Pre GE2025 CHADEMA acheni kuipa CCM mtaji wa raslimaliwatu na nguvu kazi

Pre GE2025 CHADEMA acheni kuipa CCM mtaji wa raslimaliwatu na nguvu kazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Nimeyafakari waliokwisha hama kutoka Chadema kwenda CCM ndiyo wanaoifanya CCM iishi na kushamiri kuipiga Chadema Nguvu kazi yote inatoka Chadema. Kwa hali hii Chadema ni mradi wa CCM. Nimehesabu wakafika watu 80 waliohamia CCM kutoka chadema baadhi ni wakuu wa wilaya,Mawaziri na viongozi wa Taasisi. Kwa hali hii mmebaki kuwa CCM B ,nyinyi ni wabaya kuliko CUF.
Think, think, think....before writing!
 
Nimeyafakari waliokwisha hama kutoka Chadema kwenda CCM ndiyo wanaoifanya CCM iishi na kushamiri kuipiga Chadema Nguvu kazi yote inatoka Chadema. Kwa hali hii Chadema ni mradi wa CCM. Nimehesabu wakafika watu 80 waliohamia CCM kutoka chadema baadhi ni wakuu wa wilaya,Mawaziri na viongozi wa Taasisi. Kwa hali hii mmebaki kuwa CCM B ,nyinyi ni wabaya kuliko CUF.
People speak at people not to people
 
Back
Top Bottom