CHADEMA Bila yakupoteza mda toeni tamko juu ya utezi huu.

CHADEMA Bila yakupoteza mda toeni tamko juu ya utezi huu.

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Uongozi wa CHADEMA Unapaswa kutoa Tamko rasimi kama chama kwani huu uteuzi haukuzingatia weledi wawatu wanaohitajika, na wengi walioteuliwa hauwakilishi uhalisia wa mkundi yaliyotarajiwa zaidi ni uwakilishi wa CCM Na taasisi zake na watu waliopo karibu na CCM kitu ambacho watu wengi wanaona hawawezi kuleta tija katika kuleta Katiba nzuri yakuwakilisha watanzania wa leo na kesho.Haingii akilini kuwaacha watu waliobobea katika sheria na kuweka watu hata elimu ya kupambanua hawana tuangalie wenzetu kenya walichukua makundi yote yakawakilisha makundi ya sheria kama ma advocates NGO's zakutetea haki za binadamu! hajabu kuwaacha akina Nanelia Nkya, Be Hellen Kijobisimba, Prof Issa Shivji, Dr Hamed Salim, Joseph Butiku,Ayub Liyoba, Au mwakilishi kutoka Tanganyika low society,Misa Tan, MCT, TGNP, LHRC, CHRAG Yani hayo nimachache leo tunakuta wawakilishi kutoka CCM UVCCM Na washirika wake! CHADEMA Ndicho chama cha upinzani chenye wawakilishi wengi Bungeni kinatakiwa kutoa tamko.
 
Kwenye mambo kama haya!!!!
Watakuambia kwani wao ndio walioteua, watakuambia ngoja washike dola!!!!
Au watapitisha petition kama bei ya umeme!!!!!
 
Uongozi wa CHADEMA Unapaswa kutoa Tamko rasimi kama chama kwani huu uteuzi haukuzingatia weledi wawatu wanaohitajika, na wengi walioteuliwa hauwakilishi uhalisia wa mkundi yaliyotarajiwa zaidi ni uwakilishi wa CCM Na taasisi zake na watu waliopo karibu na CCM kitu ambacho watu wengi wanaona hawawezi kuleta tija katika kuleta Katiba nzuri yakuwakilisha watanzania wa leo na kesho.Haingii akilini kuwaacha watu waliobobea katika sheria na kuweka watu hata elimu ya kupambanua hawana tuangalie wenzetu kenya walichukua makundi yote yakawakilisha makundi ya sheria kama ma advocates NGO's zakutetea haki za binadamu! hajabu kuwaacha akina Nanelia Nkya, Be Hellen Kijobisimba, Prof Issa Shivji, Dr Hamed Salim, Joseph Butiku,Ayub Liyoba, Au mwakilishi kutoka Tanganyika low society,Misa Tan, MCT, TGNP, LHRC, CHRAG Yani hayo nimachache leo tunakuta wawakilishi kutoka CCM UVCCM Na washirika wake! CHADEMA Ndicho chama kina wawakilishi wengi Bungeni kinatakiwa kutoa tamko.
Hapo kwenye red una maana gani KakaKiiza ?
 
Last edited by a moderator:
Sijui watasema nini wakati wao siyo wasemaji wa watanzania wote pengine waanze kupotosha kama kawaida yao.
 
Ur right kakakiiza, tunatakiwa kuwa serious kwenye issue km hz za kitaifa sio tushabikie vitu ambavyo havisaidii mwisho wa ck nchi ni ya kwetu wote
 
Huyu kiiza naona anaumwa mkuu sijui kama anajifahamu sana kwenye haya mambo.
Yawezekana naumwa ila naumwa siasa za kweli siyo za kishabiki wewe unavyoona huu uteuzi wa kishikaji unatija?
 
