CHADEMA, ACT Wazalendo, wana nia nzuri sana na nchi yetu, tatizo liko kwa CCM na Watanzania, hivyo wanapaswa kubadili mbinu za kuinusuru Tanzania

CHADEMA, ACT Wazalendo, wana nia nzuri sana na nchi yetu, tatizo liko kwa CCM na Watanzania, hivyo wanapaswa kubadili mbinu za kuinusuru Tanzania

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Bila kuwa mwanachama wa Chadema au ACT Wazalendo, nakiri kwamba Chadema, hawa kina Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Mbowe, na wakati fulani kina Msigwa, Dr. Slaa, Mtikila, Mrema, Dr. Kaborou na wengine, siku zote wamekuwa na nia nzuri sana na nchi yetu. Sina shaka juu ya hilo.

Sasa tatizo ni kwamba kwa upande mmoja, wanakabiliana na CCM ambayo iko tayari kutumia mbinu yeyote ile kubakia madarakani, hata kama mbinu hiyo ni kumnyima mtu haki ya kuishi. CCM imejizatiti mno katika kubaki madarakani, na sioni hata siku moja kwamba CCM wanaweza kuondolewa madarakani kwa njia ya kura katika uchaguzi halali. Labda waondoke kwa mapinduzi ya kutumia nguvu.

Kwa upande wa pili, tatizo lipo kwa Watanzania. Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo mwamko wa kisiasa uko kiwango cha chini huenda kuliko nchi zote duniani. Tanzania ina wananchi wengi ambao hawana uwezo wa kisiasa wa kufikiri ili kuamua mambo kuhusu maisha yao wenyewe. Leo hii, ukimweka mtu toka gerezani alifungwa kwa kosa la wizi na ubakaji akawa mgombea wa CCM, Chadema au ACT Wazalendo, huenda hata waliobakwa ni ndugu wa wafuasi wa vyama hivyo, bado watamshangilia na kumpigia kura! Kwa kifupi, Watanzania wengi ni "political illiterates" na "blind supporters" wa kiasiasa. Sera za chama, uwezo wa kuongoza, uadilifu na utendaji wa nyuma wa wagombea uongozi kwao sio jambo kuu, bali chama chao ndio jambo kuu.

Sasa basi, kina Mbowe, Zitto, Lissu, wafanyeje ili kutimiza azma yao nzuri ya kuiokoa nchi hii?

Nawashauri kuwa watumie kanuni ambayo imedhihirika kwa muda mrefu sana - if you cant beat them, join them. Ifikie mahali hawa kina Chadema wakubali kwamba hawawezi kuipigania nchi hii toka nje ya CCM, bali inabidi wawe shemu ya CCM. Wakubali kuingia ndani ya CCM kama walivyofanya kina Msigwa, Prof. Kitila, Kafulila, nk. Hawa watu nina uhakika watatoa mchango ndani ya CCM kuliko walivyowahi kufanya katika maisha yao yote ya kuwa kwenye vyama vya upinzani. Labda tunapaswa tuanze kumfikiria Mbowe kama Waziri Mkuu, Lissu kama waziri wa sheria, Zitto kama waziri wa fedha na uchumi, Lema kama waziri wa mambo ya ndani, nk. Kama hili haliwezekani katika serikali ya mseto, basi hawa watu waingie CCM ili tuijenge Tanzania pamoja, bila kugombana kila siku

Najua CCM wakiona leo Tundu Lissu au Mbowe nk wanataka kuingia CCM watashituka. Basi inabidi kufanya kila namna kwamba hili lifanyike. Ikibidi, turudie referandum ya kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja. Jambo moja tunakiri, huu mfumo wa vyama vingi hautusaidii kwa lolote. Lengo lilikuwa zuri sana, lakini tatizo ni kwamba CCM wametumia nafasi waliyonayo kuwa wabinafsi sana kiasi kwamba ile nia nzuri ya kuwa na vyama vingi haipo tena. Kila siku inayopita mfumo wa vyama vingi unazidi kukuza uadui kati ya watanzania, umezorotesha muungano wa bara na visiwani, na unapandikiza mbegu za chuki hata ndani ya familia moja moja!

Kama hili haliwezekani, basi mie bila uoga wala kuficha, ninatoa wito kwa jeshi letu la wananchi, JWTZ, kuchukua hatamu za uongozi kwa muda kama miaka miwili hivi katika utaratibu unaokubalika pamoja na AU, SADC na EAC, ili tujipange upya, kwa kufuta vyama vyote vya siasa vilivyopo na kuanzisha vyama vipya kabisa na kutengeneza uwanja sawa wa ushindani wa kiasiasa, kisha uchaguzi mkuu uitishwe.
 
