nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Aaahm,aahm ..........................ukiwa mchokozi uwe na mbio basi
Chamtu kibaya we jaribu kuoa au kwamabint kuolewa then utajua uchungu wake maana nibalaa mi nikikuta na wife wangu lzm ulipe starehe yangu. and wife atakoma 9t hiyo mikito. kiujumla sio fresh chawa2 noma maana kimelipiwa vati
mke wa mtu mtamu sana dogo! acha mchezo!!Utamu ake ni sawa na kutembezwa uchi au kumegwa na mibaunsa........poleni mnaopenda vya wenzenu
Rose bana ,cycle inakamilika ukifumaniwa!
wagiriki ni noma wanauwezo wa kukakaa saa nzima kwenye sex bila kupumzika
unarrrramba nin?
upo sawa sawa kabisa, ila hujaieleza kisayansi zaidi. kwa sisi wataalamu wa elimu ya ECOLOJIA (ECOLOGY) hii mambo tunaita 'succession' kwa maana kuwa ni swala la kurithishana na kuendeleza pale mwenzio alipoachia. hii ndio cycle yenyewe! hata kama umeolewa au kuoa hauwezi ukawa wewe ndio wa mwisho kwenye game lazima usaidiwe kwenye baadhi ya mapungufu, sie binaadam no body is perfect.sasa mnataka wapende vya WANYAMA.....km wew ni mtu nilazima upende vya watu...KUKAMILISHA CYCLE.:dance:
Vaislay, umeibiwa eeee, pole ndio maisha mdogo wangu, yaani kama chain hivi......usikate tamaa muombee tu atatuliakwa wale tupendao cha mtu,especially mke au mume au wale njoo kwa muda nikuone...we unadandia kwa mbele unajua walitoka wap mpaka hapo ulipomwona wewe anakuvutia?.......mbona twapenda vya mbele.si uanzishe chakooooo.......khaaa,et wewe....huwaoni huko ulikotoka au ulikopita?
kidusia! Haha!nikiwa mdogo niliambiwa kudusa (kula kwa watu) ni tabia mbaya!ngoja nisepe.