwa yote unataka tuamini kuwa ukisonga mbele ni Bahati au mbeleko sababu haukuwa na Mpango huo,Ina maana pia Haukuwa na Mikakati ya Kwenda mbali zaidi.
Be as Engineer,
Be as A leader Acha Uoga.
Sisi ni Waelewa..Over
Unenayo ndio hutokea.

Hawataki kuwapa presha wachezaji
Na matarajio makubwa mashabiki
Lkn kiuhalisia lengo la moyoni at least wafike robo fainal
 
sawa Nineandika kimkakati sanaa Ujue!
Akija hapa Kubweka,
Namwsmbia wewe Hersi kwani ni CEO![emoji19][emoji16]
Ila Ujumbe unakuwa ameupata,
Nakuwa Nimeshamruka!

Ila Ukweli ameambiwa hajiamini,
Eti malengo ni Kufika Makundi tuu,
Ina Maana Timu ikienda mbele ni kwa mbeleko.
Unajua lazima uwe na Mipango/Objectives na Action Plan,

Action Plan kila Mtu azijue ili Twende pamoja,Tukifeli tunafeli wote!
tukishinda tunashinda wote kweupe!
Sio Anajifichia eti KwenyMakundi,
Basi Aondoe timu sababu hakuwa na Maandalizi ya kufika mbele![emoji17][emoji18]
Tuachachane na ushabiki tuongee realty ya maisha kipi bora kuweka malengo ambayo huwezi kuyafikia au kuweka malengo ambayo unaweza kuyafafikia?
 
CEO wa Yanga Eng.Hersi saidi alisikika akisema wao Mpango wao ilikuwa ni Kufika Makundi!
Ina Maana Matokeo Mengine yakija ni Bahati tuu Au Mbeleko?

Au ndio kwenda unajificha kwa kuogopa?
Hakuna Kitu Muhimu kama Kujiamini ktk Maisha au kitu ifanyacho.
Unachokiomba ndio utapata.

Either unataka pa kujificha ili uje ufanye Surprise kwa watu Ama kujificha kwa lawana!
Yote kwa yote unataka tuamini kuwa ukisonga mbele ni Bahati au mbeleko sababu haukuwa na Mpango huo,Ina maana pia Haukuwa na Mikakati ya Kwenda mbali zaidi.
Be as Engineer,
Be as A leader Acha Uoga.
Sisi ni Waelewa..Over
Unenayo ndio hutokea.
Acha ndumu kijana. CEO wa Young Africans anaitwa Andrew Mtine huyo uliyemnukuu hatumfahamu.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hilo kosa la uandishi ni dogo kuweza kufuta ujumbe. Ujumbe ni kwamba Hersi amesema lengo la Yanga limeshatimia, hata wasipoingia robo fainali asilaumiwe mtu. Kwa hiyo mnaodhani Yanga ana nia ya kuendelea zaidi ya hapo mnapingana na mawazo ya Hersi
Kwako ni dogo ila kwa wenye timamu ni kubwa huwezi kusema waziri mkuu Samia watu wakuone una timamu
 
Back
Top Bottom