CHADEMA iliyoshindwa kujifanyia mageuzi inatuaminishaje tukiwapa nchi watafanya mageuzi?

CHADEMA iliyoshindwa kujifanyia mageuzi inatuaminishaje tukiwapa nchi watafanya mageuzi?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Tunashuhudia wafuasi wa CHADEMA humu mitandaoni wakiwa na imani kubwa sana na chama chao huku wakiwaamini viongozi wao mithili ya miungu watu kwamba eti tukiwapa ridhaa ya kuongoza nchi basi watafanya mambo makubwa kwelkweli.

Mbaya zaidi ni kwamba hata inapotokea failure ya mtu binafsi ndani ya serikali wao utawasikia wanalaumu akili za wanaccm.

Niwaambie ukweli tofauti kati ya ccm na CHADEMA ni ndogo kwa sababu kiongozi huandaliwa na mifumo ya malezi na makuzi elimu uzoefu pamoja na uwezo binafsi.

Kwa mantiki hiyo sitarajii jipya lolote kwa kuwa mifumo iliyowaandaa ccm ndiyo huwaandaa CHADEMA .

Nafasi pekee ambayo wangeitumia ni uwezo binafsi ambao nao sioni kama wanao maana tangu niifahamu CHADEMA haijabadili kitu chochote zaidi ya KUONDOA ukomo wa mwenyekiti.
 
Hui ni ukweli mchungu.

Japo najua wenyewe wakija majibu yao hayatajikita kwenye hii hoja. Mtu ambaye anang’ang’ania uenyekeiti wa chama tu, je tukimpa dola itakuaje?

Chacha Wangwe yalimkuta alipotaka uenyekiti

Hivohivo kwa Zitto et al.

Halafu mnajiita Chama cha Demokrasia

Nonsense! (in Mamas Voice)
 
Hui ni ukweli mchungu.

Japo najua wenyewe wakija majibu yao hayatajikita kwenye hii hoja. Mtu ambaye anang’ang’ania uenyekeiti wa chama tu, je tukimpa dola itakuaje?

Chacha Wangwe yalimkuta alipotaka uenyekiti

Hivohivo kwa Zitto et al.

Halafu mnajiita Chama cha Demokrasia

Nonsense! (in Mamas Voice)
Cohen ni jina lenye heshima sana ndani ya Israel na aliitumikia na kufia nchi yake sio politicians!nami ninaamini utalipa heshima jina hilo sio kuwa mnafiki, CCM imetawala nchi hii more than 60yrs huku Lingusenguse social services zote ni ZERO, na kama upo fair why hujiulizi ccm hawataki kuweka usawa kwenye uwanja wa kisiasa hapa nchini?

Kwako ni vema kabisa wao wafanye siasa wengine wapewe ban! Unafiki sio mzuri kabisa,chaguzi za vyama vingi vya kisiasa vipo much transparent ukilinganisha na chama dola.
 
Kwanini mnaiwazia Sana Chadema? Kama wewe uko smart na mambo yako, kwa nini usumbue akili yako kwa vitu/watu nonsense? Inavyoonyesha The Phylosopher ni mtu uliyejaa kisokorokwinyo Sana, na hasa juu ya Chadema. Itumie akili yako kufanya mambo yako kwa faida ya maisha yako. Epuka kuharibu afya ya akili yako kwa ajili ya Chadema.

Hicho ni chama kama vyama vingine, na kama unaona Kuna mambo ya msingi ungependa kufanya kwa faida ya uma, Ungana nao ili kuiwajibikia nchi yako, otherwise, take your time.
 
Kwanini mnaiwazia Sana Chadema? Kama wewe uko smart na mambo yako, kwa nini usumbue akili yako kwa vitu/watu nonsense? Inavyoonyesha The Philosopher ni mtu uliyejaa kisokorokwinyo Sana, na hasa juu ya Chadema. Itumie akili yako kufanya mambo yako kwa faida ya maisha yako. Epuka kuharibu afya ya akili yako kwa ajili ya Chadema.

Hicho ni chama kama vyama vingine, na kama unaona Kuna mambo ya msingi ungependa kufanya kwa faida ya uma, Ungana nao ili kuiwajibikia nchi yako, otherwise, take your time.
Yap kwakweli ninachojaribu kufanya hapa nataka waonyeshe uwezo wao wa kufanya mageuzi ili tuwe na vyama imara
 
Tunashuhudia wafuasi wa CHADEMA humu mitandaoni wakiwa na imani kubwa sana na chama chao huku wakiwaamini viongozi wao mithili ya miungu watu kwamba eti tukiwapa ridhaa ya kuongoza nchi basi watafanya mambo makubwa kwelkweli.

Mbaya zaidi ni kwamba hata inapotokea failure ya mtu binafsi ndani ya serikali wao utawasikia wanalaumu akili za wanaccm.

Niwaambie ukweli tofauti kati ya ccm na CHADEMA ni ndogo kwa sababu kiongozi huandaliwa na mifumo ya malezi na makuzi elimu uzoefu pamoja na uwezo binafsi.

Kwa mantiki hiyo sitarajii jipya lolote kwa kuwa mifumo iliyowaandaa ccm ndiyo huwaandaa CHADEMA .

