Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Husika na mada tajwa hapo juu;
Chadema Ni chama kinachofanya siasa mfano wa kamali.
Niwaase CHADEMA hii nchi yetu si PAHALA pa kufanya VURUGU.
Tunajua viongozi wa chadema familia zao zote zipo ughaibun, tunaomba Msiwaponze watoto wa wenzenu wakaumizana kwenye maandamano.
Ndugu Watanzania tuwapuuze Chadema hiki chama ni chama Cha vurugu nchini
Chadema Ni chama kinachofanya siasa mfano wa kamali.
Niwaase CHADEMA hii nchi yetu si PAHALA pa kufanya VURUGU.
Tunajua viongozi wa chadema familia zao zote zipo ughaibun, tunaomba Msiwaponze watoto wa wenzenu wakaumizana kwenye maandamano.
Ndugu Watanzania tuwapuuze Chadema hiki chama ni chama Cha vurugu nchini