CHADEMA, ahadi ni deni

CHADEMA, ahadi ni deni

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
245
Reaction score
314
Kuna hizi ahadi CHADEMA mliahidi:

1. Mliahidi mtateua watendaji wenu serikali za mitaa ili watoe huduma kwa wananchi kwa kuwa hamuwatambui waliochaguliwa uchaguzi mdogo. Mmefikia wapi? Wanatoa huduma gani? Tupeni majina ya viongozi wenu tuwape kero zetu.

2. Mlidai kupitia zoezi la chadema ni msingi mumepata wanachama milioni 10. Mnayo orodha? Mshampa msajili?

3. Mliahidi mtachapisha orodha ya waliochangia viongozi watoke jela na ina mpaka mama lishe. Kaka Makene orodha tayari? Nataka nione jina la mama lishe wa pale Rombo Usseri. Kama bado tunakukumbusha inasubiriwa. Au michango ilizidi mlichotangaza maana nyie mhh!

4. Nikumbushe tena ahadi yenu ya kuunda CHADEMA CORONA TASK FORCE ya kukusanya majina ya wafu. Mmefikia wapi? Kina nani wanahesabu maiti? Mpaka sasa Corona imeua wangapi? Ningependa kujua idadi ya wamachame waliokufa kwa corona tafadhali.

5. Zile ahadi za kuwasusia RC wa Dar na DC wa Hai mmetekeleza kwa kiwango gani? Nini mmeshawasusia?

6. Ahadi za kusaidia familia za wafiwa mfano Mawazo na Mwangosyi mnatekeleza au wajihudumie wenyewe?

Hivi mnapotoa ahadi sampuli hii mnakuwa mmeshauriana au mtu mmoja anaagiza mtangaze hizi ahadi?
 
Kumbe Tanzania Kuna watu bado hawajui teuzi kushika nafasi serikalini zinafanyikaje?? Iko kaxi
 
Kichwa cha Nyoka hakibebi mzigo by Mustafa Muro, Kichwa cha Mwamba hakina uwezo wa kuendesha CDM
[emoji1][emoji1] kwamba huwezi kukwepa ngumi kwa kufumba macho, kwa hiyo waje watupe mrejesho wa ahadi hapo juu
 
Utaambulia matusi tu, na wtakwambia hawana madaraka, wakati hizo ni ahadi za chama, 😁😁😁😁
 
Kuna hizi ahadi CHADEMA mliahidi:

1. Mliahidi mtateua watendaji wenu serikali za mitaa ili watoe huduma kwa wananchi kwa kuwa hamuwatambui waliochaguliwa uchaguzi mdogo. Mmefikia wapi? Wanatoa huduma gani? Tupeni majina ya viongozi wenu tuwape kero zetu.
2. Mlidai kupitia zoezi la chadema ni msingi mumepata wanachama milioni 10. Mnayo orodha? Mshampa msajili?
3. Mliahidi mtachapisha orodha ya waliochangia viongozi watoke jela na ina mpaka mama lishe. Kaka Makene orodha tayari? Nataka nione jina la mama lishe wa pale Rombo Usseri. Kama bado tunakukumbusha inasubiriwa. Au michango ilizidi mlichotangaza maana nyie mhh!
4. Nikumbushe tena ahadi yenu ya kuunda CHADEMA CORONA TASK FORCE ya kukusanya majina ya wafu. Mmefikia wapi? Kina nani wanahesabu maiti? Mpaka sasa Corona imeua wangapi? Ningependa kujua idadi ya wamachame waliokufa kwa corona tafadhali.
5. Zile ahadi za kuwasusia RC wa Dar na DC wa Hai mmetekeleza kwa kiwango gani? Nini mmeshawasusia?
6. Ahadi za kusaidia familia za wafiwa mfano Mawazo na Mwangosyi mnatekeleza au wajihudumie wenyewe?

Hivi mnapotoa ahadi sampuli hii mnakuwa mmeshauriana au mtu mmoja anaagiza mtangaze hizi ahadi?

Yaani Nivichekesho tu
Hawa jamaa Hawajui lipi wasimamie leo na kesho
Watakalo pinga leo
Kesho watalipigia mayowe
Hawajitambui wapo wapo tu
 
Acheni kuwasingizia jmn waliahidi lini ayo yote mbona sikuyaskia, dadeki
 
Chadema ni kama mwanamke mwenye mimba changa wakisikia maendeleo ya Tanzania wanatapika.
 
