Chadema bukoba bado wamo

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
7,904
Reaction score
1,064
Baada ya kuona mkutano wa Wilfred Lwakatare aliokuwa akizungumza na wanachama wa Chadema kata ya Kashai mjini Bukoba nimeamini kwamba Chadema Bukoba mjini bado ni tishio kabisa. Angalia na picha hizi hapa chini:











 
Siku ya jumamosi chama cha wananchi cuf walikuwa na mkutano katika viwanja vya uhuru mjini Bukoba.
Kabla ya mkutano walifanya maandamano katika vitongoji vya mji wa Bukoba lakini nilivyoona mambo hayawaendei vizuri. Picha hizi hapa chini zinaonyesha picha kamili ya CUF walivyobaki Bukoba baada ya Wilfred Lwakatare kujitenga nayo





Na hii hapa chini inaonyesha maandamano ya CUF mwaka 2009 akiwapo na Wilfred Lwakatare kama kiongozi wao. Na ni siku hiyo aliyotangaza kujiondoa Cuf



Need say more?
 
Kagasheki si kawaita wapinzani ma-kafr. Kwa utitiri huo wa watu inamaana Kashai wanaishi ma-kafr wengi?!
 
Siasa ni jinsi unavyoweza kuikonga jamii wakati huo. Pia na uono ama ushabiki wa mtu kwa Chama ama mtu/kiongozi/mgombea.

Hizi picha zimenikumbusha BK, hapo maeneo ya CRDB. Imenikumbusha pikipiki za kubeba abiria na Senene.
 
Mchukia Fisadi, unaweza kujua matokeo ya Serikali za mitaa Bukoba kwa kila chama. Kama unajua hebu tujuze.
 
Sisi tunasubiri mwaka huu ushindi kwa CHADEMA huko Bukoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…