Chacha Machera: Mbowe hawezi kuwa ALPHA & OMEGA ila Mungu wetu wa Mbinguni tu.

Chacha Machera: Mbowe hawezi kuwa ALPHA & OMEGA ila Mungu wetu wa Mbinguni tu.

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
Naamini katika Bilble naamini Mungu ni Alpha na Omega nilichukizwa watu walimfananisha Magufuli sawa na Mungu ,Yeyu pamoja na mitume mingine nilichukizwa na nilisema wanamchonganisha Magufuli na Mungu nililikemea wazi wazi .

Na leo nakukemea wazi wazi tena wazi wazi kabisa Mh Mbowe hata hasipofanikiwa kuwa Mwenyekiti Taifa Chadema 2024-2029 Bado tunamuhitaji kwa ushauri kwahiyo acha mara Moja kumchonganisha na Mungu.

Mungu ni mwenye wivu na hapendi kufananishwa na Chochote ...Sijafurahishwa na Yericko Jahanes kumfananisha Mwenyekiti wetu Hon Mbowe na Mungu ..

Nanukuu


""MBOWE NI ALPHA NA OMEGA""


YERICKO acha kumchonganisha Mungu na Hon Mbowe !! ALPHA NA OMEGA NI MUNGU TU WA MBINGUNI.

Hiyo mizimu yako isikufanye umchanganishe Mwenyekiti wetu na Mungu .

Omba radhi na umuondoe Mwenyekiti wetu kwenye uchonganishi wako na Mungu muumba mbingu na nchi kiimani Mh Mbowe siyo Alpha na Omega,Alpha na Omega ni Mungu tu .

Uchawa ni mbaya saana inafikia Sifa za Mungu unampa mwanadamu !!

Na Chacha Machera
 
Hapa ndipo lilipo tumaini la Team MBOWE,

Mimi naomba Mungu wa Yesu kristu akaonekane trh 21.01.2025🙏
IMG-20250105-WA0086.jpg
 
Back
Top Bottom