Uchaguzi 2020 CHADEMA buried 2015 and reviving 2020 as the salvation Army through his Saint Tundu Lissu✅

Uchaguzi 2020 CHADEMA buried 2015 and reviving 2020 as the salvation Army through his Saint Tundu Lissu✅

Tunapita1

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
561
Reaction score
1,010
To be honesty CHADEMA is there for God purposes and The miracles.

In five years, CHADEMA faced a lot of challenges such most of their leaders shifted from CHADEMA to CCM without any critical reasons. As well CCM began to deployed propaganda that oppositions in Tanzania had already buried perpendicularly.

Now the game has change CHADEMA is seen as salvation Army through his Aspirant Hon Tundu Lissu who wounded in sep 7 2017/ by unknown peoples.

Which goes to say Chadema nimpango wa Mungu.

Lissu is prophet sent by God to bring salvation.

Also NEC must provide equal ground regardless of their political parties.
 
Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.

Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
 
Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Baadhi ambao ungetaraji kwamba wana akili nzuri. Hawa watu kama wana laana!
 
Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Ukweli tuuseme mkuu.
CHADEMA na ACT wazalendo walihamasisha sana watu kupiga kura .
Sikuona CCM ikihamasisha watu kupiga kira hata sehemu moja.
Ukitaka ushahidi tulete.
 
Nlvoona ni kingereza nkajua n utopolo tuu, kwahy magu akishinda bc n mpango wa shetani.?

Upinzani dawa yenu ipo pale pale.
Kwamba mtu anaweza kuweka bandiko lake hapa kwa kiingereza kibovu kama hicho inakupa picha ni mtu wa aina gani. Mijitu mingine isingeruhusiwa hata kupiga kura, maana haitofautiani na mapunguani.
 
Kwamba mtu anaweza kuweka bandiko lake hapa kwa kiingereza kibovu kama hicho inakupa picha ni mtu wa aina gani. Mijitu mingine isingeruhusiwa hata kupiga kura, maana haitofautiani na mapunguani.
We tulia tukunyooshe.
 
Ukweli tuuseme mkuu.
CHADEMA na ACT wazalendo walihamasisha sana watu kupiga kura .
Sikuona CCM ikihamasisha watu kupiga kira hata sehemu moja.
Ukitaka ushahidi tulete.
usemacho ni kweli ndugu wao ndio hawakutaka watu wajiandikishe kwa wingi...mfano huku kwetu walikaa tu vituoni bila kutangaza chochote ili tu wananchi wasijitokeze kwa wingi kujiandikisha...!!!
 
Back
Top Bottom