Chadema Digital yatikisa Mbarali, CCM yaanza kupagawa

Hongereni.Lakini sisi CCM huwa hatutishiki na hatua za namna hiyo kwa sababu CCM ina mabalozi wa nyumba kumi,viongozi wa tawi na kata ambao wapo hapo hapo.
Nyinyi mtu anaenda kijijini akitokea mjini anasajili wanachama halafu anaondola kurudi mjini.Baada ya siku mbili waliosajiliwa wote wanarudi nyumbani.
 
Chadema kuna sehemu mnapwaya ziara ya wiki moja tu ya Mwenezi iliwafuta kwenye uwanja wa siasa mkaishia kumzungumzia Mwenezi kila alikokuwa anapita.

Mtatoboa kweli 2025?
 
Noma sana
 
Hujui kitu
 
Chadema kuna sehemu mnapwaya ziara ya wiki moja tu ya Mwenezi iliwafuta kwenye uwanja wa siasa mkaishia kumzungumzia Mwenezi kila alikokuwa anapita.

Mtatoboa kweli 2025?
leo yuko wapi ?
 
Chama Cha Kigoma wanasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…