Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Wahusika wataiona ssa hivi na kupima applicability yake!...Thanx and Keep such good ideas flowing in!
Ahahahahahaa...good idea but "ngumu sanaaaa banaaaaaaa"...kwa maana ya kwamba ukiritimba wa serikali ya ccm hautotoa hiyo nafasi....tbc=ccm tv & radio, star tv & radio= dialo's property ambaye pia ni mbunge wa ccm, clouds fm=radioya ccm, itv & radio one=vibaraka wa ccm...labda waanzishe ya kwao
Naamini itawasaidia sana hasa kwa upande wa vijijini na mijini pia. Wachague redio tatu kati ya Radio One, Radio Free Africa, TBC Taifa na Clouds FM.