Chadema hakijui mambo ya kufanya kama short run na haya ya kufanya kama long run vyote wanachanganya

Chadema hakijui mambo ya kufanya kama short run na haya ya kufanya kama long run vyote wanachanganya

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Nimemsikiliza Lema na wana Ufipa wengine bado naona Chadema hakijifunzi kwani ni wepesi sana kuhamishwa, hakina senta of interigensi, usemaji, mipango, mbinu, inafikia hatua wanasahau kama mwenyekiti anatupia ndoo.
Huu ulikuwa wakati mzuri sana wao kutulia na kukiangalia kimbunga cha CCM na kutengeneza stratejiki nzito lakini CCM wanajifunzaga kutoka kwa Chadema kwa sababu midomo yao ni mipana sana hawawezi kukaa na kitu hata dakika 1.

Mara utakuta wanawakumbusha vifungu vya sharia kama wamesahau na vingine vingi. mimi zamani nilikuwa najua CCM ni vichwa lakini baadaye nikaja kugungua kumbe Chadema ndiyo vichwa wanawasaidia kila wakitaka kufanya kosa wanarekebisha kutokana na midomo mipana ya Ufipa. Kwa kifupi Ufipa wako speedi 180 hata katika kona kali. Mfano ishu ya ndugai hamkutakiwa kuingilia zaidi ya kusoma mchezo kwa mbali.

Ukiwasikiliza unaweza changanyikiwa kuwa Ndugai kawa mtu mzuri au mama kawa mtu mzuri au nani kawa mtu mbaya. Tulieni CCM imezeeka ila wajukuu hamjatulia hamtapata urithi mapema. Chadema hakijui mambo ya kufanya kama short run na haya ya kufanya kama long run vyote wanachanganya ndiyo maana utasikia CCM itatawala milele wakati si kweli kilakitu chini ya jua lazima kife na kije kingine. tulieni na kuweni wavumilivu mnategemewa.
 
mheshimiwa mleta mada naomba ufafanuzi kwenye neno "ndoo"kabla ya kwenda kuchangia mada moja kwa moja...nawasilisha
 
Nimemsikiliza Lema na wana Ufipa wengine bado naona Chadema hakijifunzi kwani ni wepesi sana kuhamishwa, hakina senta of interigensi, usemaji, mipango, mbinu, inafikia hatua wanasahau kama mwenyekiti anatupia ndoo.
Huu ulikuwa wakati mzuri sana wao kutulia na kukiangalia kimbunga cha CCM na kutengeneza stratejiki nzito lakini CCM wanajifunzaga kutoka kwa Chadema kwa sababu midomo yao ni mipana sana hawawezi kukaa na kitu hata dakika 1.

Mara utakuta wanawakumbusha vifungu vya sharia kama wamesahau na vingine vingi. mimi zamani nilikuwa najua CCM ni vichwa lakini baadaye nikaja kugungua kumbe Chadema ndiyo vichwa wanawasaidia kila wakitaka kufanya kosa wanarekebisha kutokana na midomo mipana ya Ufipa. Kwa kifupi Ufipa wako speedi 180 hata katika kona kali. Mfano ishu ya ndugai hamkutakiwa kuingilia zaidi ya kusoma mchezo kwa mbali.

Ukiwasikiliza unaweza changanyikiwa kuwa Ndugai kawa mtu mzuri au mama kawa mtu mzuri au nani kawa mtu mbaya. Tulieni CCM imezeeka ila wajukuu hamjatulia hamtapata urithi mapema. Chadema hakijui mambo ya kufanya kama short run na haya ya kufanya kama long run vyote wanachanganya ndiyo maana utasikia CCM itatawala milele wakati si kweli kilakitu chini ya jua lazima kife na kije kingine. tulieni na kuweni wavumilivu mnategemewa.
Mara moja moja unawaza Kwa akili na busara.
 
swala Mbowe kuwa gereani sio kwamba lipo tu akilini mwetu, lipo moyoni mwetu 24/7 na karata zetu tumezichanga na kuzichanga.

nachoona mleta mada na mataga pori wenzako mko desperate na mpasuko unaoikabili CCM hadi mnataka kuwapangia watu cha kujadili.

Mbowe kufungwa kihuni na serikali yenu ya CCM hakutuondolei sisi uhalali wa kujadili chochote kinachoendelea hapa TZ.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanashangilia Hangaya kupiga nyundo bunge!

Subiri waje wakione akipiga nyundo mahakama wakati gaidi anahukumiwa
kijana wa sukuma gang unahamishia stress zako kwa mbowe baada ya ndugai wako kula mueleka 🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanashangilia Hangaya kupiga nyundo bunge!

Subiri waje wakione akipiga nyundo mahakama wakati gaidi anahukumiwa
Walau mnakiri kuwa kesi ya Mbowe ni ya mchongo na Hangaya Yuko nyuma ya maamuzi ya mahakama!
 
kijana wa sukuma gang unahamishia stress zako kwa mbowe baada ya ndugai wako kula mueleka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Lililokula mueleka no bunge, siyo Ndugai.

Subiri sasa mahakama ije ile mueleka siku gaidi anahukumiwa ndio utajua hujui
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Lililokula mueleka no bunge, siyo Ndugai.

