Cha msingi ni kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na CCM mengine baadae

Cha msingi ni kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na CCM mengine baadae

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Licha ya ukweli kuwa katiba inagusa kila nyanja katika maisha ya watu,mimi kipaumbele changu kwa sasa ni kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na utawala huu wa CCM.Baada ya hapo mambo mengine yote yatafuata na yatakwenda "smoothly".

Tusijidanganya kupata katiba tunayoitaka chini ya utawala wowote wa CCM.Katiba bora,mbali na mambo mengine,maana yake ni kuwa CCM wanawajibika kwa kila "uovu" katika kila eneo iwe ni katika siasa,uchumi,elimu,afya n.k..Sasa katika mazingira kama haya unadhani hilo litawezekana?

Katiba bora chini ya CCM ni ndoto na ndio maana hata yale maboksi 17 yaliyowasilishwa na CHADEMA katika tume ya katiba yalikatawaliwa.Cha msingi kwa sasa ni kuelekeza nguvu kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na.CCM na baada ya hapo tunaweza kuiboresha katiba itakayokuwa imepatikana baada ya kukamilika huu mchakato wa sasa.

Katiba mpya si ajenda ya CCM bali ajenda ya CCM ni kubaki madarakani kadri inavyowezekana.

CC.Prof Baregu.
 
Mchakato wa katiba mpya ulifaa uanze baada ya CCM kuondoka madarakani!
 
Licha ya ukweli kuwa katiba inagusa kila nyanja katika maisha ya watu,mimi kipaumbele changu kwa sasa ni kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na utawala huu wa CCM.Baada ya hapo mambo mengine yote yatafuata na yatakwenda "smoothly".

Tusijidanganya kupata katiba tunayoitaka chini ya utawala wowote wa CCM.Katiba bora,mbali na mambo mengine,maana yake ni kuwa CCM wanawajibika kwa kila "uovu" katika kila eneo iwe ni katika siasa,uchumi,elimu,afya n.k..Sasa katika mazingira kama haya unadhani hilo litawezekana?

Katiba bora chini ya CCM ni ndoto na ndio maana hata yale maboksi 17 yaliyowasilishwa na CHADEMA katika tume ya katiba yalikatawaliwa.Cha msingi kwa sasa ni kuelekeza nguvu kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na.CCM na baada ya hapo tunaweza kuiboresha katiba itakayokuwa imepatikana baada ya kukamilika huu mchakato wa sasa.

Katiba mpya si ajenda ya CCM bali ajenda ya CCM ni kubaki madarakani kadri inavyowezekana.

CC.Prof Baregu.

Wewe una wazimu sana, Kwa hiyo unataka katiba ya Kumpeleka chadema Ikulu?
 
Wewe una wazimu sana, Kwa hiyo unataka katiba ya Kumpeleka chadema Ikulu?

Arusha wana msemo wako tayari kupigia kura jiwe kuliko CCM

Nami nasema ni bora hata kupeleka chizi Ikulu kuliko CCM
 
Mkuu mbona akili yako fupi sana kwa hiyo hayo ndiyo mawazo mnayotoa kwenye mabaraza yenu ya katiba.
 
Arusha wana msemo wako tayari kupigia kura jiwe kuliko CCM

Nami nasema ni bora hata kupeleka chizi Ikulu kuliko CCM
Arusha ipi unayoongelea wewe subili uone moto utakaowawakia unadhani arusha ni chadema kama unavyodhani.
 
Licha ya ukweli kuwa katiba inagusa kila nyanja katika maisha ya watu,mimi kipaumbele changu kwa sasa ni kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na utawala huu wa CCM.Baada ya hapo mambo mengine yote yatafuata na yatakwenda "smoothly".

Tusijidanganya kupata katiba tunayoitaka chini ya utawala wowote wa CCM.Katiba bora,mbali na mambo mengine,maana yake ni kuwa CCM wanawajibika kwa kila "uovu" katika kila eneo iwe ni katika siasa,uchumi,elimu,afya n.k..Sasa katika mazingira kama haya unadhani hilo litawezekana?

Katiba bora chini ya CCM ni ndoto na ndio maana hata yale maboksi 17 yaliyowasilishwa na CHADEMA katika tume ya katiba yalikatawaliwa.Cha msingi kwa sasa ni kuelekeza nguvu kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na.CCM na baada ya hapo tunaweza kuiboresha katiba itakayokuwa imepatikana baada ya kukamilika huu mchakato wa sasa.

Katiba mpya si ajenda ya CCM bali ajenda ya CCM ni kubaki madarakani kadri inavyowezekana.

CC.Prof Baregu.

