CHADEMA akili kubwa: Maandamano waliyofanyishwa Polisi tangu juzi kuanzia Arusha, Moshi, Tanga, Pwani kuja mpaka Dar ni makubwa na ujumbe umefika

CHADEMA akili kubwa: Maandamano waliyofanyishwa Polisi tangu juzi kuanzia Arusha, Moshi, Tanga, Pwani kuja mpaka Dar ni makubwa na ujumbe umefika

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kuna mbinu nyingi tu za kuandamana hasa katika nchi ambazo demokrasia ya kuandamana ni ndogo;

1. Maandamano ya wananchi mtandaoni and kwenye vyombo vya habari

2. Maandamano ya wananchi mtaani

3. Kuwafanya viongozi wa serikali wahahe huku na huko

4. Kufanya vyombo vya dola viandamane bila kujua mijini na vijijini

Kwa mtazamo wangu hata CHADEMA wakiamua kutoandamana kesho kwa kweli tayari dhima kuu ya maandamano imefikiwa kwani Polisi wameandamanishwa tangu juzi bila hata wao kujua. Hii tectic ni nzuri na ni akili kubwa kwa yeyote aliyeisanifu.

Jioni ya leo (5:30) tunasubiri kumsikiliza kiongozi mkuu wa upinzani Freeman Mbowe kuhusu uamuzi wa maandamano hapo kesho. Vyoyote atakavyoelekeza, CHADEMA mmecheza vizuri mno pambano hili.
 
Kila unavyojieleza unahisi kama hueleweki kila baada ya masaa mawili unashusha uzi unaofanana tofauti ya vichwa vya habari!
 
Kwaiyo sasa tushike Lipi..?

Kesho mnaandamana au hamuandamani..?

Maelezo yanyooshwe tujue.!
 
Kuna mbinu nyingi tu za kuandamana hasa katika nchi ambazo demokrasia ya kuandamana ni ndogo;

1. Maandamano ya wananchi mtandaoni and kwenye vyombo vya habari
2. Maandamano ya wananchi mtaani
3. Kuwafanya viongozi wa serikali wahahe huku na huko
4. Kufanya vyombo vya dola viandamane bila kujua mijini na vijijini

Kwa mtazamo wangu hata CHADEMA wakiamua kutoandamana kesho kwa kweli tayari dhima kuu ya maandamano imefikiwa kwani Polisi wameandamanishwa tangu juzi bila hata wao kujua. Hii tectic ni nzuri na ni akili kubwa kwa yeyote aliyeisanifu.

Jioni ya leo (5:30) tunasubiri kumsikiliza kiongozi mkuu wa upinzani Freeman Mbowe kuhusu uamuzi wa maandamano hapo kesho. Vyoyote atakavyoelekeza, CHADEMA mmecheza vizuri mno pambano hili!
Kama Chadema wanakutegema, basi inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom