Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Mimi kadi ninayo since 2015 watu kadi tunazo mkuu worry out.
Nimeshahakiki lazima magu nimnyoosheUlienda kuhakiki taarifa zako?
Kwani unateseka.Nlvoona ni kingereza nkajua n utopolo tuu, kwahy magu akishinda bc n mpango wa shetani.?
Upinzani dawa yenu ipo pale pale.
Baadhi ambao ungetaraji kwamba wana akili nzuri. Hawa watu kama wana laana!Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Ukweli tuuseme mkuu.Tar 28 twendeni kwa wingi sana kupiga kura. Lakini tukumbuke wakati wa kujiandikisha kwenye daftari la mpira kura, kuna kikundi cha watu kilihamasisha watu wasiende kujiandikisha hasa wanachama wao. Ngoja tuone maajabu.
Walifurahia sana vituo vya kujiandikishia kukosa watu lakini wakidhani wanaikomoa serikali.
Nimeshahakiki lazima magu nimnyooshe
Kwamba mtu anaweza kuweka bandiko lake hapa kwa kiingereza kibovu kama hicho inakupa picha ni mtu wa aina gani. Mijitu mingine isingeruhusiwa hata kupiga kura, maana haitofautiani na mapunguani.Nlvoona ni kingereza nkajua n utopolo tuu, kwahy magu akishinda bc n mpango wa shetani.?
Upinzani dawa yenu ipo pale pale.
We tulia tukunyooshe.Kwamba mtu anaweza kuweka bandiko lake hapa kwa kiingereza kibovu kama hicho inakupa picha ni mtu wa aina gani. Mijitu mingine isingeruhusiwa hata kupiga kura, maana haitofautiani na mapunguani.
usemacho ni kweli ndugu wao ndio hawakutaka watu wajiandikishe kwa wingi...mfano huku kwetu walikaa tu vituoni bila kutangaza chochote ili tu wananchi wasijitokeze kwa wingi kujiandikisha...!!!Ukweli tuuseme mkuu.
CHADEMA na ACT wazalendo walihamasisha sana watu kupiga kura .
Sikuona CCM ikihamasisha watu kupiga kira hata sehemu moja.
Ukitaka ushahidi tulete.
True✌✅28/10/2020 SAA 2:21
Kura yangu ndio tiketi ya kumrudisha mtu chato
Uchaguzi gani mkuu, wa serikali za mitaa?!Ukweli tuuseme mkuu.
CHADEMA na ACT wazalendo walihamasisha sana watu kupiga kura .
Sikuona CCM ikihamasisha watu kupiga kira hata sehemu moja.
Ukitaka ushahidi tulete.
Lazima nimnyooshe Magu taarifa zangu ziko clear.Una kadi ila siku unaenda kwenye kituo utaambiwa jina lako halipo kwenye orodha.
Nlvoona ni kingereza nkajua n utopolo tuu, kwahy magu akishinda bc n mpango wa shetani.?
Upinzani dawa yenu ipo pale pale.
Sawa, lakini mara nyingine jitahidi kuandika kwa lugha inayoeleweka kwako na kwa wenzako.We tulia tukunyooshe.