Chadema hakina ukomavu kimejivua nguo Aibu.

Chadema hakina ukomavu kimejivua nguo Aibu.

lahe

Member
Joined
Oct 13, 2018
Posts
45
Reaction score
36
kwa yanayoendelea sasa ndani ya chadema kuna ombwe la uongozi na kutokuwepo kwa nidhamu, ustahimilivu na kuheshimiana. uchaguzi wa kidemokrasia huwa una sura ya ustaarabu. vyama vidogo visivyokuwa na succession plan ndiyo tatizo lake. Chama kilichotegemewa na wananchi kinaporomoka kama uyoga
 
Back
Top Bottom