Pre GE2025 CHADEMA fanyeni mbinu zote mumnase Nape; ni msema kweli. Kaondolewa Uwaziri kwa kusema ukweli

Pre GE2025 CHADEMA fanyeni mbinu zote mumnase Nape; ni msema kweli. Kaondolewa Uwaziri kwa kusema ukweli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
Bila kuwachosha kichwa habari kunajitosheleza. Si watz wanataka wasema Ukweli. Basi nape ni msema ukweli.

Ccm hawawapendi wasema ukweli.

Hivyo upindazi na hasa chadema achague hii karata.

Mtakuja kunishukuru.

Mbinu zote za ushindi anazijua
 
Bila kuwachosha kichwa habari kunajitosheleza. Si watz wanataka wasema Ukweli. Basi nape ni msema ukweli.

Ccm hawawapendi wasema ukweli.

Hivyo upindazi na hasa chadema achague hii karata.

Mtakuja kunishukuru.

Mbinu zote za ushindi anazijua
Chadema itakuwa foolish ikirudia makosa ya kuchukua wanaccm walioachika huko,chadema should never repeat those grave mistakes again
 
Unashauri CHADEMA wampokee MFUNGWA mtarajiwa Ili iweje?

Hujui kuwa wizi wa kura ni kosa la jinai kama wizi mwingine,tena wizi wa kura ni mbaya zaidi.
 
Bila kuwachosha kichwa habari kunajitosheleza. Si watz wanataka wasema Ukweli. Basi nape ni msema ukweli.

Ccm hawawapendi wasema ukweli.

Hivyo upindazi na hasa chadema achague hii karata.

Mtakuja kunishukuru.

Mbinu zote za ushindi anazijua
Nape hawezi kuishi nje ya mfumo wa ccm... Utamuona muda si mrefu ataelekeza litumbo lake kwenda kuomba msamaha kwa SSH
 
Bila kuwachosha kichwa habari kunajitosheleza. Si watz wanataka wasema Ukweli. Basi nape ni msema ukweli.

Ccm hawawapendi wasema ukweli.

Hivyo upindazi na hasa chadema achague hii karata.

Mtakuja kunishukuru.

Mbinu zote za ushindi anazijua
Ngoja sasa Faili ya Dawa za Kulevya liwekwe tayari tayari. Tafadhali sitaki kabisa Kuulizwa Swali lolote kuhusu hilo File.
 
Bila kuwachosha kichwa habari kunajitosheleza. Si watz wanataka wasema Ukweli. Basi nape ni msema ukweli.

Ccm hawawapendi wasema ukweli.

Hivyo upindazi na hasa chadema achague hii karata.

Mtakuja kunishukuru.

Mbinu zote za ushindi anazijua
Hana lolote...
 

Attachments

  • IMG-20240724-WA0000.jpg
    IMG-20240724-WA0000.jpg
    70.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom