Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa cha ajabu nini....toa pen endelea na 50 zako....halafu usizoee sana kuingia kwenye pochi za kina dada.....
Wapendwa katika pilika za kutafuta pen kwa room yangu..nikaamua kufungua pochi ya shemeji/wifi yenu...tobaa nimekutana na cha Arusha!!!...nimedata nisaidieni....
ukiendlea hvyo na siku nyingine utakuta k-y gell!:A S kiss:
Ni kinini hicho cha Arusha
Tena ukimzingua anavuta then anakuweka sawa lol lazma ujute kumfahamu..
Mpaka hapa najuta kumfaham......