CHADEMA acheni kuwaonea wivu Mwambukusi na Sauti ya Watanzania. Ninyi kama mmepoteza kuaminiwa mtulie.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Leo huko Mbeya mmeenda kuwachoma Mwambukusi na wenzake polisi kuwa wamepiga wimbo wenu na mmesabisha mkutano wao kuvunjwa na polisi.

Huu ni wivu wa kishamba.

Ninyi mlishapuuzwa kwa kutokupigania na kulinda rasilimali za Watanzania.

Acheni Mwambukusi na wenzake wakomae
 

Kwani watu wakipiga singo yenu cdm nini cha mno?
 
😆😆😆😆😆
 
Mkutano wao umeshindikana kwa sababu ya wimbo? Uwongo mwingine too much. Kule Mwanza hao wahuni walishindwa kufanya chochote tatizo ilikuwa wimbo wa CDM?!
Sasa ni dhahiri haya mijitu ni mapandikizi kuvuruga agenda ya bandari
 
Idugunde wewe ni CCM kindakindaki, huu uzi unathibitisha kwamba kina Boniface Mwabukusi wanahujumiwa na CCM ili ionekane kwamba hujuma hizo zomefanywa na CHADEMA
 
Hahahahaha

wapigania Demokrasia wanachukia sana Demokrasia
 

Siku hizi kila baya anatupiwa CHADEMA. Hata Jana Kuna kampuni ya Ndugu wa Nape imeomba leseni TCRA nikashangaa CHADEMA ndio inasemwa.
 
Toka mwanzo tunapigiwa ngoma, na tunaicheza, acha tuendelee kuicheza.

Watawala wanachanga karata zao vizuri, walianza kupeleka shutuma kwa Sauti Ya Watanzania kina Dr. Slaa, mwabukusi n.k.

Leo hao wachanga karata wamageuza kibao ili tuishitumu CHADEMA.

Amkeni watanzania mnachezewa mchezo lengo msiwe na umoja, acheni kucheza hizo ngoma zao.
 
Mbukusini anabwabwaja tu hana lolote

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Proper name ni Mwabukusi na siyo Mwambukusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…