JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Idadi hiyo imetolewa na mamlaka za usalama za Serikali na kuwa watu wengine 300 wamejeruhiwa katika maandamano hayo.
Waziri Mkuu Saleh Kebzabo amedai baadhi ya waandamanaji walikuwa na silaha na kati ya waliouawa ni askari wa vikosi vya usalama, ambapo Serikali imetangaza amri ya kutotoka nje katika mji mkuu na miji mingine miwili iliyoathiriwa na maandamano hayo.
Kiongozi wa upinzani aliiambia BBC kuwa maandamano yataendelea hadi matakwa ya waandamanaji yatimizwe.
---
Around 50 killed in Chad clashes – government
The military-led government in Chad says 50 people have been killed and more than 300 others wounded in a day of protest demanding a transition to democracy.
Newly appointed Prime-Minister Saleh Kebzabo says some of the protesters were armed.
Among those killed were members of the security forces. The government has announced a curfew in the capital and two other towns affected by the protests.
The authorities say an investigation will be launched. An opposition leader told the BBC the protests would continue until the demands of the demonstrators are met.
Chanzo: BBC
Waziri Mkuu Saleh Kebzabo amedai baadhi ya waandamanaji walikuwa na silaha na kati ya waliouawa ni askari wa vikosi vya usalama, ambapo Serikali imetangaza amri ya kutotoka nje katika mji mkuu na miji mingine miwili iliyoathiriwa na maandamano hayo.
Kiongozi wa upinzani aliiambia BBC kuwa maandamano yataendelea hadi matakwa ya waandamanaji yatimizwe.
---
Around 50 killed in Chad clashes – government
The military-led government in Chad says 50 people have been killed and more than 300 others wounded in a day of protest demanding a transition to democracy.
Newly appointed Prime-Minister Saleh Kebzabo says some of the protesters were armed.
Among those killed were members of the security forces. The government has announced a curfew in the capital and two other towns affected by the protests.
The authorities say an investigation will be launched. An opposition leader told the BBC the protests would continue until the demands of the demonstrators are met.
Chanzo: BBC