Narudia kwa kusisitiza paragraph ya mwisho

Kama hili haliwezekani, basi mie bila uoga wala kuficha, ninatoa wito kwa jeshi letu la wananchi, JWTZ, kuchukua hatamu za uongozi kwa muda kama miaka miwili hivi katika utaratibu unaokubalika pamoja na AU, SADC na EAC, ili tujipange upya, kwa kufuta vyama vyote vya siasa vilivyopo na kuanzisha vyama vipya kabisa na kutengeneza uwanja sawa wa ushindani wa kiasiasa, kisha uchaguzi mkuu uitishwe.
 
CCM- Kaeni meza moja na wapinzani wenu mambo yaende. Acheni kushupaza shingo, siku kikinuka sisi sote tutaishi kama digidigi, tusiende huko - chonde chonde.
 
ACT Wazalendo🤭

1000016521.jpg
 
CCM- Kaeni meza moja na wapinzani wenu mambo yaende. Acheni kushupaza shingo, siku kikinuka sisi sote tutaishi kama digidigi, tusiende huko - chonde chonde.
CCM wameshakuwa sugu, hawawezi kubadilika bila kushurutishwa. Samia ametuimbia ngonjera za kuanza upya sijui 4R, na zimebaki kuwa ngonjera, hasa ukiangalia mambo ya ajabu ya uchaguzi huu wa serikali za mitaa. Sasa lazima tutafute njia mbadala kwa manufaa ya Tanzania. Mambo yanayotokea nchini yanatukwamisha sana katika kuendelea kiuchumi
 
CCM itaendelea kujizatiti kushika dollar kiDemokrasia, kuunda Serikali na kuongoza nchi kwa mujibu wa katiba na bila mbambamba ya mtu yeyote, kikundi au binafsi.

Maoni na maamuzi ya waTanzania kupitia box la kura yanaendelea kuheshimiwa na ndio utakaoendelea kua utawala wa waTanzania na sio vinginevyo 🐒
 
Sisiemu siku wakitolewa madarakani wooote wataenda Segedance Ujambazini
Wakitolewa kwa nguvu ni kweli, hilo litafanyika. Lakini kama tunakubali JWTZ wasimamie nchi kwa muda ili kuvunja vyma vyote vya kisiasa na kuanza upya, itabidi tuwe na mtazamo wa"reconcilation", isipokuwa kwa wezi wa mali ya umma na wauaji wa raia
 
CCM itaendelea kujizatiti kushika dollar kiDemokrasia, kuunda Serikali na kuongoza nchi kwa mujibu wa katiba na bila mbambamba ya mtu yeyote, kikundi au binafsi.

Maoni na maamuzi ya waTanzania kupitia box la kura yanaendelea kuheshimiwa na ndio utakaoendelea kua utawala wa waTanzania na sio vinginevyo 🐒
CCM itaendelea kujizatiti kushika dollar kiDemokrasia

Hapo ndio penye tatizo. Halafu ni dola, sio dollar

Tatizo ni kwamba, karibu 60% ya mashabiki wa CCM wanaishabikia kutokana na manufaa binafsi, eidha wanayopata wao moja kwa moja, au wanayopata kupitia ndugu na rafiki zao. Hawaishabikii CCM kwa ajili ya uongozi wake bora.
 
CCM itaendelea kujizatiti kushika dollar kiDemokrasia

Hapo ndio penye tatizo. Halafu ni dola, sio dollar
vyovyote itakavyokua,
lakini hapo upashike vizuri na upazingatie sana gentleman.
Ni muhimu sana, sawa eeh🐒
 
vyovyote itakavyokua,
lakini hapo upashike vizuri na upazingatia sana gentleman.
Ni muhimu sana, sawa eeh🐒
CCM waendelee kuomba kuwa ndugu zetu wa JWTZ hawataanza kuona maoni kama haya yana mshiko. Watajaribu sana kuwahonga, na watachukua hizo hongo kama zawadi, lakini ipo siku watasema, wait a moment, we need to save the country from marauding hyenas!
 
