Certificate in laboratory technology

Planner

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
348
Reaction score
148
Wadau naomba msaada wenu kujua vyuo vya serikali vinavyotoa Certificate ya mambo ya maabara,kuna dogo ananisumbua ila hakusoma physics o level.Je ni sifa zipi anatakiwa kuwa nazo ili apate kozi hiyo.Natanguliza shukrani
 
Planner,

Mbona hii imekaa kama ni wewe ndiyo mwenye shida hiyo ha ha ha ha.


Wadau naomba msaada wenu kujua vyuo vya serikali vinavyotoa Certificate ya mambo ya maabara,kuna dogo ananisumbua ila hakusoma physics o level.Je ni sifa zipi anatakiwa kuwa nazo ili apate kozi hiyo.Natanguliza shukrani
 
Tafuta magazeti la Dailynews na Mwananchi ya juzi kama sijakosea kulikua na tangazo la wizara ya afya kuwaalika watu kuomba nafasi hizo.
 
Wadau naomba msaada wenu kujua vyuo vya serikali vinavyotoa Certificate ya mambo ya maabara,kuna dogo ananisumbua ila hakusoma physics o level.Je ni sifa zipi anatakiwa kuwa nazo ili apate kozi hiyo.Natanguliza shukrani

Chuo cha maabara singida hospitali ya mkoa mi mimesomea hapo certificate ya maabara ni chuo pekee cha serikali phyisics sio kigezo sana niliingia kwa biology c na kemia c mwisho ni D kuna uombaji wa aina mbili kuandikisha CONT
 
Kuandikisha jina kwa Mganga mkuu ili ufanye mtihani mwezi wa tatu ila hii umeshachelewa maana wanafanya Tz yote na wizara inachagua ada 280,000/year chakula utakula chuni kulala ni chuoni pia kuna private ni sh 560,000/year chakula mabweni chuoni hapohapo kwa gharama hiyo Unachotakiwa nikwenda chuoni na barua ya kuomba nafasi na vyeti unapeleka pale wao ndio watakuombea nafasi wizarani maana nafasi 40 ni za waliofanya mitihani 40 private wanaodhaminiwa na chuo vyuo vingine ni NKINGA-TBR KOLANDOTO-shy MVUMI
 
Chuo cha maabara singida hospitali ya mkoa mi mimesomea hapo certificate ya maabara ni chuo pekee cha serikali phyisics sio kigezo sana niliingia kwa biology c na kemia c mwisho ni D kuna uombaji wa aina mbili kuandikisha CONT

Baada ya cerificate unaenda Diploma chuo gani??mimi kuna dogo anamalizia cert ila private hapo Mount Mkombozi,nitapenda labda akimaliza aunge na Dip,ni wapi?
 
Test nkinga tabora diploma ya mwaka m
moja au muhimbili miaks mitatu au KCMC mitatu au Bugando mitatu au Ruaha iringa mitatu... ruaha nirahisi mno
 
kunipata Ni pm ntakupa maelekezo zaidi kwa simu mi mvivu kujibu sms za simu
 
Yes bro! Ukiwa na C ya bioz, D ya chem, D ya kingrza, D ya maths, unaweza pata hii certificat, bt f ya phy.
 
jaman haya matokeo yao lini/
maana wngne ualimu unatuchanganya/ kwa anayejuwa bac anijuze.coz wengne
hatuna hob na ualimu
 
jaman haya matokeo yao lini/
maana wngne ualimu unatuchanganya/ kwa anayejuwa bac anijuze.coz wengne
hatuna hob na ualimu
Afya nasikia kugumu sana katika selection vp umeomba dip au cheti ya kozi gani mkuu mwenzangu
 
Duh, jaman walio karibu na wizara jitahidin mfke wizaran, ili tuwe na specific time, maana wengne wamechaguliwa ualimu na huku wapo interested na afya.... Plz fanyeni hvyo wapendwa. Pia unaweza nijuza kupitia '0762767372, nawa <3
 
Duh, majanga sasa.. Tunasugua bench adi lini jamani!
 
wazeyaaa! kusugua mpaka mwezi wa 10 tarehe 12 kuna friend wangu 1 alienda kuulizia pale muhimbili so hamna jinsi tusubir
 
jaman haya matokeo yao lini/
maana wngne ualimu unatuchanganya/ kwa anayejuwa bac anijuze.coz wengne
hatuna hob na ualimu

Wewe upo kwenye ualimu ina maana afya ukichaguliwa huko ualimu unatoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…