Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Na iwe hivyo- Amen- Salary slip. Mafisadi wapelekewe moto 🙂Baada ya John Heche na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga mkono Lissu, huu ndio urabiri wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu arashinda.
Imeisha hiyo
Maccm mnahangaika!Ni ngumu sana lissu kushinda
huyo mnyang"anyi wa malori,Baada ya John Heche na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga mkono Lissu.
Huu ndio utabiri wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu atashinda.
Imeisha hiyo
Unakosea cjawai kua CCM ila naongea ukweli kwasababu nauzoefu na siasa za chademaMaccm mnahangaika!
tulia uone mambohuyo mnyang"anyi wa malori,
kwanza hatapata kura za wajumbe wa mkutano mkuu kutoka kanda yake ya kaskazini, kwasababu amevundunda na kuwavuruga sana watu wa kaskazini kwa uongozi mbovu sana.
kiufupi huyo mnyang"anyi wa malori hana recordi nzuri ya uongozi ndani ya chadema na hata alivyokua mbunge.
kwahiyo,
mnyang'anyi hastahili tena kuwepo meza kuu ya chama kutokana na hulka ya uropokaji na mdomo sambabamba na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
hakuna mahali hawa wangwana wanaweza kuongoza taasisi na ikaendelea, itavunjika au kukimbiwa na watu hawa jamaa wakiwa viongozi. hekima na busara vimewapita pembeni kabisa hawa jamaa
Safu ya kufikirikaBaada ya John Heche kuonyesha kumuunga mkono Lissu na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga umakamu, huu ndio mtazamo wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu arashinda.
Imeisha hiyo.
gentleman,tulia uone mambo
Baada ya John Heche kuonyesha kumuunga mkono Lissu na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga umakamu, huu ndio mtazamo wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu arashinda.
Imeisha hiyo.
Ndoto za mwaka 2020Baada ya John Heche kuonyesha kumuunga mkono Lissu na Godbless Lema kuonyesha nia ya kugombea na kumuunga umakamu, huu ndio mtazamo wangu wa itavyokuwa CHADEMA chini ya Lissu iwapo Lissu arashinda.
Imeisha hiyo.
chadema mpya inakuja, ni chadema chini ya lissuChadema sasa kitakuwa chama cha watanzania wote na sio hii Chadema ya Mbowe na Watu wachache wanaoutumia kupiga Ruzuku na maridhiano ya kuamba asali na rushwa ili kuzibwa midomo kwa sifa za busara za kizuzu.
Unajua hata zuzu likikaa kimya kwa kutokujua cha kuongea linaonekana lina busara .
Siasa ni harakati na kujenga hoja sasa kama unasifiwa halafu unaua chama chako eti ndiyo busara ya Mbowe huo ni uamuzi.
Wenje De dalali mkuu Tanzania na Afrika na dunia kwa ujumla
CCM ngazi ya Taifa hawadhubutuFanyeni uchaguzi huru, wa haki na kwa uwazi.
Mbele ya Lissu, Lema na Heche nchi itawaka moto.CCM ngazi ya Taifa hawadhubutu
Ni kweli, kama vile vile ilivyokuwa ngumu kwa MWABUKUSI, mgombea urais wa TLS ambaye hakutakiwa kabisa na mbogamboga, lakini ALISHINDA kwa kishindoNi ngumu sana lissu kushinda
TLS sio wapiga kura ,ninarudia kusema!Ni kweli, kama vile vile ilivyokuwa ngumu kwa MWABUKUSI, mgombea urais wa TLS ambaye hakutakiwa kabisa na mbogamboga, lakini ALISHINDA kwa kishindo