CCM waendelee kuomba kuwa ndugu zetu wa JWTZ hawataanza kuona maoni kama haya yana mshiko. Watajaribu sana kuwahonga, na watachukua hizo hongo kama zawadi, lakini ipo siku watasema, wait a moment!
Gentleman,
huo ushirikiana, ramli na ndoto za mchana za alinacha zitawatesa sana aise dah 🤣
 
Bila kuwa mwanachama wa Chadema au ACT Wazalendo, nakiri kwamba Chadema, hawa kina Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Mbowe, na wakati fulani kina Msigwa, Dr. Slaa, Mtikila, Mrema, Dr. Kaborou na wengine, siku zote wamekuwa na nia nzuri sana na nchi yetu. Sina shaka juu ya hilo.

Sasa tatizo ni kwamba kwa upande mmoja, wanakabiliana na CCM ambayo iko tayari kutumia mbinu yeyote ile kubakia madarakani, hata kama mbinu hiyo ni kumnyima mtu haki ya kuishi. CCM imejitazizi mno katika kubaki madarakani, na sioni hata siku moja kwamba CCM wanaweza kuondolewa madarakani kwa njia ya kura katika uchaguzi halali. Labda waondoke kwa mapinduzi ya kutumia nguvu.

Kwa upande wa pili, tatizo lipo kwa Watanzania. Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo mwamko wa kisiasa uko kiwango cha chini huenda kuliko nchi zote duniani. Tanzania ina wananchi wengi ambao hawana uwezo wa kisiasa wa kufikiri ili kuamua mambo kuhusu maisha yao wenyewe. Leo hii, ukimweka mtu toka gerezani alifungwa kwa kosa la wizi na ubakaji akawa mgombea wa CCM, Chadema au ACT Wazalendo, huenda hata waliobakwa ni ndugu wa wafuasi wa vyama hivyo, bado watamshangilia na kumpigia kura! Kwa kifupi, Watanzania wengi ni "political iliterate" na "blind supporters" wa kiasiasa. Sera za chama, uwezo wa kuongoza, uadilifu na utendaji wa nyuma wa wagombea uongozi kwao sio jambo kuu, bali chama chao ndio jambo kuu.

Sasa basi, kina Mbowe, Zitto, Lissu, wafanyeje ili kutimiza azma yao nzuri ya kuiokoa nchi hii?

Nawashauri kuwa watumie kanuni ambayo imedhihirika kwa muda mrefu sana - if you cant beat them, join them. Ifikie mahali hawa kina Chadema wakubali kwamba hawawezi kuipigania nchi hii toka nje ya CCM, bali inabidi wawe shemu ya CCM. Wakubali kuingia ndani ya CCM kama walivyofanya kina Msigwa, Prof. Kitila, Kafulila, nk. Hawa watu nina uhakika watatoa mchango ndani ya CCM kuliko walivyowahi kufanya katika maisha yao yote ya kuwa kwenye vyama vya upinzani. Labda tunapaswa tuanze kumfikiria Mbowe kama Waziri Mkuu, Lissu kama waziri wa sheria, Zitto kama waziri wa fedha na uchumi, Lema kama waziri wa mambo ya ndani, nk. Kama hili haliwezekani katika serikali ya mseto, basi hawa watu waingie CCM ili tuijenge Tanzania pamoja, bila kugombana kila siku

Najua CCM wakiona leo Tundu Lissu au Mbowe nk wanataka kuingia CCM watashituka. Basi inabidi kufanya kila namna kwamba hili lifanyike. Ikibidi, turudie referandum ya kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja. Jambo moja tunakiri, huu mfumo wa vyama vingi hautusaidii kwa lolote. Lengo lilikuwa zuri sana, lakini tatizo ni kwamba CCM wametumia nafasi waliyonayo kuwa wabinafsi sana kiasi kwamba ile nia nzuri ya kuwa na vyama vingi haipo tena. Kila siku inayopita mfumo wa vyama vingi unazidi kukuza uadui kati ya watanzania, umezorotesha muungano wa bara na visiwani, na unapandikiza mbegu za chuki hata ndani ya familia moja moja!

Kama hili haliwezekani, basi mie bila uoga wala kuficha, ninatoa wito kwa jeshi letu la wananchi, JWTZ, kuchukua hatamu za uongozi kwa muda kama miaka miwili hivi katika utaratibu unaokubalika pamoja na AU, SADC na EAC, ili tujipange upya, kwa kufuta vyama vyote vya siasa vilivyopo na kuanzisha vyama vipya kabisa na kutengeneza uwanja sawa wa ushindani wa kiasiasa, kisha uchaguzi mkuu uitishwe.

Rangi ya Kijani ni rangi ya Umaskini.

