Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
CHADEMA imekuwa na utamaduni na tabia ya kuwapanga na kuwasimamisha watia nia wake wa nafasi mbalimbali za uongozi utafikiri watoto wadogo wa shule ya msingi au sekondari.
Hivi kweli CHADEMA inashindwa kuchukua ukumbi wenye hadhi na viti vya kutosha watia nia wote mpaka ianze kuwadhalilisha kiasi hiki? Hivi huu ni uungwana kweli? Kwanini uwafanye watu wazima kama watoto? Kwanini uwatese watu wazima kama watuhumiwa wa wizi au watumwa?
Ndio nini hivi sasa? Inajenga picha gani? Kwanini ujenge Mkubwa? Kwanini msiwape heshima zao? Hawa si ni viongozi wa kesho tena wa nafasi za juu kabisa za chama? Mnaiga kutoka wapi?
Kwanini chama kifanye mambo kibabaishaji kiasi hiki? Embu acheni mara moja tabia na utamaduni huu ambao siyo wa kiungwana wala wenye kuleta picha nzuri.halafu bila aibu wala haya mnawapiga na picha utafikiri manamba.
Ona sasa wanavyotia huruma na kujikatia tamaa. sizani hata kama wamepata au kuweka chochote kile kwenye matumbo yao.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CHADEMA imekuwa na utamaduni na tabia ya kuwapanga na kuwasimamisha watia nia wake wa nafasi mbalimbali za uongozi utafikiri watoto wadogo wa shule ya msingi au sekondari.
Hivi kweli CHADEMA inashindwa kuchukua ukumbi wenye hadhi na viti vya kutosha watia nia wote mpaka ianze kuwadhalilisha kiasi hiki? Hivi huu ni uungwana kweli? Kwanini uwafanye watu wazima kama watoto? Kwanini uwatese watu wazima kama watuhumiwa wa wizi au watumwa?
Ndio nini hivi sasa? Inajenga picha gani? Kwanini ujenge Mkubwa? Kwanini msiwape heshima zao? Hawa si ni viongozi wa kesho tena wa nafasi za juu kabisa za chama? Mnaiga kutoka wapi?
Kwanini chama kifanye mambo kibabaishaji kiasi hiki? Embu acheni mara moja tabia na utamaduni huu ambao siyo wa kiungwana wala wenye kuleta picha nzuri.halafu bila aibu wala haya mnawapiga na picha utafikiri manamba.
Ona sasa wanavyotia huruma na kujikatia tamaa. sizani hata kama wamepata au kuweka chochote kile kwenye matumbo yao.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.