Uchaguzi 2020 CHADEMA bado tishio kubwa Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 CHADEMA bado tishio kubwa Uchaguzi Mkuu

onjwayo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
1,356
Reaction score
1,309
Ukweli bado Ni mchungu, Chadema bado tishio uchaguzi mkuu. Kuna dalili kuu nyingi kwamba CCM wanaingiwa hofu kwa jina la Chadema.

Viongozi wa Chadema hawaruhusiwi kuongea na wakiongea utawasikia polisi wakiwaita au kukataliwa kabisa kuongea. Hii Ni hofu kubwa kwa CCM na serikali yake. Ukifuatilia mienendo na hukumu za vyesi vyao bado utagundua Ni kutokana na hofu ya kuwapora madaraka CCM.

Sehemu nyingine Ni kampeni ya mapema ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu. CCM imetumia vyama jukwaa la siasa takribani miaka yote 5 hii kujinadi kutoa ahadi kupitia kwa mwenyekiti wao.

Pia mazingira ya hamahama kwa wabunge wa upinzani na figisu kufanyika kuwarudisha wabunge walewale kwa kuminya uchaguzi kuwatangaza kwa lazima Ni dalili tosha kuwa CCM haiwawezi Chadema kwenye chaguzi huru.

Polisi na wakurugenzi ambao pia Ni makada ya chama wamehakikisha wanavuruga chaguzi za marudio ili kuwapa CCM ushindi.

Mahala pengine wakuu wa usslama polisi wsmesikika wskijinadi kuwa chama pekee Ni CCM bila kuchukuliwa hatua. Hii Ni pamoja na kuwabambikia wafuasi wa Chadema vyesi na kuwaweka ndani na kuwanyima dhamana.

Mambo Ni mengi Ila kipenga kitakapopulizwa na uwanja kuwa bila miiba Basi CCM inaweza kuondoka. Kikubwa Ni utulivu na haki itendeke.
 
Hii Kali sana
 

Attachments

  • IMG-20200602-WA0038.jpg
    IMG-20200602-WA0038.jpg
    50.1 KB · Views: 1
Kabisa

Chadema i deal na raia ambao wamekipotezea sio CCM

Najua unajua mpaka sasa CDM can talk ...haina ubishi, kama 2015 haikuwa, haiji tena


Pia mtaulizwa issue za 8.9bn ambayo kubali ukweli huu mchungu pia, unless wewe ni mnufaika

Endelea kuota

Najua ni ngumu kuamini
 
Halafu kuna kenge mmoja atakuja na kusema "Chadema imekufa" amebana pua utadhani ana corona hawezi kupumua

Kinachoishi kinajulikana

Ebu taja top layer ya CDM kwa sas
Msiwafanye watu wajinga, hamkuwa na tabia ya kuwaonya viongozi wenu, wamepiga hela na hawana uchungu huo ambao wewe mbunyu unao

We all once loved it

Mbowe kawa kichekesho
 
Endeleeni kuota hivyo hivyo yaani katika uchaguzi CDM itaangukia pua ni uchaguzi huu wa 2020.Bado hamna mgombea competent wa kushindana na JPM huo ndo ukweli mchungu ambao hamtaki kusikia ,endeleeni tu kujifariji!.
 
Endeleeni kuota hivyo hivyo yaani katika uchaguzi CDM itaangukia pua ni uchaguzi huu wa 2020.Bado hamna mgombea competent wa kushindana na JPM huo ndo ukweli mchungu ambao hamtaki kusikia ,endeleeni tu kujifariji!.

Kaamka asubuhi anaelezea ndoto ambayo kaotaa

So sad badala ya kuwaamsha wapinzani...wanaleta kusadikika
 
Kinachoishi kinajulikana

Ebu taja top layer ya CDM kwa sas
Msiwafanye watu wajinga, hamkuwa na tabia ya kuwaonya viongozi wenu, wamepiga hela na hawana uchungu huo ambao wewe mbunyu unao

We all once loved it

Mbowe kawa kichekesho
Acha ujinga, CHADEMA haiongozwi na top layer, msingi wa CHADEMA ni watu ndio maana hata aliondoka Mbowe Leo hii CHADEMA itaendelea kubaki tishio kwenu na vibaraka wenu. Mark my word
 
Kila msema kweli ataambiwa ni CDM hiyo,mpinzani,wakala wa beberu(Kuwadi?),mchochezi na majina kama hayo.Watetea maovu tuwaite CCM?

