cheki hapo chini umsome mnyaki mwenzako. utasutwaMwongo wewe
Huyo mzee huwa anafanya biashara ya kuuza kababu kwenye mabasi ya dar-mby/kyela. Anapanda kyela anenda kushuka makambako na jioni anarudi na mabasi hayohayo, wamemzoea wanampandisha bure. Ni muongeaji balaa, kama ndio ameamua kufanya kampeni basi atakua amevuta watu wengi sana. Hongera zake
wewe utakuwa lazima mnufaikaji wa epa ama scandal nyinginezo, maana kwenu nyie, dr. Slaa ni maangamizi. Acha kujiharishia kabla ya wakati, ila lazima mtinge mahakamani.
Chadema hoyeeeee! Tanzania mpya hoyeeeeeeeeeeeeeeeee!
Nasikuzote tunasema hiki CHADEMA ni mtandao wa kikatoliki, kampeni zao makanisani, maombi kwa yesu ndio sera zao.
Subirini kama mtashinda kwa maombi, yangekuwa yanasaidia mchungaji Slaa asingekimbia kanisani kukimbilia siasa
Tunataka sera sio maombi. Kumchagua Slaa nikuangamiza nchi !!!
Wewe utakuwa lazima MNUFAIKAJI wa EPA ama scandal nyinginezo, maana KWENU NYIE, DR. SLAA ni maangamizi. Acha kujiharishia kabla ya wakati, ILA lazima mtinge mahakamani.
CHADEMA hoyeeeee! TANZANIA MPYA hoyeeeeeeeeeeeeeeeee!
Mageuzi huanza kwa mtu mmoja mmoja na baadaye kuhamia mtaani na baadaye kijiji halafu kata, Taafa wilaya baadaye mkoa na nchi nzima...........................kwa hiyo huo ni mwamko mzuri wa kuwajengea wajukuu wetu mazingira mazuri ya kuishi..............Akiingia huwa anawaongoza watu wote sara ya kuombea uchaguzi wa amani then baada ya sara anawaambia watu ujumbe wake ambao ni kuwa CCM imechoka kazi sasa ni zamu ya CHADEMA vinginevyo maisha yataendelea kuwa magumu daily
Nasikuzote tunasema hiki CHADEMA ni mtandao wa kikatoliki, kampeni zao makanisani, maombi kwa yesu ndio sera zao.
Subirini kama mtashinda kwa maombi, yangekuwa yanasaidia mchungaji Slaa asingekimbia kanisani kukimbilia siasa
Tunataka sera sio maombi. Kumchagua Slaa nikuangamiza nchi !!!
nasikuzote tunasema hiki chadema ni mtandao wa kikatoliki, kampeni zao makanisani, maombi kwa yesu ndio sera zao.
Subirini kama mtashinda kwa maombi, yangekuwa yanasaidia mchungaji slaa asingekimbia kanisani kukimbilia siasa
tunataka sera sio maombi. Kumchagua slaa nikuangamiza nchi !!!
Kuna baadhi ya maeneo ya Tanzania kuna watu wanafanya kampeni very creative.
Kuna mzee huwa anapanda daladala toka Kyela anakuja nayo mpaka boda/Kasumulu na kushuka.
Akiingia huwa anawaongoza watu wote sara ya kuombea uchaguzi wa amani then baada ya sara anawaambia watu ujumbe wake ambao ni kuwa CCM imechoka kazi sasa ni zamu ya CHADEMA vinginevyo maisha yataendelea kuwa magumu daily.
Nasikuzote tunasema hiki CHADEMA ni mtandao wa kikatoliki, kampeni zao makanisani, maombi kwa yesu ndio sera zao.
Subirini kama mtashinda kwa maombi, yangekuwa yanasaidia mchungaji Slaa asingekimbia kanisani kukimbilia siasa
Tunataka sera sio maombi. Kumchagua Slaa nikuangamiza nchi !!!
Swadakta. Huo mtandao mtakatifu wa kanisa kumweka madarakani Padri Slaa.
Sijui lakini kama watafanikiwa kwani hata akinawa ali