The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
- waende wasiende haiongezi wala kubadili anything, dawa ni ku-do away na vyama vyote vya siasa bongo tuanze upya!
respect.
fmes!
Waende tu wakajaribu bahati yao ... who knows?.
Kwanza haina sababu ya kufanya hivyo. Pili, inachosha kusikia wimbo wao wa malalamishi kuhusu CCM, dola n.k lakini kubwa ni kupoteza mtaji wao wa kisiasa. Wamuunge mkono mgombea wa chama kingine wao fedha na raslimali ambayo wangeitumia huko kwanza warudi Busanda, Kiteto, Mbeya Vijijini, Tunduru n.k na majimbo mengine kama 70 tu na huko wajijenge kwa ajili ya 2010.
a. Kuandikisha wanachama wapya (kupata kura 22,000 si mchezo kwani kuna wanachama wangapi?)
b. Kufungua matawi mapya
c. Kutengeneza mtandao wa mafunzo kwa makada wake
d. Kutengeneza ajenda za mahali (hili nitalichambua baadaye)
e. Kubadilisha Katiba yake ili kilenge kushinda uchaguzi na kuunda serikali.
f. kulenga majimbo ya mjini ambako imekuwa ikikubalika kwa kufanya hayo ya a, b na c
g. Kubadili mkakati wa mahubiri yake, kuhubiri ufisadi hakuleti ushindi bali kuhubiri ujumbe wa matumaini dhidi ya ufisadi kutaleta. Wao watafanya nini. Hapa hawana budi kuradicalize their message. "tutawatafuta wale wote waliohusika na wizi wa fedha umma, tutawawajibisha, na walioficha fedha nje tutahakikisha zinarudishwa ndani ya muda x).
h. Wahamishe makazi yao toka Dar na kuamia vijijini; Dar iwe pa kuja kuchaji tu.
i. x,y
- Mkuu wangu unajua kina Nchimbi wapo wanasubiri pembeni kuchukua power, hivi kweli unategemea mabadiliko karibuni? Kuna wengine tumechoshwa na hii political drama ya bongo! Tuna miaka 50 zaidi ya hii drama za kudanganyana tu progress hakuna, pande zote mbili zinatudanganya tu wananchi! wote waende tuanze upya!
Respect.
FMES!
Pamoja na kujimarisha wanatakiwa washiriki Biharamulo kama sehemu ya kujiimarisha zaidi, hasa ukizingatia kuwa jimbo hilo lilikuwa la upinzani, na kuna nafasi ndogo sana ya TLP kuweza kulitetea. Ni sehemu ya kujiimarisha pia ndani ya majimbo yanayolizunguka.
Finias Magessa aende mahakamani, Kuna wanasheria wengi wengi tu watajitole kumsimamia pamoja na mzalendo maarufu Tundu Lissu wanaweza wakawaanika CCm na wengi wakafahamu uzandiki wao .CCM wamezidi kugeuza wananchi wote ni wajinga kwanza mahakama inaweza ikatoa hata mwongozo wa kwamba ni vipi mawaziri sita wanaweza wakaweka kambi kwa muda wa mwezi mzima kwenye jimbo la uchaguzi huku nikuchezea pesa za walipa kodi
pamoja na ushindi wa Busanda hawana lakujivunia wamelowa kwa sababu jamii ya kimataifa ilikuwepo na waliona uozo wao na wala hawajatoa tamko lolote manake wanakiri kuwa CCm ni wezi na hawafai kupongezwa
Chadema waende to Biharamulo kama mkakati wa kueneza sera za chama chao na kuwajenga wananci kugombea uchaguzi wa serikali za mtaa mnamo mwezi wa kumi
Kwanza haina sababu ya kufanya hivyo. Pili, inachosha kusikia wimbo wao wa malalamishi kuhusu CCM, dola n.k lakini kubwa ni kupoteza mtaji wao wa kisiasa. Wamuunge mkono mgombea wa chama kingine wao fedha na raslimali ambayo wangeitumia huko kwanza warudi Busanda, Kiteto, Mbeya Vijijini, Tunduru n.k na majimbo mengine kama 70 tu na huko wajijenge kwa ajili ya 2010.
a. Kuandikisha wanachama wapya (kupata kura 22,000 si mchezo kwani kuna wanachama wangapi?)
b. Kufungua matawi mapya
c. Kutengeneza mtandao wa mafunzo kwa makada wake
d. Kutengeneza ajenda za mahali (hili nitalichambua baadaye)
e. Kubadilisha Katiba yake ili kilenge kushinda uchaguzi na kuunda serikali.
f. kulenga majimbo ya mjini ambako imekuwa ikikubalika kwa kufanya hayo ya a, b na c
g. Kubadili mkakati wa mahubiri yake, kuhubiri ufisadi hakuleti ushindi bali kuhubiri ujumbe wa matumaini dhidi ya ufisadi kutaleta. Wao watafanya nini. Hapa hawana budi kuradicalize their message. "tutawatafuta wale wote waliohusika na wizi wa fedha umma, tutawawajibisha, na walioficha fedha nje tutahakikisha zinarudishwa ndani ya muda x).
h. Wahamishe makazi yao toka Dar na kuamia vijijini; Dar iwe pa kuja kuchaji tu.
i. x,y
Mojawapo ya udhaifu mkubwa wa CHADEMA ni tabia waliyojijengea ya kupenda mipasho zaidi ya mikakati.
