kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ni kweli... Kwenye hili wanakosea. Walipaswa kwenda mahakamani kuomba mkazo kwenye hukumu ya wakurugenzi wa majiji na halmashauri kusimamia uchaguzi.Chadema ni lini watapata funzo kuwa wananchi hawataki upuuzi wa maandamano basi wameshindwa kutumia njia mbadala kuhamasisha wanachama wao kujiandikisha wanaBwaza upuuzi kila kukicha usio na mafanikio!
Kwenye usaliti si kweli... Maaskari waliandamana kwa niaba yao!Wanachama wao ni wasaliti hatoki hata mmoja lakini kila kukicha maandamano yasiyo na tija!
Huwezi kwenda peponi bila kufa!Kwenye usaliti si kweli... Maaskari waliandamana kwa niaba yao!
Wauaji nao hufa!Huwezi kwenda peponi bila kufa!
Unazungumzia jambazi nae pia hufa!Wauaji nao hufa!
Kama wewe unavyoshindwa kwenda kwenye mikutano ya Samia mpaka usombwe kwa lorry π kama MNYAMAKAZI π€£π€£Wanachama wao ni wasaliti hatoki hata mmoja lakini kila kukicha maandamano yasiyo na tija!
Wewe na wenzakoUnazungumzia jambazi nae pia hufa!
Kama vile haupo Tanzania! Siku kabla ya siku yenyewe hukuona vitisho vya jeshi la polisi.Chadema ni lini watapata funzo kuwa wananchi hawataki upuuzi wa maandamano basi wameshindwa kutumia njia mbadala kuhamasisha wanachama wao kujiandikisha wanaBwaza upuuzi kila kukicha usio na mafanikio!
πππ ππ¦ππ¦ππ¦ ππππ₯ππππ¦πππ¨π ππ ππππππππ πͺπ π£π¦ππππ.Ni kweli... Kwenye hili wanakosea. Walipaswa kwenda mahakamani kuomba mkazo kwenye hukumu ya wakurugenzi wa majiji na halmashauri kusimamia uchaguzi.
Bora wao wana wajali wanachama wao kama wafalme!Kama wewe unavyoshindwa kwenda kwenye mikutano ya Samia mpaka usombwe kwa lorry π kama MNYAMAKAZI π€£π€£
Mbona Mbowe na mwanawe walijitokeza!Kama vile haupo Tanzania! Siku kabla ya siku yenyewe hukuona vitisho vya jeshi la polisi.
Wengi wanashindwa kukujibu wakidhani hauko sawa kichwani!
Ukiwemo!Wewe na wenzako
sasa waandamanaji wanaogopa polisi ? unaona waandamanaji wa kweli wa kenya walikuwa wanaandamana na wanajeshi wako mitaani chadema hakuna kitu hapo upinzani wa kudumu hawana mvuto piaKama vile haupo Tanzania! Siku kabla ya siku yenyewe hukuona vitisho vya jeshi la polisi.
Wengi wanashindwa kukujibu wakidhani hauko sawa kichwani!
Umemchana akikujibu niite!sasa waandamanaji wanaogopa polisi ? unaona waandamanaji wa kweli wa kenya walikuwa wanaandamana na wanajeshi wako mitaani chadema hakuna kitu hapo upinzani wa kudumu hawana mvuto pia