vyuo vingi vya private ni magumashi hata wakufunzi wa kutosha hawana, chuo cha Bagamoyo nafikiri ni private na ndio kinaanza, ila hilo nafikiri si tatizo sana fuatilia ujue kama kimesajiliwa na NACTE au VETA.Kama kimesajiliwa, wakufunzi wapo wa kutosha na wenye sifa stahili kwa upande wa hiyo kozi binafsi naona ni relevant ukilinganisha na AHPC kwani vijijini hawajui kama kuna mtaalamu wa mazao tu/mifugo tu wao wanachokielewa ni kwamba bwana/bibi shamba anaelewa kila kitu kinachohusiana na kilimo dhana ambayo ni sahihi sana.