LGE2024 CHADEMA: 2019 hatukushinda Kitongoji, Kijiji wala Mtaa hata Mmoja hivyo kwenye Uchaguzi huu tukishinda Kitongoji kimoja tu ni ushindi wa 100%

LGE2024 CHADEMA: 2019 hatukushinda Kitongoji, Kijiji wala Mtaa hata Mmoja hivyo kwenye Uchaguzi huu tukishinda Kitongoji kimoja tu ni ushindi wa 100%

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkurugenzi wa Chadema Mh John Mrema amesema Chama chake kikifanikiwa Kupata Ushindi wa Kitongoji hata kimoja tu utakuwa ni Ushindi wa kishindo wa 100%

Mrema amesema 2019 Chadema haikushinda Kitongoji Kijiji wala Mtaa hata Mmoja hivyo Ushindi wowote Mwaka huu utakuwa ni 100%

Mrema amewaambia waandishi wa habari kwamba Chadema haina msamiati wa kujitoa Kwenye Uchaguzi huu

Ahsanteni Sana 😃
 
Mkurugenzi wa Chadema Mh John Mrema amesema Chama chake kikifanikiwa Kupata Ushindi wa Kitongoji hata kimoja tu utakuwa ni Ushindi wa kishindo wa 100%

Mrema amesema 2019 Chadema haikushinda Kitongoji Kijiji wala Mtaa hata Mmoja hivyo Ushindi wowote Mwaka huu utakuwa ni 100%

Mrema amewaambia waandishi wa habari kwamba Chadema haina msamiati wa kujitoa Kwenye Uchaguzi huu

Ahsanteni Sana 😃
Hiyo ndiyo kusema masula ya kususia uchaguzi ndio kwaheri Chadema sio?

vipi kuhusu maandamano haramu nayo, hajasema kitu chochote?🐒
 
Halafu wasije kupiga makelele kuwa wameibiwa kura. Huu ujinga ndio utaimaliza CHADEMA. Wajiulize kwa RENAMO kilikufaje ni kwa ujinga wa kutaka kuwafurahisha chama tawala.
 
Hawakushinda maana haukuwepo uchaguzi kama ilivyokuwa 2020.

Nchi ilikuwa chini ya mwendawazimu kwa sasa hayupo ila aliowaacha wameamua kupita njia ile ile.

Nitawashangaa sana Chadema kama wakishiriki huo ushenzi na wanajua kabisa kitakachotokea.
 
Hawakushinda maana haukuwepo uchaguzi kama ilivyokuwa 2020.

Nchi ilikuwa chini ya mwendawazimu kwa sasa hayupo ila aliowaacha wameamua kupita njia ile ile.

Nitawashangaa sana Chadema kama wakishiriki huo ushenzi na wanajua kabisa kitakachotokea.
Tundu Lisu yuko Tarime kufungua Kampeni za Uchaguzi
 
Ukisikia ku surrender kijanja ndio huko.Chama chenye malengo kinasemaje wakishinda kitongoji kimoja ni ushindi wa 100%?
Halafu wavimba macho wanashangilia.
 
Mkurugenzi wa Chadema Mh John Mrema amesema Chama chake kikifanikiwa Kupata Ushindi wa Kitongoji hata kimoja tu utakuwa ni Ushindi wa kishindo wa 100%

Mrema amesema 2019 Chadema haikushinda Kitongoji Kijiji wala Mtaa hata Mmoja hivyo Ushindi wowote Mwaka huu utakuwa ni 100%

Mrema amewaambia waandishi wa habari kwamba Chadema haina msamiati wa kujitoa Kwenye Uchaguzi huu

Ahsanteni Sana 😃
Hawa jamaa ni wapumbavu sana.
Hakuna chama cha siasa duniani kinachotegemea huruma ya watawala kitakacho shinda kwenye tawala za kiimla kama kinaongozwa na wala rushwa na mafisadi kama Mbowe.
Mbowe ameshakata tamaa baada ya kuona kuwa haungwi mkono na wananchi wote.