Waambie CCM wabadilishe rangi kwanza na Kwabadilishe pia rangi za bendera yetu ya taifa. ndiyo maana nchi zote tajiri hazina rangi ya kijani bali ni Blue, White nad Red.
 
Bila kuwa mwanachama wa Chadema au ACT Wazalendo, nakiri kwamba Chadema, hawa kina Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Mbowe, na wakati fulani kina Msigwa, Dr. Slaa, Mtikila, Mrema, Dr. Kaborou na wengine, siku zote wamekuwa na nia nzuri sana na nchi yetu. Sina shaka juu ya hilo.

Sasa tatizo ni kwamba kwa upande mmoja, wanakabiliana na CCM ambayo iko tayari kutumia mbinu yeyote ile kubakia madarakani, hata kama mbinu hiyo ni kumnyima mtu haki ya kuishi. CCM imejitazizi mno katika kubaki madarakani, na sioni hata siku moja kwamba CCM wanaweza kuondolewa madarakani kwa njia ya kura katika uchaguzi halali. Labda waondoke kwa mapinduzi ya kutumia nguvu.

Kwa upande wa pili, tatizo lipo kwa Watanzania. Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo mwamko wa kisiasa uko kiwango cha chini huenda kuliko nchi zote duniani. Tanzania ina wananchi wengi ambao hawana uwezo wa kisiasa wa kufikiri ili kuamua mambo kuhusu maisha yao wenyewe. Leo hii, ukimweka mtu toka gerezani alifungwa kwa kosa la wizi na ubakaji akawa mgombea wa CCM, Chadema au ACT Wazalendo, huenda hata waliobakwa ni ndugu wa wafuasi wa vyama hivyo, bado watamshangilia na kumpigia kura! Kwa kifupi, Watanzania wengi ni "political iliterate" na "blind supporters" wa kiasiasa. Sera za chama, uwezo wa kuongoza, uadilifu na utendaji wa nyuma wa wagombea uongozi kwao sio jambo kuu, bali chama chao ndio jambo kuu.

Sasa basi, kina Mbowe, Zitto, Lissu, wafanyeje ili kutimiza azma yao nzuri ya kuiokoa nchi hii?

Nawashauri kuwa watumie kanuni ambayo imedhihirika kwa muda mrefu sana - if you cant beat them, join them. Ifikie mahali hawa kina Chadema wakubali kwamba hawawezi kuipigania nchi hii toka nje ya CCM, bali inabidi wawe shemu ya CCM. Wakubali kuingia ndani ya CCM kama walivyofanya kina Msigwa, Prof. Kitila, Kafulila, nk. Hawa watu nina uhakika watatoa mchango ndani ya CCM kuliko walivyowahi kufanya katika maisha yao yote ya kuwa kwenye vyama vya upinzani. Labda tunapaswa tuanze kumfikiria Mbowe kama Waziri Mkuu, Lissu kama waziri wa sheria, Zitto kama waziri wa fedha na uchumi, Lema kama waziri wa mambo ya ndani, nk. Kama hili haliwezekani katika serikali ya mseto, basi hawa watu waingie CCM ili tuijenge Tanzania pamoja, bila kugombana kila siku

Najua CCM wakiona leo Tundu Lissu au Mbowe nk wanataka kuingia CCM watashituka. Basi inabidi kufanya kila namna kwamba hili lifanyike. Ikibidi, turudie referandum ya kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja. Jambo moja tunakiri, huu mfumo wa vyama vingi hautusaidii kwa lolote. Lengo lilikuwa zuri sana, lakini tatizo ni kwamba CCM wametumia nafasi waliyonayo kuwa wabinafsi sana kiasi kwamba ile nia nzuri ya kuwa na vyama vingi haipo tena. Kila siku inayopita mfumo wa vyama vingi unazidi kukuza uadui kati ya watanzania, umezorotesha muungano wa bara na visiwani, na unapandikiza mbegu za chuki hata ndani ya familia moja moja!

Kama hili haliwezekani, basi mie bila uoga wala kuficha, ninatoa wito kwa jeshi letu la wananchi, JWTZ, kuchukua hatamu za uongozi kwa muda kama miaka miwili hivi katika utaratibu unaokubalika pamoja na AU, SADC na EAC, ili tujipange upya, kwa kufuta vyama vyote vya siasa vilivyopo na kuanzisha vyama vipya kabisa na kutengeneza uwanja sawa wa ushindani wa kiasiasa, kisha uchaguzi mkuu uitishwe.
Wanaondoka ,Mungu alisha maliza hili, yoyote wa kubisha atapukutika kama mchanga ,asema Bwana
 
Bila kuwa mwanachama wa Chadema au ACT Wazalendo, nakiri kwamba Chadema, hawa kina Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Mbowe, na wakati fulani kina Msigwa, Dr. Slaa, Mtikila, Mrema, Dr. Kaborou na wengine, siku zote wamekuwa na nia nzuri sana na nchi yetu. Sina shaka juu ya hilo.

