Naunga mkono hoja. Tanzania haina rais wala mtawala.Tukisema nchi ni kama haina rais, tutaambiwa tunamuonea mama!
Hata kama nchi ina rais , ni kwasababu matendo yanayoendelea ambayo rais anayafumbia macho, ndiyo maana inaonekana kana kwamba hakuna rais. Lakini Yupo na matendo hayo ameyabariki.
Na kwa mantiki hiyo, hafai kuwa rais.
Acheni uoga wa kike.Ungejua app ya ccm inawachama million ngapi usingeleta huu upuuzi wako hapa muuza mayai wewe
USSR
Donge limekukaba kwenye koo pole sana.Mkuu acha ushamba hiyo system ya electronic membership cards, CCM Walikwishaianza miaka zaidi ya mitatu nyuma huko,tena kimya kimya.
Iko registered mpaka numbers za contact za mwanachama. Which means katibu wa chama anaweza wasiliana na wanachama level yoyote kuanzia mashinani mpaka taifa kwa wakati mmoja.
Nashangaa nyinyi chagadema ndio mnaliona hilo leo,halafu mnaliona kama ni kitu kitainua chama.
Halafu mnapiga kelele miiingi wakati mahudhurio kiduchu,
Mfano hapo kahama.
Nimeangalia picha hizi.
Nimeambatanisha.
[emoji116][emoji16]
View attachment 2025613View attachment 2025614
Mbinu za kupambana na Jiwe zilibadilika pale alipobadilisha mapambano kuwa elimination ya anaopambana nao.Ni ngumu sana kumruhusu mtu akuonee halafu useme nitapambana naye baadaye. Walitakiwa kupambana vikali na jiwe alipoleta habari za kuzuia mikutano.
Hata hii habari ya wagombea kuenguliwa tegemeeni kuendelea au kuzidi.
Kuna siku watajikuta hiyo midege yao haina abiria maana watu wanaogopa kuja hukuUgaidi tena? Mbona hawatutakii mema?
Amandla....
Ukivaa shati la kijani na njano magaidi wanakuogopakul ngorongoro hakuna tishio la ugaidi na kule Tabora?
Maana wanautamaniHuo ugaidi wanaotaka ipo siku utafika tu. Yetu macho
Kilisha oza tayari hamna kitu kabisaCCM ni chama kilichokufa kinachosubiri kuzikwa tu
Huyo naye ni walewale kina kipara kipyanilidhani utaandika idadi kamili kumbe umeleta swali?
Ccm haina wanasema bali ina wapambe na wasaka tonge , kama inaweza ?? Iruhusu uwanja sawa wa siasa italuona!!!!!Ungejua app ya ccm inawachama million ngapi usingeleta huu upuuzi wako hapa muuza mayai wewe
USSR
Kuna baadhi ya mambo aliyotenda Magufuli yalikuwa ni ya KISHETANI SANA.Ungejua app ya ccm inawachama million ngapi usingeleta huu upuuzi wako hapa muuza mayai wewe
USSR
Hayawabusu nyumbu wa Lumumba.