Kutoka peke yake kwenye maandamano ni ishara ya kuchokwa na jamii nzima. Mtu anayependa na watu wa chini hata akiwa gerezani watu wataandamana kwa ajili yake.

Mbowe alikaa gerezani zaidi ya miezi mitano lakini hakuna mtu aliyeandamana.
Mbowe akavunjwa mguu ,hakuna aliyeandamana.

Mbowe akaitisha mandamano hakuna aliyetoka.
Kifupi Mbowe hana wananchi wenye uchungu nyuma yake .

Hata Yesu alipokamatwa Mwanafunzi wake mmoja akishika upanga na kumkata mtu sikio kuonyesha hasira zake kwa waonevu.

Mbowe tangu alipotoka Mtu wa watu na mzalendo Dr. Slaa mpaka leo hakuna mwananchi anayeweza hata kurusha jiwe kumpigania zaidi ya familia yake mwenyewe .
Cha ajabu bado Mbowe halioni hilo kuwa ni ishara tosha ya yeye kuachia ngazi kabla ya ACT Wazalendo haijaanza kuwachukua Makada wa Chadema waliochoka kuona mkwamo mkubwa wa kisiasa ndani ya chadema .

Hivi kwa mfano mtu kama Makonda akiitisha maandamano atakosa wetu ?

Siasa za Tanzania zinataka mtu anayepamabana na mafisadi na kutetea wanyonge amaboa ndio wanaoandamana na kufunga barabara hata kuuawa . Mbowe amejikuta kwa matajiri ,na mafisadi huku akitumia chama kama sacoss ya kujipatia fedha
 
Hawa majamaa kwa akili zao kushika hii nchi wasahau kabisa , pale ndani kwao inaonekana kila mtu yupo kivyake anapigania maslai yake binafsi kwa mgongo wa wananchi

Mbowe na Lema wajiulize wale watu waliokua wanaandamana kule Arusha wakati wa Dr. Slaa wako wapi? au risasi za wakati ule zilikua ni tamu na mabomu yalikua mabomu ya unga wa biscuit badala ya Pilipili au maji ya washawasha wakati wa Dr.Slaa yalikua ni kama schampain 🤣🤣🤣🤣
Kifupi watu wengi wameona uroho wa Mbowe na matumizi mabaya ya pesa za Ruzuku na miradi ya chama .
Hivi mbowe alikua hajui kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa unahitaji fedha na kuwa na wapambe walioko tayari kukabiliana na uhuni wote kwenye mitaa .?
Kuna haja gani ya kutembea na Chopa wakati Chama kinaamini katika seikali za majimbo, Mbona hatuoni majimbo yalipewa nguvu kubwa ndani ya chama kuwa mfano wa jinsi majimbo yanavyoweza kujiendesha kisiasa?
Majimbo hayapewe nguvu ya kijimbo kama wanavyojinadibu kwenye sera za kibepari za majimbo kutokana na Mbowe kuhodhi chama kwa kujifanya kuwa fedha zake ndizo zinazojenga chama. Mbowe amesahau kuwa Wanachama wake 75 % walitokea NCCR mageuzi kwa Mrema ambaye hakuwa na fedha , wetu walimuunga mkono Mrema kwa sababu ya msimamo wake sio fedha. Watu wakajiunga na Chadema kwa sababu ya Dr. slaa kwa jinsi alivyokua anawachachachafya mawaziri na serikali ya Mkapa bungeni wakati huo Mbowe hakuwa bungeni.

Dr. Slaa alipoondoka Chadema chama kikabaki na Lisu peke yake ,CCM wakaona tishio ni Lisu wakamjia wasiojulikana na kujaribu kumuua .
Kifupi Mbowe hajawahi kukubalika kwenye mioyo ya watanzania zaidi ya watu kukipenda chama baada ya kuingia Makada toka CCM na NCCR mageuzi na DP ya Mtikila .Kigoma watu walihamasishwa na Amani Kaburu, Musoma akina Chacha Wangwe , Kagera akina Kabuye , Arusha Lema toka TLP, Rombo akina Lamwai n.k. Wafu waliwaalini waealendo sio fedha zoa kama anavyodanganya Mbowe
 
Back
Top Bottom