CHADEMA ijayo chini ya Lissu: Godbless Lema, Makamu upande wa Bara; John Heche, Katibu Mkuu

CHADEMA ijayo chini ya Lissu: Godbless Lema, Makamu upande wa Bara; John Heche, Katibu Mkuu

Baada ya John Heche na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga mkono Lissu.

Huu ndio utabiri wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu atashinda.

Imeisha hiyo
huyo mnyang"anyi wa malori,
kwanza hatapata kura za wajumbe wa mkutano mkuu kutoka kanda yake ya kaskazini, kwasababu amevundunda na kuwavuruga sana watu wa kaskazini kwa uongozi mbovu sana.

kiufupi huyo mnyang"anyi wa malori hana recordi nzuri ya uongozi ndani ya chadema na hata alivyokua mbunge.

kwahiyo,
mnyang'anyi hastahili tena kuwepo meza kuu ya chama kutokana na hulka ya uropokaji na mdomo sambabamba na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.

hakuna mahali hawa wangwana wanaweza kuongoza taasisi na ikaendelea, itavunjika au kukimbiwa na watu hawa jamaa wakiwa viongozi. hekima na busara vimewapita pembeni kabisa hawa jamaa :pulpTRAVOLTA:
 
huyo mnyang"anyi wa malori,
kwanza hatapata kura za wajumbe wa mkutano mkuu kutoka kanda yake ya kaskazini, kwasababu amevundunda na kuwavuruga sana watu wa kaskazini kwa uongozi mbovu sana.

kiufupi huyo mnyang"anyi wa malori hana recordi nzuri ya uongozi ndani ya chadema na hata alivyokua mbunge.

kwahiyo,
mnyang'anyi hastahili tena kuwepo meza kuu ya chama kutokana na hulka ya uropokaji na mdomo sambabamba na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.

hakuna mahali hawa wangwana wanaweza kuongoza taasisi na ikaendelea, itavunjika au kukimbiwa na watu hawa jamaa wakiwa viongozi. hekima na busara vimewapita pembeni kabisa hawa jamaa :pulpTRAVOLTA:
tulia uone mambo
 
Baada ya John Heche kuonyesha kumuunga mkono Lissu na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga umakamu, huu ndio mtazamo wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu arashinda.

Imeisha hiyo.
Safu ya kufikirika
 
Baada ya John Heche kuonyesha kumuunga mkono Lissu na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga umakamu, huu ndio mtazamo wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu arashinda.

Imeisha hiyo.


Chadema sasa kitakuwa chama cha watanzania wote na sio hii Chadema ya Mbowe na Watu wachache wanaoutumia kupiga Ruzuku na maridhiano ya kuamba asali na rushwa ili kuzibwa midomo kwa sifa za busara za kizuzu.

Unajua hata zuzu likikaa kimya kwa kutokujua cha kuongea linaonekana lina busara .

Siasa ni harakati na kujenga hoja sasa kama unasifiwa halafu unaua chama chako eti ndiyo busara ya Mbowe huo ni uamuzi.


Wenje De dalali mkuu Tanzania na Afrika na dunia kwa ujumla
 
Baada ya John Heche kuonyesha kumuunga mkono Lissu na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga umakamu, huu ndio mtazamo wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu arashinda.

Imeisha hiyo.
Ndoto za mwaka 2020
 
Keep on dreaming....hatuwezi kuwapa chama watu wanaoshinda clubhouse wakikiponda chama kilichowakuza.
Hata kama ukiota ndevu baba yako aliyekukuza ni lazima umpe heahima zake zote.
 
Chadema mnaionaje!!!
Ogopa chama kinacho chagua viongozi wake kwa kujaza fomu ,kuomba kura na kupigiwa kura ngazi ya Taifa!
CCM inafanya hivyo ngazi za Tawi,Kata,Wilaya na Mkoa TU
Kulikobakia ni kujuana ,ukabila,ukanda,udini na ujomba
 
Chadema sasa kitakuwa chama cha watanzania wote na sio hii Chadema ya Mbowe na Watu wachache wanaoutumia kupiga Ruzuku na maridhiano ya kuamba asali na rushwa ili kuzibwa midomo kwa sifa za busara za kizuzu.

Unajua hata zuzu likikaa kimya kwa kutokujua cha kuongea linaonekana lina busara .

Siasa ni harakati na kujenga hoja sasa kama unasifiwa halafu unaua chama chako eti ndiyo busara ya Mbowe huo ni uamuzi.


Wenje De dalali mkuu Tanzania na Afrika na dunia kwa ujumla
chadema mpya inakuja, ni chadema chini ya lissu
 
Back
Top Bottom