CHADEMA baada ya Uchaguzi Ni Kugawana Fito

CHADEMA baada ya Uchaguzi Ni Kugawana Fito

Bird Watcher

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2013
Posts
3,151
Reaction score
6,261
Wakuu Chama Kikuu cha Upinzani kinaendelea Kupoteza Credibility yake Na Reputation yake kiliyo ijenga Kwa zaidi ya Miaka 30, Just within three months tumeshuhudia Mambo ya Ovyo sana yakisemwa juu ya Chama Hichi ambacho Tuliamini wakati fulani Kinaweza Kushika Hatamu za Uongozi nchi Hii,

Kwa kweli tulipofikia Ni Uchaguzi Uishe tugawane Fito tu maisha mengine yaendelee Mana Kwa makundi haya Tuliyonayo ile Unit ya Kupambania Taasisi ita detoriate sana Sana,
 
Wagawane tu maana sultan amekomlia kiti
TAL akishinda atlest chama kinaweza Kupata Uhai tena na Kikaanza kwa mtazami wa tofauti ila sioni kabisa Uungwaji Mkono wa Chama Ikitokea FAM akashinda tena Uwenyekiti
 
Chui waliofugwa na Mbowe, wamekua
Mbowe alishindwa Kabisa ku predict hatari ya TAL siku za nyuma na Kumkabiri kabla hajakiwa tishio ivi? Ona sasa amemchafua vya Kutosha na Uzee ule
 
Wakuu Chama Kikuu cha Upinzani kinaendelea Kupoteza Credibility yake Na Reputation yake kiliyo ijenga Kwa zaidi ya Miaka 30, Just within three months tumeshuhudia Mambo ya Ovyo sana yakisemwa juu ya Chama Hichi ambacho Tuliamini wakati fulani Kinaweza Kushika Hatamu za Uongozi nchi Hii,

Kwa kweli tulipofikia Ni Uchaguzi Uishe tugawane Fito tu maisha mengine yaendelee Mana Kwa makundi haya Tuliyonayo ile Unit ya Kupambania Taasisi ita detoriate sana Sana,
Sio rahisi kuna wafuasi hawatahama na Lisu

Hakuna mtu alikuwa na nguvu ndani ya Chadema kama Dr Slaa

Alipohamia CCM hakuja na wanachama

Lisu hamn kitu hamshindi Slaa akiondoka Chadema ataondoka mwenyewe tu

Kama Slaa alishindwa kugawana fito sembuse Lisu

Lisu hamna kitu
 
Sio rahisi kuna wafuasi hawatahama na Lisu

Hakuna mtu alikuwa na nguvu ndani ya Chadema kama Dr Slaa

Alipohamia CCM hakuja na wanachama

Lisu hamn kitu hamshindi Slaa akiondoka Chadema ataondoka mwenyewe tu

Kama Slaa alishindwa kugawana fito sembuse Lisu

Lisu hamna kitu
Unaongelea enzi ambazo wanachama walikuwa na imani na uongozi na sio sasa bwashee.
Chama chini ya Mbowe hakiaminiki tena na hakuna mwenye akili anayeweza kujitoa kwa chama ili mbowe na machawa yake waendelee kushiba kwa mgongo wa chama.
Chama hakiaminiki hadi uongozi mypa wenye maono uje
 
Unaongelea enzi ambazo wanachama walikuwa na imani na uongozi na sio sasa bwashee.
Chama chini ya Mbowe hakiaminiki tena na hakuna mwenye akili anayeweza kujitoa kwa chama ili mbowe na machawa yake waendelee kushiba kwa mgongo wa chama.
Chama hakiaminiki hadi uongozi mypa wenye maono uje
Yaani ujitoe upigwe risasi ufe ili James mbowe na baba yake wale utakua ni wendawazimu huo akishinda mbowe na chama kife tu
 
Wakuu Chama Kikuu cha Upinzani kinaendelea Kupoteza Credibility yake Na Reputation yake kiliyo ijenga Kwa zaidi ya Miaka 30, Just within three months tumeshuhudia Mambo ya Ovyo sana yakisemwa juu ya Chama Hichi ambacho Tuliamini wakati fulani Kinaweza Kushika Hatamu za Uongozi nchi Hii,

Kwa kweli tulipofikia Ni Uchaguzi Uishe tugawane Fito tu maisha mengine yaendelee Mana Kwa makundi haya Tuliyonayo ile Unit ya Kupambania Taasisi ita detoriate sana Sana,
Chukua chako mapema nyie mtagawana tope lililokandika fito zilizo ijenga nyumba yenu.
 
