SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
CHADEMA isitafute mchawi kuenguliwa kwa wagombea wake katika nafasi za Udiwani na ubunge kwenye uchaguzi mkuu ambao kampeni zake zimeanza tangu Agosti 26, 2020 kwani hawakuwaandaa wagombea wake katika kuelewa sheria, kanuni na muongozo wa uchaguzi mkuu chini ya NEC.
Walishindwa kutoa wanasheria kama wanavyosimamia kesi za viongozi kuzunguka kanda kwa kanda kuhakikisha wagombea wote wanajaza fomu kwa usahihi na kukidhi taratibu zinazotakiwa?
Mfano: Mgombea ubunge jimbo la Moshi Vijijini Lucy Owenya kama anavyofahamika alijaza jina tofauti na vitambulisho vyake vya Taifa badala yake anajaza majina ya a.k.a, Kura na Leseni yake ya gari. Pia alishindwa kujaza jina la chama chake kinachomdhamini pamoja na kutokusaini fomu ya uteuzi. Sasa makosa ya aina hii unamlaumu nani?
Picha hizi hapa chini zitakusaidia uelewa.
Walishindwa kutoa wanasheria kama wanavyosimamia kesi za viongozi kuzunguka kanda kwa kanda kuhakikisha wagombea wote wanajaza fomu kwa usahihi na kukidhi taratibu zinazotakiwa?
Mfano: Mgombea ubunge jimbo la Moshi Vijijini Lucy Owenya kama anavyofahamika alijaza jina tofauti na vitambulisho vyake vya Taifa badala yake anajaza majina ya a.k.a, Kura na Leseni yake ya gari. Pia alishindwa kujaza jina la chama chake kinachomdhamini pamoja na kutokusaini fomu ya uteuzi. Sasa makosa ya aina hii unamlaumu nani?
Picha hizi hapa chini zitakusaidia uelewa.