Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutimiza matakwa ya sheria!
Wanafata sheria
Formalities tuuuu......hakuna kuwaaaminiii
Uwe na akili, mtu huyo huyo unaweza ukamuamini kwenye hili lakini usimuamini kwenye lile..!!!
Polisi ni kama maji tu, hakuna namna unaweza ukakwepa kukutana nao
Kuamini na kufata sheria aviakai nyumba mojaaUnalindwa vipi na mtu usiye muamini IF I MAY ASK SIR?
Wanafuata sheria inasemaje ndugu yangu, ni sawasa kabisa kama vile walivyopigwa marufuku, lakini wakaangalia msaafu unasemaje. Msaafu unataka kuwataarifu tu polisi ili watoe ulinzi.
Mbona wamewahi kufanya hayo maandamano na wakalindwa? Muhimu wamesisitiza ya AmaniFormalities tuuuu......hakuna kuwaaaminiii
Na kama co Hayawani.Utakuwa mpumbavu
Niko hapo hapo= mgoni wako umpe kazi ya kumlinda mkeoWanafuata sheria inasemaje ndugu yangu, ni sawasa kabisa kama vile walivyopigwa marufuku, lakini wakaangalia msaafu unasemaje. Msaafu unataka kuwataarifu tu polisi ili watoe ulinzi.
Ndio sheria inavyotaka....... 😕