CHADEMA DIGITAL balaa, CCM yaanza kutumia Polisi kuidhibiti

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tulionya tangu mapema sana kwamba huu mpango wa Chadema wa kusajili wanachama kwa njia ya kisasa ya kidigital utaua cccm na mamluki wake , hii ni kwa sababu Wananchi wengi sasa wamefahamu kwamba Chadema ndio Mkombozi wa kweli wa dhiki na tabu zao .

Masuala ya Tozo , mgao wa maji na umeme , kuanguka kwa uchumi wa nchi kulikosababisha wananchi kuishi kwa mihogo na chachandu , huku viongozi wakiwadharau wananchi na kuwaona mabwege na kutangaza kuendelea kununua ndege kwa cash , ambazo hazijawahi kuleta faida hata ya senti tano , kumewafanya wananchi waendelee kuiamini Chadema na kuendelea kumiminika kwenye usajili wa Chadema Digital .

Jambo hili limewatisha Watawala na kuamua kuleta visingizio vya kijinga .

 
Unaijua ccm hawana jipya kila miongo mitano huwawanajipampanua kuwa wamefanya hiki bila kujua hata wasio na chama hushiriki mafanikio ya maendeleo,ccm wao wakifanya usajili wa kadi wa kielectronic na hakuna aliyewaingilia kwenye Jambo Hilo iweje chadema kufanya zoezi kusajili wanachama wao kwa mbinu zilezile harafu mnapiga marufuku mikutano ya Aina hiyo.hapo mpaka kieleweke 2025 katiba mpya na tume huru,
 
Mkuu acha ushamba hiyo system ya electronic membership cards, CCM Walikwishaianza miaka zaidi ya mitatu nyuma huko,tena kimya kimya.
Iko registered mpaka numbers za contact za mwanachama. Which means katibu wa chama anaweza wasiliana na wanachama level yoyote kuanzia mashinani mpaka taifa kwa wakati mmoja.

Nashangaa nyinyi chagadema ndio mnaliona hilo leo,halafu mnaliona kama ni kitu kitainua chama.

Halafu mnapiga kelele miiingi wakati mahudhurio kiduchu,

Mfano hapo kahama.
Nimeangalia picha hizi.
Nimeambatanisha.
[emoji116][emoji16]
 
sasa kuna ugaidi hapo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…