Sasa tatizo ni kwamba kwa upande mmoja, wanakabiliana na CCM ambayo iko tayari kutumia mbinu yeyote ile kubakia madarakani, hata kama mbinu hiyo ni kumnyima mtu haki ya kuishi. CCM imejitazizi mno katika kubaki madarakani, na sioni hata siku moja kwamba CCM wanaweza kuondolewa madarakani kwa njia ya kura katika uchaguzi halali. Labda waondoke kwa mapinduzi ya kutumia nguvu.

Kwa upande wa pili, tatizo lipo kwa Watanzania. Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo mwamko wa kisiasa uko kiwango cha chini huenda kuliko nchi zote duniani. Tanzania ina wananchi wengi ambao hawana uwezo wa kisiasa wa kufikiri ili kuamua mambo kuhusu maisha yao wenyewe. Leo hii, ukimweka mtu toka gerezani alifungwa kwa kosa la wizi na ubakaji akawa mgombea wa CCM, Chadema au ACT Wazalendo, huenda hata waliobakwa ni ndugu wa wafuasi wa vyama hivyo, bado watamshangilia na kumpigia kura! Kwa kifupi, Watanzania wengi ni "political iliterate" na "blind supporters" wa kiasiasa. Sera za chama, uwezo wa kuongoza, uadilifu na utendaji wa nyuma wa wagombea uongozi kwao sio jambo kuu, bali chama chao ndio jambo kuu.

Sasa basi, kina Mbowe, Zitto, Lissu, wafanyeje ili kutimiza azma yao nzuri ya kuiokoa nchi hii?

Nawashauri kuwa watumie kanuni ambayo imedhihirika kwa muda mrefu sana - if you cant beat them, join them. Ifikie mahali hawa kina Chadema wakubali kwamba hawawezi kuipigania nchi hii toka nje ya CCM, bali inabidi wawe shemu ya CCM. Wakubali kuingia ndani ya CCM kama walivyofanya kina Msigwa, Prof. Kitila, Kafulila, nk. Hawa watu nina uhakika watatoa mchango ndani ya CCM kuliko walivyowahi kufanya katika maisha yao yote ya kuwa kwenye vyama vya upinzani. Labda tunapaswa tuanze kumfikiria Mbowe kama Waziri Mkuu, Lissu kama waziri wa sheria, Zitto kama waziri wa fedha na uchumi, Lema kama waziri wa mambo ya ndani, nk. Kama hili haliwezekani katika serikali ya mseto, basi hawa watu waingie CCM ili tuijenge Tanzania pamoja, bila kugombana kila siku

Najua CCM wakiona leo Tundu Lissu au Mbowe nk wanataka kuingia CCM watashituka. Basi inabidi kufanya kila namna kwamba hili lifanyike. Ikibidi, turudie referandum ya kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja. Jambo moja tunakiri, huu mfumo wa vyama vingi hautusaidii kwa lolote. Lengo lilikuwa zuri sana, lakini tatizo ni kwamba CCM wametumia nafasi waliyonayo kuwa wabinafsi sana kiasi kwamba ile nia nzuri ya kuwa na vyama vingi haipo tena. Kila siku inayopita mfumo wa vyama vingi unazidi kukuza uadui kati ya watanzania, umezorotesha muungano wa bara na visiwani, na unapandikiza mbegu za chuki hata ndani ya familia moja moja!

Kama hili haliwezekani, basi mie bila uoga wala kuficha, ninatoa wito kwa jeshi letu la wananchi, JWTZ, kuchukua hatamu za uongozi kwa muda kama miaka miwili hivi katika utaratibu unaokubalika pamoja na AU, SADC na EAC, ili tujipange upya, kwa kufuta vyama vyote vya siasa vilivyopo na kuanzisha vyama vipya kabisa na kutengeneza uwanja sawa wa ushindani wa kiasiasa, kisha uchaguzi mkuu uitishwe.
Hilo la hawo wa
 
Bila kuwa mwanachama wa Chadema au ACT Wazalendo, nakiri kwamba Chadema, hawa kina Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Mbowe, na wakati fulani kina Msigwa, Dr. Slaa, Mtikila, Mrema, Dr. Kaborou na wengine, siku zote wamekuwa na nia nzuri sana na nchi yetu. Sina shaka juu ya hilo.

