CHADEMA ilianzishwa kama chama cha mabepari yaani capitalist party kinachoamini kwenye capitalism
Waanzilishi walikuwa matajiri na walitoa pesa na mali zao nyingi ndani na nje kukiendesha
Ushindi wa Lisu kuwa chama kimechukuliwa na walalahoi wasio na hela .Kitapata shida sana kujiendesha
Sababu wengi wa walalahoi waliochukua chama ni wale wanaowaza chama kitawafanyie nini
sio wao wakifanyie nini.
Wengi walikuwa wakilia pesa haziwafikii matawini chini ili wale
Je, Lissu kwenye uongozi wake ataliweza hilo asipoliweza ataingia kwenye mtafaruku na hao wa matawini muda si mrefu. Uchaguzi unakuja watataka apeleke pesa huko matawini ambazo hana
Na matajiri wenye pesa wanaondoa mitaji na pesa zao Chadema baads ya mshika fuko.lao Mbowe kuondoka uongozi
Wengi wawinda tu fursa
Waanzilishi walikuwa matajiri na walitoa pesa na mali zao nyingi ndani na nje kukiendesha
Ushindi wa Lisu kuwa chama kimechukuliwa na walalahoi wasio na hela .Kitapata shida sana kujiendesha
Sababu wengi wa walalahoi waliochukua chama ni wale wanaowaza chama kitawafanyie nini
sio wao wakifanyie nini.
Wengi walikuwa wakilia pesa haziwafikii matawini chini ili wale
Je, Lissu kwenye uongozi wake ataliweza hilo asipoliweza ataingia kwenye mtafaruku na hao wa matawini muda si mrefu. Uchaguzi unakuja watataka apeleke pesa huko matawini ambazo hana
Na matajiri wenye pesa wanaondoa mitaji na pesa zao Chadema baads ya mshika fuko.lao Mbowe kuondoka uongozi
Wengi wawinda tu fursa