Hiyo Katiba kweli itakuwa na Sehemu ya kusema kuwa Rais anaweza kuwa IMPEACHED FOR HIS WRONGDOING?
 
Sikujua kama kunawatanzani wa ajabu kama huyu mleta post,
kumbe ndiyo maana warioba alikataa kupokea maoni ya chadema kumbe mliandaa maoni ya kuiondoa ccm madarakani siyo maoni ya katiba ya watanzania.
 
Sikujua kama kunawatanzani wa ajabu kama huyu mleta post,
kumbe ndiyo maana warioba alikataa kupokea maoni ya chadema kumbe mliandaa maoni ya kuiondoa ccm madarakani siyo maoni ya katiba ya watanzania.

Ni Nchi ya Demokrasia; na ni ruhusa kuongea his honest view on what is going on with new KATIBA; that's what is called a DEMOCRACY

Sio kila mtu atakuwa anaifuata kuna watakoipinga na kutaka utofauti wa hiyo katiba na ni BORA...
 
Mleta mada,

Katiba ya nchi ni zaidi ya vyama vya siasa.
Mchakato mzima wa katiba unavyokwenda ni wa kutia mashaka sana.Najiuliza hilo bunge la katiba litakalosheheni wabunge ws CCM kama kweli litatenda haki.

Kumbuka malumbano yaliyokuwepo bungeni wakati wa kupitisha sheria za ukusanyanyi wa maoni.

Hata hivyo,Warioba anajitahidi kuwa fair lakini sidhani kama atafanikiwa.Kuna kila dalili ya mashinikizo kutoka chama tawala.

Binafsi siamini kama tutapata katiba itakayozingatia maoni ya wengi hasa katika mambo "sensitive" kama Raisi kushitakiwa,madaraka ya Raisi n.k.

Huu ndio ukweli ndugu yangu!
 
Sikujua kama kunawatanzani wa ajabu kama huyu mleta post,
kumbe ndiyo maana warioba alikataa kupokea maoni ya chadema kumbe mliandaa maoni ya kuiondoa ccm madarakani siyo maoni ya katiba ya watanzania.

Watanzania wa ajabu utawapata zaidi katika Bunge la Jamhuril ya Muungano wa Tanzania.Hao ndio walipitisha sheria zinazosimamia uandaaji wa katiba mpya na yanayotokea sasa na yatakayoendelea kutokea ni matokeo ya hao watanzania wa ajabu pale bungeni.

Habari ndio hio!
 
Mchakato mzima wa katiba unavyokwenda ni wa kutia mashaka sana.Najiuliza hilo bunge la katiba litakalosheheni wabunge ws CCM kama kweli litatenda haki.

Kumbuka malumbano yaliyokuwepo bungeni wakati wa kupitisha sheria za ukusanyanyi wa maoni.

Hata hivyo,Warioba anajitahidi kuwa fair lakini sidhani kama atafanikiwa.Kuna kila dalili ya mashinikizo kutoka chama tawala.

Binafsi siamini kama tutapata katiba itakayozingatia maoni ya wengi hasa katika mambo "sensitive" kama Raisi kushitakiwa,madaraka ya Raisi n.k.

Huu ndio ukweli ndugu yangu!

Umeandika vitu vingi ambavyo ndani yake vimejaa manung'uniko tu, ila hoja hapa ni katiba mpya kwa ajili yetu watanzania na ambayo itazingatia matakwa yetu na sio ya CHADEMA pekee. Kuhusu bunge la katiba, sijui wewe una tatizo gani na wabunge wa CCM, maana nijuavyo mimi ni kwamba wamechaguliwa na wananchi, kitendo cha wao kuwa wengi bungeni kina ashiria kuwa wananchi wengi wamewachagua, hivyo hata mawazo ya wabunge wa CCM yatahakisi mawazo ya wananchi wengi, maamuzi ya wabunge wa CCM ndio yatakuwa maamuzi ya wananchi walio wengi, hivyo ningependa kuona una heshimu hili. Suala la rais kushtakiwa na madaraka ya rais kupunguzwa nadhani sio mambo ambayo ni ya msingi sana kuyashupalia.
 
Kweli bavicha ni tatizo haya ni mawazo ya kibavicha.
kuitoa CCM madarakani sio suluhusho la matatizo wanayoyakabili watanzania. watanzania wana sumbuliwa na corruption, corrupt speech, corrupt management and corrupt contracts. Hivyo ili kukomesha hayo, tuweke adhabu ya kifo kwa wahujumu uchumi, raisi akataye tawala tanzania lazima asiwe above the law, na awe anashitakia kama wezi wengine.