Ingekuwa hii thread inahusu kumjadili kiongozi fulani anayehusishwa na skendo, ungeona viongozi wa CHADEMA kibao wanakuja kutoa ''umbea'' walio nao.
Ikianzishwa thread ya kujadili mikakati huwaoni viongozi wa CHADEMA humo.Hawako interested na mijadala ya aina hii! Wanavutiwa zaidi na kujadili nani hajafanya kitu sahihi kuliko kujadili wao CHADEMA watafanya vipi kitu sahihi.
Hii ni kuthibitisha kuwa aidha hawawezi au hawana nia ya kufanya kilicho sahihi.
Suala la muungano wa vyama natilia shaka sana. Nia ya kuungana ni nini hasa? au kumtoa sisiemu madarakani kisha wao waanze kugombea fito??
Hapa ni sera sahihi na elimu kwa umma baasi.
Labda ninakosea naomba kukosolewa
Kwanza haina sababu ya kufanya hivyo. Pili, inachosha kusikia wimbo wao wa malalamishi kuhusu CCM, dola n.k lakini kubwa ni kupoteza mtaji wao wa kisiasa. Wamuunge mkono mgombea wa chama kingine wao fedha na raslimali ambayo wangeitumia huko kwanza warudi Busanda, Kiteto, Mbeya Vijijini, Tunduru n.k na majimbo mengine kama 70 tu na huko wajijenge kwa ajili ya 2010.
a. Kuandikisha wanachama wapya (kupata kura 22,000 si mchezo kwani kuna wanachama wangapi?)
b. Kufungua matawi mapya
c. Kutengeneza mtandao wa mafunzo kwa makada wake
d. Kutengeneza ajenda za mahali (hili nitalichambua baadaye)
e. Kubadilisha Katiba yake ili kilenge kushinda uchaguzi na kuunda serikali.
f. kulenga majimbo ya mjini ambako imekuwa ikikubalika kwa kufanya hayo ya a, b na c
g. Kubadili mkakati wa mahubiri yake, kuhubiri ufisadi hakuleti ushindi bali kuhubiri ujumbe wa matumaini dhidi ya ufisadi kutaleta. Wao watafanya nini. Hapa hawana budi kuradicalize their message. "tutawatafuta wale wote waliohusika na wizi wa fedha umma, tutawawajibisha, na walioficha fedha nje tutahakikisha zinarudishwa ndani ya muda x).
h. Wahamishe makazi yao toka Dar na kuamia vijijini; Dar iwe pa kuja kuchaji tu. i. x,y
Kwanza haina sababu ya kufanya hivyo. Pili, inachosha kusikia wimbo wao wa malalamishi kuhusu CCM, dola n.k lakini kubwa ni kupoteza mtaji wao wa kisiasa. Wamuunge mkono mgombea wa chama kingine wao fedha na raslimali ambayo wangeitumia huko kwanza warudi Busanda, Kiteto, Mbeya Vijijini, Tunduru n.k na majimbo mengine kama 70 tu na huko wajijenge kwa ajili ya 2010.
a. Kuandikisha wanachama wapya (kupata kura 22,000 si mchezo kwani kuna wanachama wangapi?)
b. Kufungua matawi mapya
c. Kutengeneza mtandao wa mafunzo kwa makada wake
d. Kutengeneza ajenda za mahali (hili nitalichambua baadaye)
e. Kubadilisha Katiba yake ili kilenge kushinda uchaguzi na kuunda serikali.
f. kulenga majimbo ya mjini ambako imekuwa ikikubalika kwa kufanya hayo ya a, b na c
g. Kubadili mkakati wa mahubiri yake, kuhubiri ufisadi hakuleti ushindi bali kuhubiri ujumbe wa matumaini dhidi ya ufisadi kutaleta. Wao watafanya nini. Hapa hawana budi kuradicalize their message. "tutawatafuta wale wote waliohusika na wizi wa fedha umma, tutawawajibisha, na walioficha fedha nje tutahakikisha zinarudishwa ndani ya muda x).
h. Wahamishe makazi yao toka Dar na kuamia vijijini; Dar iwe pa kuja kuchaji tu.
i. x,y