Kuna kila dalili Chadema sasa wameanza chokochoko, mifano ipo mingi.
Mfano tukio lililo tokea mkoani Mwanza, viongozi kutoa matangazo kwa wanachi kuhudhuria mkutano wa ndani ambao haukufuata taratibu, hilo sio sahihi.
Chadema acheni ukorofi na ukaidi, heshimuni sheria na taratibu zilizowekwa.
Kwa jinsi mnavyoenda msije mkawalaumu polisi.
Mfano tukio lililo tokea mkoani Mwanza, viongozi kutoa matangazo kwa wanachi kuhudhuria mkutano wa ndani ambao haukufuata taratibu, hilo sio sahihi.
Chadema acheni ukorofi na ukaidi, heshimuni sheria na taratibu zilizowekwa.
Kwa jinsi mnavyoenda msije mkawalaumu polisi.