Cha kushangaza eti January Makamba ndio kaonekana wa kuongoza majadiliano magumu ya uwekezaji wa gesi nchini

Cha kushangaza eti January Makamba ndio kaonekana wa kuongoza majadiliano magumu ya uwekezaji wa gesi nchini

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Ninavyoelewa majadiliano kuhusu uwekezaji wa kujenga kiwanda cha kuchakata gesi kupata NLG yalikua hayaendi haraka kwa sababu ya kuhakikisha uwekezaji unakua na faida kwa pande zote.

Tofauti na awamu zingine awamu ya 5 iliweka sheria mpya za uwekezaji ili kuhakikisha pande zote nchi na muwekezaji wanafaidika kwa sawa.

Sina hakika huyu January na team yake kuendesha kwa speed mazungumzo anaweza kutoka na mikataba yenye maslahi na tija kwa nchi au ndio yatakua yale ya kuruhusu mchanga madini yakatolewe huko mbele ya safari wakijidai ni mchanga usiokua na thamani.

Mama alisema anampa Prof Kabudi nguli wa sheria na mzalendo kazi maalum ikulu kama mshauri kuhakikisha mikataba inalinda maslahi ya nchi.

Tungependa kujua kama anashirikishwa kwenye mazungumzo au ilikua namna ya kumuweka pembeni.
 
Prof na Lukuvi waliondolewa kistarabu ili wapitishe mikataba ya ovyo .Hadi sqsa nqsikiq kwwnyw mauzo ya trillion 5 kwa mqaka serikali itaqmbulia billion 450
 
Ndugai anasemaje ?

Tushaanzwa kuuzwa au bado ? Yaani mpaka muuzaji na yeye anshituka gundua kwamba tupo kwenye danger zone....
 
Merdad alitaka kutuchelewesha mama alimpa miezi 6 ya makubaliono ila yeye kila kukicha akiulizwa anasema bado wataalamu wanafanya upembuzi yakinifu.Bora kaliwa kichwa aisee hakuwa na nia njema kwetu sisi wanakusini.
 
Prof na Lukuvi waliondolewa kistarabu ili wapitishe mikataba ya ovyo .Hadi sqsa nqsikiq kwwnyw mauzo ya trillion 5 kwa mqaka serikali itaqmbulia billion 450
Mkuu, unatakaka kusema kwamba serikali ingeshindwa kupitisha lolote kwa kuwa inawaogopa KABUDI na LUKUVI ?
 
Ninavyoelewa majadiliano kuhusu uwekezaji wa kujenga kiwanda cha kuchakata gesi kupata NLG yalikua hayaendi haraka kwa sababu ya kuhakikisha uwekezaji unakua na faida kwa pande zote. Tofauti na awamu zingine awamu ya 5 iliweka sheria mpya za uwekezaji ili kuhakikisha pande zote nchi na muwekezaji wanafaidika kwa sawa.
Sina hakika huyu january na team yake kuendesha kwa speed mazungumzo anaweza kutoka na mikataba yenye maslahi na tija kwa nchi au ndio yatakua yale ya kuruhusu mchanga madini yakatolewe huko mbele ya safari wakijidai ni mchanga usiokua na thamani.
Mama alisema anampa prof kabudi nguli wa sheria na mzalendo kazi maalum ikulu kama mshauri kuhakikisha mikataba inalinda maslahi ya nchi.
Tungependa kujua kama anashirikishwa kwenye mazungumzo au ilikua namna ya kumuweka pembeni.
Kwahiyo mkuu, kwako kitu kikienda polepole ndio kinakuhakikishia kwamba kimeenda kwa ufanisi na ubora ?
 
Ninavyoelewa majadiliano kuhusu uwekezaji wa kujenga kiwanda cha kuchakata gesi kupata NLG yalikua hayaendi haraka kwa sababu ya kuhakikisha uwekezaji unakua na faida kwa pande zote.
Ni LNG na sio NLG!. This is basic!
Tofauti na awamu zingine awamu ya 5 iliweka sheria mpya za uwekezaji ili kuhakikisha pande zote nchi na muwekezaji wanafaidika kwa sawa.
True na ndicho kinachofanyika
Sina hakika huyu january na team yake kuendesha kwa speed mazungumzo anaweza kutoka na mikataba yenye maslahi na tija kwa nchi au ndio yatakua yale ya kuruhusu mchanga madini yakatolewe huko mbele ya safari wakijidai ni mchanga usiokua na thamani.
Kama huna uhakika, what all this negativity?.
Mama alisema anampa prof kabudi nguli wa sheria na mzalendo kazi maalum ikulu kama mshauri kuhakikisha mikataba inalinda maslahi ya nchi.
Tungependa kujua kama anashirikishwa kwenye mazungumzo au ilikua namna ya kumuweka pembeni.
Anashirikishwa.
P
 
Kwahiyo mkuu, kwako kitu kikienda polepole ndio kinakuhakikishia kwamba kimeenda kwa ufanisi na ubora ?
Sasa spidi ni kama kutaka mbuzi afie kwa mtengeneza supu unaona ni sawa? Ujue nyerere hakua na haraka kwa madini kwa kujua tukifanya papara tutaliwa kwa kwenda mbele. Akaona yakae ardhini kwanza tukijenga uwezo wa kudhibiti mambo yetu.
 
Back
Top Bottom