Mahakama kuu lazima iwe huru na jajimkuu apihiwe kura na majaji. cheo cha waziri wa mambo ya nje , ulinzi na waziri wa fedha lazima majina yao yapigiwe kura bungeni.
hapo mambo hayo yakiwekwa katika katibani tuu tutakomesha corruption kama vile Israel ilivyokomesha kutekwa nyara ndege zake ma migaidi mishetani ya kipalestina.
 
Umeandika vitu vingi ambavyo ndani yake vimejaa manung'uniko tu, ila hoja hapa ni katiba mpya kwa ajili yetu watanzania na ambayo itazingatia matakwa yetu na sio ya CHADEMA pekee. Kuhusu bunge la katiba, sijui wewe una tatizo gani na wabunge wa CCM, maana nijuavyo mimi ni kwamba wamechaguliwa na wananchi, kitendo cha wao kuwa wengi bungeni kina ashiria kuwa wananchi wengi wamewachagua, hivyo hata mawazo ya wabunge wa CCM yatahakisi mawazo ya wananchi wengi, maamuzi ya wabunge wa CCM ndio yatakuwa maamuzi ya wananchi walio wengi, hivyo ningependa kuona una heshimu hili. Suala la rais kushtakiwa na madaraka ya rais kupunguzwa nadhani sio mambo ambayo ni ya msingi sana kuyashupalia.
Katika nchi ambayo viongozi wake wanatuhumiwa kwa rushwa,wizi na ufisafi mfano Richmond na kashifa ya mgodi wa Kiwira unathubutu kusema Raisi kushitakiwa si jambo la msingi!!!

Nchi tajiri Raisi anashitakiwa alafu sisi nchi ombaomba eti Riaisi ni "untouchable"

This is absolutelty nonsense.
 
Licha ya ukweli kuwa katiba inagusa kila nyanja katika maisha ya watu,mimi kipaumbele changu kwa sasa ni kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na utawala huu wa CCM.Baada ya hapo mambo mengine yote yatafuata na yatakwenda "smoothly".

Tusijidanganya kupata katiba tunayoitaka chini ya utawala wowote wa CCM.Katiba bora,mbali na mambo mengine,maana yake ni kuwa CCM wanawajibika kwa kila "uovu" katika kila eneo iwe ni katika siasa,uchumi,elimu,afya n.k..Sasa katika mazingira kama haya unadhani hilo litawezekana?

Katiba bora chini ya CCM ni ndoto na ndio maana hata yale maboksi 17 yaliyowasilishwa na CHADEMA katika tume ya katiba yalikatawaliwa.Cha msingi kwa sasa ni kuelekeza nguvu kupata katiba itakayotusaidia kuondokana na.CCM na baada ya hapo tunaweza kuiboresha katiba itakayokuwa imepatikana baada ya kukamilika huu mchakato wa sasa.

Katiba mpya si ajenda ya CCM bali ajenda ya CCM ni kubaki madarakani kadri inavyowezekana.

CC.Prof Baregu.

Nadhani utakuwa ulitoa "maoni" yako haya kwenye mabaraza ya katiba
Kwamba katiba hii mpya imtangaze direct Dr wa ukweli ndie rais na wabunge, madiwani hadi serikali za mitaa direct wawe CDM
Then baada ya hapo ndio mchako "smooth" wa katiba mpya uendelee
Aisee wewe jamaa ni jiniazi kweli
Yaani hapa mwenyewe umejipinda kweli hadi tone lako la mwisho la ufahamu kutuletea viroja vyako hapa
 
Nadhani utakuwa ulitoa "maoni" yako haya kwenye mabaraza ya katiba
Kwamba katiba hii mpya imtangaze direct Dr wa ukweli ndie rais na wabunge, madiwani hadi serikali za mitaa direct wawe CDM
Then baada ya hapo ndio mchako "smooth" wa katiba mpya uendelee
Aisee wewe jamaa ni jiniazi kweli
Yaani hapa mwenyewe umejipinda kweli hadi tone lako la mwisho la ufahamu kutuletea viroja vyako hapa

Vioja ni kama ule mpango wa CCM na wabunge wake wa kuingiza wakuu wa wilaya"makada" kwenye mchakato wa kuandaa katiba mpya!!
 
Hivi CCM kuna shetani anawasubua tena anatisha lakini kwa uwezo wa MUNGU anashindwa tu "TULIANZA NA MUNGU, NA TUTAMALIZA NA MUNGU"
 
CCM ni chama au watu? Jiongeze wewe! Hata ungepewa wewe hayo madaraka ungelaumiwa tu! CCM haiwezi kuondoka madarakani katu so ukiisubir hyo katiba unayotaka wewe imekula kwako mazima!
 
Back
Top Bottom