Uchaguzi 2020 CHADEMA hofu yatanda: Wajuta kumpendekeza Lissu kuwa mgombea Urais, Nyalandu ana ukwasi na sifa za kupeperusha bendera yao

OTTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
476
Reaction score
330
Baada ya wajumbe kutathini mwenendo wa namna bw. Lissu anavyotafuta wadhamini huko mikoani, hofu na giza kuu limetamalaki hapo UFIPA, baada ya kuona muda wote Lisu ni mtu wa kutukana Serikali iliyopo madarakami na kushawishi wananchi waingie barabarani pindi jina lake lisiporudi kwa ajili ya kampeni ya kuwania urais wa JMT.

Wajumbe wamethibitisha kuwa yawezekana huyu ana agenda yake aliyotoka nayo huko kwa mabeberu, kwani haiwezekani ahofie jina lake kukatwa, mbona wengine hawana hofu kama ACT, CUF, CCM, n.k. na wanatafuta wadhamini huko mikoani kimyakimya.

Hofu inakuwa yawezekana kwa matendo yake anayoyafanya wakati wa kutafuta wadhamini anajua dhahili atakosa sifa za kuteuliwa hivyo nafanya hivyo kuitishia NEC ili wasifanye maamuzi ya kuteua kwa kufuta misingi, sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa kwa kumuogopa Lisu afanyiwe anavyotaka yeye ateuliwe hata kama hana sifa.

Wajumbe wameona mwenendo huo wa kuhamasisha vurugu kwa ajili ya uvunjifu wa amani wanajuta wanaona ni heri wangeendelea na Bw. Nyalandu ambaye alikuwa mshindi wa kwanza kwenye kura za maoni, kwani anazo sifa za kufanya kampeni za ustaarabu zisizo kuwa na chuki miongoni mwa Watanzania.

Pia wanasema chama hakina pesa za kukodi helcopter kutoka Kenya, ya kumzungusha nchi nzima na kuwalipa waandishi wa habari kwa muda wa siku sitini na kulipia Redio na TV. wanahofu ya mgombea wao kutopata mvuto kwa wananchi wa Tanzania bara na visiwani. Mwenyekiti wao alisikika akisema ni heri wangempitisha BW. NYALANDU yeye anaukwasi ambao unaweza kufanya kampeni bila wasiwasi wowote na kuwalipa waandishi na TV zote kwa kipindi chote cha kampeni. Wanajipanga kupitisha bakuli kwa wananchi ili wanusulu kampeni zao.
 
Mkuu kuwa mpole, wakati wa kuelezea sera bado. Subiri kipenga kipulizwe. Mumeshikwa pabaya
 
Yale mabilioni ya Akina Lijuakali na wabunge wengine waliokuwa wanakatwa na chama yako wapi? Itakuwa mwemyekiti mbowe alishayatia mfukoni kitamboo
 
Yale mabilioni ya Akina Lijuakali na wabunge wengine waliokuwa wanakatwa na chama yako wapi? Itakuwa mwemyekiti mbowe alishayatia mfukoni kitamboo
Kwa sasa wanajuta sana, alikuwa anawakata bila kujua kama huko mbeleni kuna kazi kubwa inayohitaji pesa. Sasa wanafikilia kuwachangisha raia wapate pesa za Coverage kwenye media na magazeti.
 
Walijua tu kwamba hakuna haja ya kuwa na mgombea wa maana. Wanajua hakuna nafasi ya kushinda, ikiwepo nafasi hiyo unadhani Mbowe angemwachia Lissu? Si uliona nafasi ya M/kiti?
 
Kila tunapowambia kuwa wagombea wa upinzani ni wajasiriamali hawaelewi, Watanzania wazalendo hawawezi kuuza nchi.
 
Naunga mkono hoja.
 
Siasa inakaribia kuanza kufanyika baada ua ccm kuzuia siasa kwa miaka mitano, subirini mtaona yajayo.
 
Mkuu Otter, hili jinamizi liwatatesa sana. Kama ktk kutafuta tu wadhamini ni hivi! Je! Kampeni zikianza si itakuwa ni balaa kabisa.
Mbenge, hao unao waona ni mashabiki tuu, hakuna mpiga kura. Wapiga kura wapo wametulia nyumbani wanaendelea kulinda visu vyao visiibiwe, wazee wameviweka kibindoni wanawaangalia tuu. tukutane 28 oktoba hapo ndipo mtajuta na kusaga meno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…