Kuna hizi ahadi CHADEMA mliahidi:

1. Mliahidi mtateua watendaji wenu serikali za mitaa ili watoe huduma kwa wananchi kwa kuwa hamuwatambui waliochaguliwa uchaguzi mdogo. Mmefikia wapi? Wanatoa huduma gani? Tupeni majina ya viongozi wenu tuwape kero zetu.
2. Mlidai kupitia zoezi la chadema ni msingi mumepata wanachama milioni 10. Mnayo orodha? Mshampa msajili?
3. Mliahidi mtachapisha orodha ya waliochangia viongozi watoke jela na ina mpaka mama lishe. Kaka Makene orodha tayari? Nataka nione jina la mama lishe wa pale Rombo Usseri. Kama bado tunakukumbusha inasubiriwa. Au michango ilizidi mlichotangaza maana nyie mhh!
4. Nikumbushe tena ahadi yenu ya kuunda CHADEMA CORONA TASK FORCE ya kukusanya majina ya wafu. Mmefikia wapi? Kina nani wanahesabu maiti? Mpaka sasa Corona imeua wangapi? Ningependa kujua idadi ya wamachame waliokufa kwa corona tafadhali.
5. Zile ahadi za kuwasusia RC wa Dar na DC wa Hai mmetekeleza kwa kiwango gani? Nini mmeshawasusia?
6. Ahadi za kusaidia familia za wafiwa mfano Mawazo na Mwangosyi mnatekeleza au wajihudumie wenyewe?

Hivi mnapotoa ahadi sampuli hii mnakuwa mmeshauriana au mtu mmoja anaagiza mtangaze hizi ahadi?
MATAGA mnaumia sana kila mkiona CHADEMA bado ina wanachama pamoja na figisu zenu za kishamba za miaka ya 1880s
 
Chadema ni wataalamu wa kulalamika tu,kama kazi ya kujenga ofisi tu imewashinda licha ya kupata 326m kila mwezi plus michango ya wabunge wao kila mwezi wataweza kutimiza ahadi yoyote? Kwanza hayo wameyasahau, wanasubiria tukio lolote lile wadandie iwe hoja kwao na ikibuma wananyamaza na kusahau wanasubiria tukio jingine tena inakuwa hivyohivyo.Kiufupi ni wahuni tu.
 
Ile riport ya mali za chama iliyofanywa na D’r Bashiru akiwa na Albert Misando nchi nzima ilikwenda wapi?
 
Kuna hizi ahadi CHADEMA mliahidi:

1. Mliahidi mtateua watendaji wenu serikali za mitaa ili watoe huduma kwa wananchi kwa kuwa hamuwatambui waliochaguliwa uchaguzi mdogo. Mmefikia wapi? Wanatoa huduma gani? Tupeni majina ya viongozi wenu tuwape kero zetu.
2. Mlidai kupitia zoezi la chadema ni msingi mumepata wanachama milioni 10. Mnayo orodha? Mshampa msajili?
3. Mliahidi mtachapisha orodha ya waliochangia viongozi watoke jela na ina mpaka mama lishe. Kaka Makene orodha tayari? Nataka nione jina la mama lishe wa pale Rombo Usseri. Kama bado tunakukumbusha inasubiriwa. Au michango ilizidi mlichotangaza maana nyie mhh!
4. Nikumbushe tena ahadi yenu ya kuunda CHADEMA CORONA TASK FORCE ya kukusanya majina ya wafu. Mmefikia wapi? Kina nani wanahesabu maiti? Mpaka sasa Corona imeua wangapi? Ningependa kujua idadi ya wamachame waliokufa kwa corona tafadhali.
5. Zile ahadi za kuwasusia RC wa Dar na DC wa Hai mmetekeleza kwa kiwango gani? Nini mmeshawasusia?
6. Ahadi za kusaidia familia za wafiwa mfano Mawazo na Mwangosyi mnatekeleza au wajihudumie wenyewe?

Hivi mnapotoa ahadi sampuli hii mnakuwa mmeshauriana au mtu mmoja anaagiza mtangaze hizi ahadi?
Watatekeleza vipi haya wakati chama kinalipa madeni hewa. Tena madeni ya kutengenezwa na mwenyekiti wao.
 
ccm ni mapimbi sana hakyamungu, endelea kusuburia..tutatoa mrejesho baada ya ccm kuleta mrejesho wa waliofisadi mali za chama chao..subiri dogo wala usihofu
 
Back
Top Bottom