Sasa tatizo ni kwamba kwa upande mmoja, wanakabiliana na CCM ambayo iko tayari kutumia mbinu yeyote ile kubakia madarakani, hata kama mbinu hiyo ni kumnyima mtu haki ya kuishi. CCM imejitazizi mno katika kubaki madarakani, na sioni hata siku moja kwamba CCM wanaweza kuondolewa madarakani kwa njia ya kura katika uchaguzi halali. Labda waondoke kwa mapinduzi ya kutumia nguvu.

Kwa upande wa pili, tatizo lipo kwa Watanzania. Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo mwamko wa kisiasa uko kiwango cha chini huenda kuliko nchi zote duniani. Tanzania ina wananchi wengi ambao hawana uwezo wa kisiasa wa kufikiri ili kuamua mambo kuhusu maisha yao wenyewe. Leo hii, ukimweka mtu toka gerezani alifungwa kwa kosa la wizi na ubakaji akawa mgombea wa CCM, Chadema au ACT Wazalendo, huenda hata waliobakwa ni ndugu wa wafuasi wa vyama hivyo, bado watamshangilia na kumpigia kura! Kwa kifupi, Watanzania wengi ni "political iliterate" na "blind supporters" wa kiasiasa. Sera za chama, uwezo wa kuongoza, uadilifu na utendaji wa nyuma wa wagombea uongozi kwao sio jambo kuu, bali chama chao ndio jambo kuu.

Sasa basi, kina Mbowe, Zitto, Lissu, wafanyeje ili kutimiza azma yao nzuri ya kuiokoa nchi hii?

Nawashauri kuwa watumie kanuni ambayo imedhihirika kwa muda mrefu sana - if you cant beat them, join them. Ifikie mahali hawa kina Chadema wakubali kwamba hawawezi kuipigania nchi hii toka nje ya CCM, bali inabidi wawe shemu ya CCM. Wakubali kuingia ndani ya CCM kama walivyofanya kina Msigwa, Prof. Kitila, Kafulila, nk. Hawa watu nina uhakika watatoa mchango ndani ya CCM kuliko walivyowahi kufanya katika maisha yao yote ya kuwa kwenye vyama vya upinzani. Labda tunapaswa tuanze kumfikiria Mbowe kama Waziri Mkuu, Lissu kama waziri wa sheria, Zitto kama waziri wa fedha na uchumi, Lema kama waziri wa mambo ya ndani, nk. Kama hili haliwezekani katika serikali ya mseto, basi hawa watu waingie CCM ili tuijenge Tanzania pamoja, bila kugombana kila siku

Najua CCM wakiona leo Tundu Lissu au Mbowe nk wanataka kuingia CCM watashituka. Basi inabidi kufanya kila namna kwamba hili lifanyike. Ikibidi, turudie referandum ya kurudi kwenye mfumo wa chama kimoja. Jambo moja tunakiri, huu mfumo wa vyama vingi hautusaidii kwa lolote. Lengo lilikuwa zuri sana, lakini tatizo ni kwamba CCM wametumia nafasi waliyonayo kuwa wabinafsi sana kiasi kwamba ile nia nzuri ya kuwa na vyama vingi haipo tena. Kila siku inayopita mfumo wa vyama vingi unazidi kukuza uadui kati ya watanzania, umezorotesha muungano wa bara na visiwani, na unapandikiza mbegu za chuki hata ndani ya familia moja moja!

Kama hili haliwezekani, basi mie bila uoga wala kuficha, ninatoa wito kwa jeshi letu la wananchi, JWTZ, kuchukua hatamu za uongozi kwa muda kama miaka miwili hivi katika utaratibu unaokubalika pamoja na AU, SADC na EAC, ili tujipange upya, kwa kufuta vyama vyote vya siasa vilivyopo na kuanzisha vyama vipya kabisa na kutengeneza uwanja sawa wa ushindani wa kiasiasa, kisha uchaguzi mkuu uitishwe.
Hilo la hao wapinzani kuingia ccm kwa mlengo wa kufanya mabadiliko wakiwa ndani ya mfumo nakubaliana na wewe ila si dhani kama wanaweza kufanya hilo jambo
 
Back
Top Bottom