Pre GE2025 CHADEMA fufueni matawi yenu nchi nzima ili wapokee mafuriko ya wanachama wapya

Pre GE2025 CHADEMA fufueni matawi yenu nchi nzima ili wapokee mafuriko ya wanachama wapya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Mimi siyo mwandishi mzuri sana. Ni msanii wa mjini tu, najua kukuimbisha ukaelewa somo na ukafanya maamuzi sahihi.

Baada ya Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA kukamilika hapo 22 January 2025. Wamejitokeza watu wengi sana kutaka kujiunga na CHADEMA.

MAONI YANGU:
  1. CHADEMA kupitia uongozi wa wilaya na Kata kufufua matawi na misingi yote nchi nzima ili kuwapokea na kuwasajili wanachama wapya.
  2. CHADEMA isitumie makao makuu pekee kwa shughuli za kupokea wanachama.
  3. Chama kianze kujengwa huko chini ili kuipa nguvu sera ya Lisu ya kuwapa nguvu wanachama kuliko chama kuwa ni makao makuu pekee
  4. Fungate la ushindi lisiwe la muda mrefu maana Oktoba haipo mbali
 
Wafufue matawi kwa pesa zipi walizonazo? Huko matawini wanategemea pesa za makao makuu,makao makuu wanssems pesa hawana hadi mbowe aingie mfukoni mwake

Sasa zamu ya Lisu kutoa hela mfukoni mwake kufufua hayo matawi
 
Wafufue matawi kwa pesa zipi walizonazo? Huko matawini wanategemea pesa za makao makuu,makao makuu wanssems pesa hawana hadi mbowe aingie mfukoni mwake

Sasa zamu ya Lisu kutoa hela mfukoni mwake kufufua hayo matawi
Kwani haya matawi yanaendeshwa kwa hela toka makao makuu? Tumia japo hiyo akili kiduchu uliyonayo kuliko kutumia kinyeo.
 
Mimi siyo mwandishi mzuri sana. Ni msanii wa mjini tu, najua kukuimbisha ukaelewa somo na ukafanya maamuzi sahihi.

Baada ya Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA kukamilika hapo 22 January 2025. Wamejitokeza watu wengi sana kutaka kujiunga na CHADEMA.

MAONI YANGU:
  1. CHADEMA kupitia uongozi wa wilaya na Kata kufufua matawi na misingi yote nchi nzima ili kuwapokea na kuwasajili wanachama wapya.
  2. CHADEMA isitumie makao makuu pekee kwa shughuli za kupokea wanachama.
  3. Chama kianze kujengwa huko chini ili kuipa nguvu sera ya Lisu ya kuwapa nguvu wanachama kuliko chama kuwa ni makao makuu pekee
  4. Fungate la ushindi lisiwe la muda mrefu maana Oktoba haipo mbali
mafuriko kwa vile Lisu kawa Mwenyekiti?
 
Kwani haya matawi yanaendeshwa kwa hela toka makao makuu? Tumia japo hiyo akili kiduchu uliyonayo kuliko kutumia kinyeo.
Muulize Lisu mwenyewe kwenye kampeni zake akimchafua Mbowe alisema pesa za Chadema hazifiki matawini toka makao makuu

Alipokuwa akisema alikuwa hajui hayo?

Sasa kashika ofisi azifikishe hizo hela zilizoko.makao makuu zifike chini matawini

Njia ya muongo huwa fupi sana
 
Wafufue matawi kwa pesa zipi walizonazo? Huko matawini wanategemea pesa za makao makuu,makao makuu wanssems pesa hawana hadi mbowe aingie mfukoni mwake

Sasa zamu ya Lisu kutoa hela mfukoni mwake kufufua hayo matawi
Tupo tayari kuchangia kwa pesa yetu, tumechoka na CCM, tunaitaka Tanganyika Yetu!
 
Muulize Lisu mwenyewe kwenye kampeni zake akimchafua Mbowe alisema pesa za Chadema hazifiki matawini toka makao makuu

Alipokuwa akisema alikuwa hajui hayo?

Sasa kashika ofisi azifikishe hizo hela zilizoko.makao makuu zifike chini matawini

Njia ya muongo huwa fupi sana
Kwenye matawi hatuhitaji hizo fedha tunajitolea tu,tumejenga hata ofisi kwa kujitolea.
 
Kwenye matawi hatuhitaji hizo fedha tunajitolea tu,tumejenga hata ofisi kwa kujitolea.
Kwa nini lisu kampeni yake ya kumchafua Mbowe ili ashinde kwa ulaghai alisema pesa makao makuu ziko nyingi ila hazifiki matawini kwa kufujwa na Mbowe?

Azipeleke aache utapeli

Viongozi wa matawi mkomalieni Lisu mwambieni Pesa za Ruzuku mnazitaka matawini zisiishie makao makuu kama alivyoahidi kwenye kampeni

Mkomalieni hasa awape
 
Matawi ya Chadema msimuogope Lisu ,yeye muwazi na nyie kuweni wawazi kuwa Ruzuku ya Chadema inayopata lazima ifike kwenye matawi pia isiishie hewani halafu matawi mnatakiwa kuchangia

Mwambieni live matawini mnataka mgao wa ruzuku wa uwazi

Ruzuku shilingi ngapi zimeingia na kila tawi litapata shilingi ngapi nchi nzima?
 
Back
Top Bottom