Subiri sasa mahakama ije ile mueleka siku gaidi anahukumiwa ndio utajua hujui
bunge limedondoka since nyie mataga pori mnatetea kati hii inayompa rais mamlaka makubwa kupitiliza.

Kuhusu mbowe kufungwa sisi tumeshajiandaa kisaikolojia mfungeni hata miaka 100 ila cha moto mnakipata nyie mataga pori ambao hamjazoeya maumivu mmezoeya sana kudekezwa kama kuku jike.

Wewe ni mtetezi wa Ndugai personally kwasababu mko naye kwenye sukuma gang ndiyo maana unalia mno kama umefiwa na mume 🤣🤣🤣
 
Nimemsikiliza Lema na wana Ufipa wengine bado naona Chadema hakijifunzi kwani ni wepesi sana kuhamishwa, hakina senta of interigensi, usemaji, mipango, mbinu, inafikia hatua wanasahau kama mwenyekiti anatupia ndoo.
Huu ulikuwa wakati mzuri sana wao kutulia na kukiangalia kimbunga cha CCM na kutengeneza stratejiki nzito lakini CCM wanajifunzaga kutoka kwa Chadema kwa sababu midomo yao ni mipana sana hawawezi kukaa na kitu hata dakika 1.

Mara utakuta wanawakumbusha vifungu vya sharia kama wamesahau na vingine vingi. mimi zamani nilikuwa najua CCM ni vichwa lakini baadaye nikaja kugungua kumbe Chadema ndiyo vichwa wanawasaidia kila wakitaka kufanya kosa wanarekebisha kutokana na midomo mipana ya Ufipa. Kwa kifupi Ufipa wako speedi 180 hata katika kona kali. Mfano ishu ya ndugai hamkutakiwa kuingilia zaidi ya kusoma mchezo kwa mbali.

Ukiwasikiliza unaweza changanyikiwa kuwa Ndugai kawa mtu mzuri au mama kawa mtu mzuri au nani kawa mtu mbaya. Tulieni CCM imezeeka ila wajukuu hamjatulia hamtapata urithi mapema. Chadema hakijui mambo ya kufanya kama short run na haya ya kufanya kama long run vyote wanachanganya ndiyo maana utasikia CCM itatawala milele wakati si kweli kilakitu chini ya jua lazima kife na kije kingine. tulieni na kuweni wavumilivu mnategemewa.
Ufafanuzi hapo kwenye senta of interigensi kabla sijaendelea kuisoma paragraph ya pili. Au ndio unavizia uteuzi? Rudi shule Tena!
 
bunge limedondoka since nyie mataga pori mnatetea kati hii inayompa rais mamlaka makubwa kupitiliza.

Kuhusu mbowe kufungwa sisi tumeshajiandaa kisaikolojia mfungeni hata miaka 100 ila cha moto mnakipata nyie mataga pori ambao hamjazoeya maumivu mmezoeya sana kudekezwa kama kuku jike.

Wewe ni mtetezi wa Ndugai personally kwasababu mko naye kwenye sukuma gang ndiyo maana unalia mno kama umefiwa na mume [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo mmezoea kuona bunge linanajisiwa ndio maana mkashagilia sana hii ya juzi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo mmezoea kuona bunge linanajisiwa ndio maana mkashagilia sana hii ya juzi?
yani leo unalazimisha tushiriki kulia kwenye msiba wenu uliomkumba huyo Ndugai wako??

pambana na mwenyekiti wako wa CCM ambaye amekuagiza wewe UVCCM kupinga mchakato wa katiba mpya.
Yani wewe katiba mbovu ndiyo inakutia kidole alafu unakikatikia hicho kidole huku machozi yanakutoka unamlilia Ndugai 😂
 
yani leo unalazimisha tushiriki kulia kwenye msiba wenu uliomkumba huyo Ndugai wako??

pambana na mwenyekiti wako wa CCM ambaye amekuagiza wewe UVCCM kupinga mchakato wa katiba mpya.
Yani wewe katiba mbovu ndiyo inakutia kidole alafu unakikatikia huku machozi yanakutoka unamlilia Ndugai.
Ndugai hajakumbwa na msiba wowote! Ila bunge ndio limkumbwa na msiba!

Kama unabisha niambie Ndugai msiba wake ni upi? Kukosa uspika?
 
Baada ya kuunyamazisha upinzani mmeanza kutafunana wenyewe.
Mlianza na nape
Membe
Makamba
Kinana
Nape
Bashir
Polepole
Ndugai
Sabaya
Una uhakika gani ukiwa CCM hutashughulikiwa?
 
Ndugai hajakumbwa na msiba wowote! Ila bunge ndio limkumbwa na msiba!

Kama unabisha niambie Ndugai msiba wake ni upi? Kukosa uspika?
leo ndiyo umeona bunge limekumbwa na msiba baada ya basha ako ndugai kukatwa kichwa??

Tulipokuwa tunasema bunge ni dhaifu linanajisiwa na serikali kwa kuchota mapesa bila kushirikishwa bunge ulikua unazungusha kiono kama mota kuitetea huu upuuzi wa CCM.
Leo member mwenzako wa push gang amekatwa kichwa unatulazimisha tushiriki kumlilia.
 
Back
Top Bottom