Uchaguzi 2020 CHADEMA buried 2015 and reviving 2020 as the salvation Army through his Saint Tundu Lissu✅

Mimi kadi ninayo since 2015 watu kadi tunazo mkuu worry out.
Kweli mkuu watu wana card wengi sana,ndio wanazotumia mbadala ya vitamnbulisho vya taifa,idadi kubwa hatujapewa..labda vijana waliofikisha miaka 18 Mwezi huu.
 
Kweli mkuu watu wana card wengi sana,ndio wanazotumia mbadala ya vitamnbulisho vya taifa,idadi kubwa hatujapewa..labda vijana waliofikisha miaka 18 Mwezi huu.
Hii hoja kwamba hatuna kadi ni hoja mfu. ...mimu 2015 nilikuwa na 17 yrs nikajiandisha now 22yrs kadi bado ninayo.
 
Mkuu, lengo la kuandika hicho Kiingereza kinachohitaji grisi ilikuwa ni nini? Au ujumbe unaenda kwa bwana Amsterdam na sisi tumepewa nakala tu!
 
Andika Kingereza vizuri na kabla ya kutuma ujumbe wako ulitakiwa kuhariri kwanza. Has change nafikiri ulitaka kuandika HAS CHANGED, to deployed ulitaka kuandika TO DEPLOY sio? Au mimi ndio sijui grammar ya English?
 
Andika Kingereza vizuri na kabla ya kutuma ujumbe wako ulitakiwa kuhariri kwanza. Has change nafikiri ulitaka kuandika HAS CHANGED, to deployed ulitaka kuandika TO DEPLOY sio? Au mimi ndio sijui grammar ya English?
Wewe hujui grammar kasome Verb kwanza mkuu.deployed ni past tense ya deploy. Hii mada maelezo yake ya ccm kusambaza uongo ilikuwa mwaka Jana kuwa upinzani umekufa. So deployed ndo neno sahii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…