Uongozi wa CHADEMA Unapaswa kutoa Tamko rasimi kama chama kwani huu uteuzi haukuzingatia weledi wawatu wanaohitajika, na wengi walioteuliwa hauwakilishi uhalisia wa mkundi yaliyotarajiwa zaidi ni uwakilishi wa CCM Na taasisi zake na watu waliopo karibu na CCM kitu ambacho watu wengi wanaona hawawezi kuleta tija katika kuleta Katiba nzuri yakuwakilisha watanzania wa leo na kesho.Haingii akilini kuwaacha watu waliobobea katika sheria na kuweka watu hata elimu ya kupambanua hawana tuangalie wenzetu kenya walichukua makundi yote yakawakilisha makundi ya sheria kama ma advocates NGO's zakutetea haki za binadamu! hajabu kuwaacha akina Nanelia Nkya, Be Hellen Kijobisimba, Prof Issa Shivji, Dr Hamed Salim, Joseph Butiku,Ayub Liyoba, Au mwakilishi kutoka Tanganyika low society,Misa Tan, MCT, TGNP, LHRC, CHRAG Yani hayo nimachache leo tunakuta wawakilishi kutoka CCM UVCCM Na washirika wake! CHADEMA Ndicho chama kina wawakilishi wengi Bungeni kinatakiwa kutoa tamko.

Acha kuionyesha dunia kupitia JF ulivyo-mbulula............katiba sio ya wanasheria tu, tunahitaji walimu,wafugaji,wavuvi nk wachangie ni nini tunataka kiwemo kwenye katiba..............Kuna baadhi ya waandishi wanawakilisha waandishi, wapo wanasheria wanaowakilisha wanasheria........mawazo yako ni baadi ya ''ujinga'' ambao hautakiwi hata kusikilizwa!..........Chadema ndio nani?.......kama unaweza hata wewe kupitiavipindi vya Redio na Tv wasilisha maoni yako!
Rekebisha kauli yako kwamba ''chadema ndio chama chenye wawakilishi wengi bungeni''........Futa huu uongo!
 
Yawezekana naumwa ila naumwa siasa za kweli siyo za kishabiki wewe unavyoona huu uteuzi wa kishikaji unatija?

Huyu jamaa anajitekenya alafu anacheka..........eti ''chadema kina wawakilishi wengi bungeni'' mwambini hii habari anayo au ndio ule upuuzi wa ''raisi'' wa CDM humu JF Slaa kwamba chadema inakubalika nchi nzima wakati CHADEMA Yatelekeza Mgombea wa Udiwani kata ya Mkwiti-Lindi
 
Huyu kiiza naona anaumwa mkuu sijui kama anajifahamu sana kwenye haya mambo.

Huyu dogo anajitekenya alafu anacheka..........eti ''chadema kina wawakilishi wengi bungeni'' mwambini hii habari anayo au ndio ule upuuzi wa ''raisi'' wa CDM humu JF Slaa kwamba chadema inakubalika nchi nzima wakati CHADEMA Yatelekeza Mgombea wa Udiwani kata ya Mkwiti-Lindi
 
Hapo kwenye red una maana gani KakaKiiza ?

Huyu dogo anajitekenya alafu anacheka..........eti ''chadema kina wawakilishi wengi bungeni'' mwambini hii habari anayo au ndio ule upuuzi wa ''raisi'' wa CDM humu JF Slaa kwamba chadema inakubalika nchi nzima wakati CHADEMA Yatelekeza Mgombea wa Udiwani kata ya Mkwiti-Lindi
 
Acha kuionyesha dunia kupitia JF ulivyo-mbulula............katiba sio ya wanasheria tu, tunahitaji walimu,wafugaji,wavuvi nk wachangie ni nini tunataka kiwemo kwenye katiba..............Kuna baadhi ya waandishi wanawakilisha waandishi, wapo wanasheria wanaowakilisha wanasheria........mawazo yako ni baadi ya ''ujinga'' ambao hautakiwi hata kusikilizwa!..........Chadema ndio nani?.......kama unaweza hata wewe kupitiavipindi vya Redio na Tv wasilisha maoni yako!
Rekebisha kauli yako kwamba ''chadema ndio chama chenye wawakilishi wengi bungeni''........Futa huu uongo!
Kweli wewe ni gamba kuu hivi hata kama kwa machonhuoni hata kwakushika umeshindwa kutambua? CCM ni janga jingine kweli mmeona wahuni wasiasa ndo wakuwakilisha kada zote? katiba ni chombo kikuu chakuendesha nchi.Katiba siyo kitabu chaudaku kinahitaji watu mahili kwenye tasinia ya sheria kwani katima ni sheria mama! Katiba ikikosewa ni maumivu kwa miaka mingi na vizani there no errors in constitution hivyo usomi haukwepeki wanasheria ni lazima wakiwa na watu wakada zingine.Lakini siyo unajaza vihiyo wa lumumba unaacha wasimi wa sheria! Hii haitanigharimu mimi tu ni wewe na kizazi chako poor you.
 
Back
Top Bottom