CHADEMA ikiingia madarakani Ikulu kuhamia Dodoma!

CHADEMA ikiingia madarakani Ikulu kuhamia Dodoma!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Kutokana na ubadhirifu unaofanywa na watumishi wa serikari kuu na muundo mbovu wa utumishi wa umma usiokuwa na wajibu wakumuwajibisha mtumishi anaye fanya ufisadi ndani ya wizara na taaasisi za serikali.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kitatoa kipa umbele kwakuhamisha serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dodoma kama ilivyo kwenye ramani ya dunia kuwa Makao makuu ya serikali ni Dodoma na kwenye makaratasi!

Hii itatoa nafasi nzuri kwa kutengeneza serikali yenye watumishi wachache lakini wenye tija tofauti na sasa watumishi ni wengi na wengi hawanakazi ya kufanya kila siku wapo katika miradi yao binafsi na hakuna njia ya kuwabana kwakuwa hawana shughuli ya kufanya!

Mifano ni mingi tukianza na mfumo uliopo kwenye Wizara ya Fedha hakuna udhibiti wa moja kwamoja kwakuwa vitengo nivingi na haviko kimpangilio!!
Wizara ya Kilimo ndo kabisa!

Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa nakwenyewe usiseme ulisikia walikuwa wamepiga pesa ndefu hii nikwakuwa walishtukiwa lakini line kama hizi zilishafanyika siku nyingi!
Wizara ni nyingi zinahitaji marekebisho!
 
Kwanza washinde uchaguzi hayo mengine ndio yafuatie.
 
Kama kujenga makao yao makuu wameshindwa wamebanana kwenye kibanda pale.Hayo ya kushika serikali na kuhamia Dodoma ni ndoto za mchana
 
Kama kujenga makao yao makuu wameshindwa wamebanana kwenye kibanda pale.Hayo ya kushika serikali na kuhamia Dodoma ni ndoto za mchana

Kwani hayo makao ya ccm nchi nzima na hiyo miradi waliyo nayo wametoa wapi pesa kama sio pesa za wananchi?

Tulichangishwa pesa kwalazima kwaajili ya ujenzi wa makao makuu dodoma tangu miaka ya 80, lakini sisiemu ikafanya mali zao.

Ccm wasimame waseme ni mali gani waliyoipata miaka ya nyuma kabla ya vyama vingi waliipata kwa halali, wezi wakubwa
 
Hehehheheh haya

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
kaka umesahau kusema wizara ya maliasilia kwani huko ndo uozo mtupu yani wewe acha tu tuombee uchaguzi 2015 ubadilike kishike chama kingine tuone kama wenzetu wakenya walivyo sasa
 
Kama kujenga makao yao makuu wameshindwa wamebanana kwenye kibanda pale.Hayo ya kushika serikali na kuhamia Dodoma ni ndoto za mchana

Unajua kabla ya kupata Uhuru 1961 na kuingia ofisi ya TANU ilikuwaje?

BibiNyerrecruiting.jpg
 
Huo wote ni uongo mtupu na ni uchu wa kutafuna pesa tu wanadanganya raia mambo yasiyowezekana
 
Makao makuu yao ni nyuma ya kupanga kinondoni.... wameshindwa kujenga ofisi yao kazi kukopana ruzuku
 
Kama kujenga makao yao makuu wameshindwa wamebanana kwenye kibanda pale.Hayo ya kushika serikali na kuhamia Dodoma ni ndoto za mchana

We kilaza kwani Makao makuu ya CCM yanawasaidia nini Watanzania?? Au na wewe unatumia MASABURI ku-TINK??
 
kutokana na ubadhirifu unaofanywa na watumishi wa serikari kuu na muundo mbovu wa utumishi wa umma usiokuwa na wajibu wakumuwajibisha mtumishi anaye fanya ufisadi ndani ya wizara na taaasisi za serikali, chama cha demokrasia na maendeleo kitatoa kipa umbele kwakuhamisha serikali ya jamuhuri ya muungano wa tanzania dodoma kama ilivyo kwenye ramani ya dunia kuwa makao makuu ya serikali ni dodoma na kwenye makaratasi!
Hii itatoa nafasi nzuri kwa kutengeneza serikali yenye watumishi wachache lakini wenye tija tofauti na sasa watumishi ni wengi na wengi hawanakazi ya kufanya kila siku wapo katika miradi yao binafsi na hakuna njia ya kuwabana kwakuwa hawana shughuli ya kufanya!
Mifano ni mingi tukianza na mfumo uliopo kwenye wizara ya fedha hakuna udhibiti wa moja kwamoja kwakuwa vitengo nivingi na haviko kimpangilio!!
Wizara ya kilimo ndo kabisa!
Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa nakwenyewe usiseme ulisikia walikuwa wamepiga pesa ndefu hii nikwakuwa walishtukiwa lakini line kama hizi zilishafanyika siku nyingi!
Wizara ni nyingi zinahitaji marekebisho!
na miradi yenye utata kama kigamboni pengine itapatiwa ufumbuzi maana sasa hivi ni machenga tu.
 
Back
Top Bottom