Hoja ya cha asubuhi je?🤣Hapa naunga mkono hoja yako ya mvua,bado hawajatoka pangoni,watatoka wooote Mpaji Mungu
Sema wewe ndio umekosea njia mbona Kuna thread kibao za kujenga nchi huko kwenye majukwaa husika...muache Kijana ajimwayemwaye bwanaNgoja waje wenye JF yao kukupa muongozo......
NB; kwa threads kama hizi hii nchi bado tuna safari ndefu.
Regards.
Mwili unakufa ganzi, usiku umelala usingizi wa mang'amng'am, asubuhi unaamshwa na sms za madeni. Unakiona kipapa hapo na huna mzuka.Ukikua utazoea....
Wenye madeni ya Ada vikoba rent hayo mambo tunayaona yakawaida saana
Mi sio mdau wa Cha asubuhi,nataka tuoge kabisa na vinywa viwe swaaaafi,ilkiwezekana tunywe na chai,,🥲🥲🥲🥲Hoja ya cha asubuhi je?🤣
Ni suala mda tu kila goti litapigwa!Hapa naunga mkono hoja yako ya mvua, bado hawajatoka pangoni, watatoka wooote Mpaji Mungu
Kwa hiyo wewe tayari ushapiga cha asubuhi?Hivi kwa nini cha asbh kinakuwaga kitamu sana na mnakuwa na mood flani ya tofauti sana?
Huh, I've passed off though I dunno how this JF aligorith works to bring me this impression!Sema wewe ndio umekosea njia mbona Kuna thread kibao za kujenga nchi huko kwenye majukwaa husika...muache Kijana ajimwayemwaye bwana
Cha asubuhi kina kanuni zake, no romance ni mwendo wa kukamatana na kukamatia, maandalizi yanakuwa tayari kila mtu yupo "ready-made".Mi sio mdau wa Cha asubuhi,nataka tuoge kabisa na vinywa viwe swaaaafi,ilkiwezekana tunywe na chai,,🥲🥲🥲🥲