Sio rahisi kuna wafuasi hawatahama na Lisu

Hakuna mtu alikuwa na nguvu ndani ya Chadema kama Dr Slaa

Alipohamia CCM hakuja na wanachama

Lisu hamn kitu hamshindi Slaa akiondoka Chadema ataondoka mwenyewe tu

Kama Slaa alishindwa kugawana fito sembuse Lisu

Lisu hamna kitu
Lissu bado anaungwa Mkono na Senior members wengi tu wachama Wengine wako Openly kabisa na Wengine hawataki Kuonekana
 
Lissu bado anaungwa Mkono na Senior members wengi tu wachama Wengine wako Openly kabisa na Wengine hawataki Kuonekana
Nakuhakikishia Lisu akihama chadema hata hao senior members hawatahama naye mark my words bold kabisa na highlight na marker pen

Lisu hamzidi popularity aliyokuwa nayo Lowasa au Slaa.Chadema senior hawakuondoka Lowasa au Slaa au Msigwa alipoondoka

Lowasa alirudi tu na wana CCM aliohama nao lakini senior wa Chadema hawakuondoka naye.Same kwa Slaa na Msigwa

Lisu kajaa tu upepo wa kawaida sana hana ubavu wa kuikata chadema awe yeye au Lema

Ni wa kawaida sana ana ji overrate but he is nobody Chadema

Chadema ina wenyewe
 
Nakuhakikishia Lisu akihama chadema hata hao senior members hawatahama naye mark my words bold kabisa na highlight na marker pen

Lusu hamzidi popularity aliyokuwa nayo Lowasa au Slaa.Chadema senior hawakuondoka Lowasa au Slaa au Msigwa alipoondoka

Lowasa alirudi tu na wana CCM aliohama nao lakini senior wa Chadema hawakuondoka naye.Same kwa Slaa na Msigwa

Lisu kajaa tu upepo wa kawaida sana hana ubavu wa kuikata chadema awe yeye au Lema

Ni wa kawaida sana
Lowasa Huwezi kumu associate na Chadema kwa sababu alikuja Kwa interest zake, Kutaka Urais ivo Kusema ni Angeweza kuondoka na watu ni Ngumu, Leo angalia watu kama Kina Lema, Heche na wengineo unadhani watakaaje na Mbowe akishakuwa Mwenyekiti tena?
 
Lowasa Huwezi kumu associate na Chadema kwa sababu alikuja Kwa interest zake, Kutaka Urais ivo Kusema ni Angeweza kuondoka na watu ni Ngumu, Leo angalia watu kama Kina Lema, Heche na wengineo unadhani watakaaje na Mbowe akishakuwa Mwenyekiti tena?
Lisu pia ni mhamiaji kama Lowassa tu
Alihamia Chadema kikiwa tayari kimejijenga yeye Lisu, Lema na Msigwa hawana tofauti na Lowassa

Dr Slaa alikuwa injini ya Chadema lakini alipohama Chadema aliondoka mikono mitupu bila senior members wa Chadema

Lisu hawezi hama nao anapoteza muda tu
Mbowe ni strategist wa kisiasa anaandaa watu wa kumsifia Lisu ajae upepo huku wameandaliwa barabara kuwa ukifika uchaguzi sanduku la kura mbamizeni barabara kama pressure hana augue pressure matokeo yakitangazwa na akihama apate pressure part two baada ya kuona senior members hawahami naye
 
Wakuu Chama Kikuu cha Upinzani kinaendelea Kupoteza Credibility yake Na Reputation yake kiliyo ijenga Kwa zaidi ya Miaka 30, Just within three months tumeshuhudia Mambo ya Ovyo sana yakisemwa juu ya Chama Hichi ambacho Tuliamini wakati fulani Kinaweza Kushika Hatamu za Uongozi nchi Hii,

Kwa kweli tulipofikia Ni Uchaguzi Uishe tugawane Fito tu maisha mengine yaendelee Mana Kwa makundi haya Tuliyonayo ile Unit ya Kupambania Taasisi ita detoriate sana Sana,
 

Attachments

  • 20250117_195123.jpg
    20250117_195123.jpg
    111.9 KB · Views: 2
Unaongelea enzi ambazo wanachama walikuwa na imani na uongozi na sio sasa bwashee.
Chama chini ya Mbowe hakiaminiki tena na hakuna mwenye akili anayeweza kujitoa kwa chama ili mbowe na machawa yake waendelee kushiba kwa mgongo wa chama.
Chama hakiaminiki hadi uongozi mypa wenye maono uje
Huu ni upepo tu utapita😄

In jk voice
 
Will never be the same again
Chadema remained the same after Zitto Kabwe , Lowassa and Dr Slaa left the party who were more popular than Lisu

Lisu is nothing in local politics and in internal politics of Chadema

Chadema will remain the same after their election mark my words
 
Sio rahisi kuna wafuasi hawatahama na Lisu

Hakuna mtu alikuwa na nguvu ndani ya Chadema kama Dr Slaa

Alipohamia CCM hakuja na wanachama

Lisu hamn kitu hamshindi Slaa akiondoka Chadema ataondoka mwenyewe tu

Kama Slaa alishindwa kugawana fito sembuse Lisu

Lisu hamna kitu
Mkuu kuna jambo hulioni, mazingira, teknolojia ya Habari na nyakati ni tofauti.
 
Back
Top Bottom