Watanzania turudi kwenye ile misingi yetu ya asili ya Amani na upendo,tuepuke chuki,ubaguzi,unyanyasaji,uvunjifu wa sheria na katiba.Mlinzi wa nchi yetu ni Sisi sote na tusiruhusu wanaovunja katiba.

Kama kuna chama Tawala bora hapa kwetu waruhusu shughuli za kisiasa kwa usawa na tuache Wananchi wachague viongozi wao bila figisu tuone nani wanapendwa kuwawakilisha.
 
Ukweli bado Ni mchungu, Chadema bado tishio uchaguzi mkuu. Kuna dalili kuu nyingi kwamba CCM wanaingiwa hofu kwa jina la Chadema. Viongozi wa Chadema hawaruhusiwi kuongea na wakiongea utawasikia polisi wakiwaita au kukataliwa kabisa kuongea. Hii Ni hofu kubwa kwa CCM na serikali yake. Ukifuatilia mienendo na hukumu za vyesi vyao bado utagundua Ni kutokana na hofu ya kuwapora madaraka CCM.
Sehemu nyingine Ni kampeni ya mapema ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu. CCM imetumia vyama jukwaa la siasa takribani miaka yote 5 hii kujinadi kutoa ahadi kupitia kwa mwenyekiti wao. Pia mazingira ya hamahama kwa wabunge wa upinzani na figisu kufanyika kuwarudisha wabunge walewale kwa kuminya uchaguzi kuwatangaza kwa lazima Ni dalili tosha kuwa CCM haiwawezi Chadema kwenye chaguzi huru. Polisi na wakurugenzi ambao pia Ni makada ya chama wamehakikisha wanavuruga chaguzi za marudio ili kuwapa CCM ushindi.
Mahala pengine wakuu wa usslama polisi wsmesikika wskijinadi kuwa chama pekee Ni CCM bila kuchukuliwa hatua. Hii Ni pamoja na kuwabambikia wafuasi wa Chadema vyesi na kuwaweka ndani na kuwanyima dhamana.
Mambo Ni mengi Ila kipenga kitakapopulizwa na uwanja kuwa bila miiba Basi CCM inaweza kuondoka. Kikubwa Ni utulivu na haki itendeke.
Ile kauli ya mzee Lowasa akiwa mgombea wa Chadema kwamba Chadema isiposhinda urais mwaka huu isibiri baada ya miaka 50 mingine aise mpaka Leo inagonga kichwani mwangu!
 
Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA, leo hii iondolewe ile amri isiyo halali ya kuruhusu mikutano. Halafu uruhusu uchaguzi huru na wa haki.

Rais Magufuli anajua sana nguvu ya CHADEMA. Ni wajinga wachache, wapiga kelele ndani ya CCM ndio hupenda kujifariji kwa kusema CHADEMA imetetereka.

Wakati wa sherehe za CCM, mwezi Februari mwaka huu, Rais Magufuli aliwaasa wanaCCM, kuto bweteka maana mpinzani wao amejijenga toka chini. Kauli hiyo, kwa wenye akili walielewa ni kwa CCM ina hofu na CHADEMA tu, siyo chama kingine chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga, CHADEMA haiongozwi na top layer, msingi wa CHADEMA ni watu ndio maana hata aliondoka Mbowe Leo hii CHADEMA itaendelea kubaki tishio kwenu na vibaraka wenu. Mark my word
Sasa yale maneno yenu kwamba Mbowe akiachia uenyekiti chadema inakufa huwa mnatoa wapi.?

Mwagito unafeli wapi? Kusoma hujui hata picha huoni?
 
Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA, leo hii iondolewe ile amri isiyo halali ya kuruhusu mikutano. Halafu uruhusu uchaguzi huru na wa haki.

Rais Magufuli anajua sana nguvu ya CHADEMA. Ni wajinga wachache, wapiga kelele ndani ya CCM ndio hupenda kujifariji kwa kusema CHADEMA imetetereka.

Wakati wa sherehe za CCM, mwezi Februari mwaka huu, Rais Magufuli aliwaasa wanaCCM, kuto bweteka maana mpinzani wao amejijenga toka chini. Kauli hiyo, kwa wenye akili walielewa ni kwa CCM ina hofu na CHADEMA tu, siyo chama kingine chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unasubiri utqngaziwe.?
Hivi umeona wale raia wa marekani walioandamana hadi ikulu kuna kiongozi yeyete akisimama na mutqngaza kwamba tuanze kuandamana?
 
Hivi kama ndani ya hicho Chama wenyewe kwa wenyewe tu ' Wanakataana ' na ' Kusalitiana ' utasema kweli kuwa CHADEMA ni Tishio kwa CCM?
 
Back
Top Bottom