Nafasi pekee ambayo wangeitumia ni uwezo binafsi ambao nao sioni kama wanao maana tangu niifahamu CHADEMA haijabadili kitu chochote zaidi ya KUONDOA ukomo wa mwenyekiti.
Malawi baada ya chama cha upinzani kuchukua madaraka maandamano yameanza Rushwa na ufisadi umeongezeka kwa kasi kubwa. Na hapa Tanzania Chadema hawanauwezo wa kuleta mabadiliko yeyote bali yale yale ya matumizi mabaya za fedha za Ruzuku na teuzi za kikabila ama kiundugu kama walivyokuwa wakifanya kwenye viti maalum yatafanyika kwenye teuzi kwenye serikali watakaounda hao CHADEMA.
Kabla ya kuzungumzia katiba mpya inabidii CHADEMA wajiulize kuhusu katiba ya chama chao inaruhusu vipi kuwa na Mwenyekiti kama Mfalme.
 
Yap kwakweli ninachojaribu kufanya hapa nataka waonyeshe uwezo wao wa kufanya mageuzi ili tuwe na vyama imara
CCM hawajawahi Kuwa na nia njema na mfumo wa siasa ya vyama vingi tangu mwanzo wa kuanzishwa kwake miaka ya 90. Watu wa aina yako ni sawa na mtu kusubiri mti uzae matunda bora wakati hujauwekea mazingira bora ya kuuwezesha kuzaa matunda bora.
Lakini kibaya zaidi ni ulalamishi, na wakati mwingine hata kejeli juu ya matunda utakayoyaona baada ya mti kuzaa.
Siasa za Tanzania zimejaa unafiki na utapeli unaopandikizwa kwa lengo la kuharibu image ya siasa zenyewe. Matokeo yake CCM wa naamini Wana akili sana kuliko wale wanaounga mkono vyama vingine.
Hii ni tabia ya umaskini, na ndiyo maana taifa letu kupata maendeleo ni ngumu, maana maendeleo ni matokeo ya fikra bora.
 
CCM hawajawahi Kuwa na nia njema na mfumo wa siasa ya vyama vingi tangu mwanzo wa kuanzishwa kwake miaka ya 90. Watu wa aina yako ni sawa na mtu kusubiri mti uzae matunda bora wakati hujauwekea mazingira bora ya kuuwezesha kuzaa matunda bora.
Lakini kibaya zaidi ni ulalamishi, na wakati mwingine hata kejeli juu ya matunda utakayoyaona baada ya mti kuzaa.
Siasa za Tanzania zimejaa unafiki na utapeli unaopandikizwa kwa lengo la kuharibu image ya siasa zenyewe. Matokeo yake CCM wa naamini Wana akili sana kuliko wale wanaounga mkono vyama vingine.
Hii ni tabia ya umaskini, na ndiyo maana taifa letu kupata maendeleo ni ngumu, maana maendeleo ni matokeo ya fikra bora.
Huna haja ya kusubiri ccm itengeneze mazingira mazuri ya washindani wake kushindana nao. Tatizo kubwa lililopo ni huko chadema kwenyewe Hali haiko vizuri
Watu wanakikimbia, kuna matukio ya kuvua watu uongozi na kuwafukuza kwa sababu za ajabuajabu kiufupi ni kwamba ccm inawatumia sana wale waliojeruhiwa huku chadema na kukimbilia huko
 
Tunashuhudia wafuasi wa CHADEMA humu mitandaoni wakiwa na imani kubwa sana na chama chao huku wakiwaamini viongozi wao mithili ya miungu watu kwamba eti tukiwapa ridhaa ya kuongoza nchi basi watafanya mambo makubwa kwelkweli.

Mbaya zaidi ni kwamba hata inapotokea failure ya mtu binafsi ndani ya serikali wao utawasikia wanalaumu akili za wanaccm.

Niwaambie ukweli tofauti kati ya ccm na CHADEMA ni ndogo kwa sababu kiongozi huandaliwa na mifumo ya malezi na makuzi elimu uzoefu pamoja na uwezo binafsi.

Kwa mantiki hiyo sitarajii jipya lolote kwa kuwa mifumo iliyowaandaa ccm ndiyo huwaandaa CHADEMA .

Nafasi pekee ambayo wangeitumia ni uwezo binafsi ambao nao sioni kama wanao maana tangu niifahamu CHADEMA haijabadili kitu chochote zaidi ya KUONDOA ukomo wa mwenyekiti.
Hao ccm walioshindwa kufanya mageuzi kwa miaka 60 sasa wanakuaminisha vipi kwamba waendelee kutawala nchi hii?!
 
Tunashuhudia wafuasi wa CHADEMA humu mitandaoni wakiwa na imani kubwa sana na chama chao huku wakiwaamini viongozi wao mithili ya miungu watu kwamba eti tukiwapa ridhaa ya kuongoza nchi basi watafanya mambo makubwa kwelkweli.

Mbaya zaidi ni kwamba hata inapotokea failure ya mtu binafsi ndani ya serikali wao utawasikia wanalaumu akili za wanaccm.

Niwaambie ukweli tofauti kati ya ccm na CHADEMA ni ndogo kwa sababu kiongozi huandaliwa na mifumo ya malezi na makuzi elimu uzoefu pamoja na uwezo binafsi.

Kwa mantiki hiyo sitarajii jipya lolote kwa kuwa mifumo iliyowaandaa ccm ndiyo huwaandaa CHADEMA .

Nafasi pekee ambayo wangeitumia ni uwezo binafsi ambao nao sioni kama wanao maana tangu niifahamu CHADEMA haijabadili kitu chochote zaidi ya KUONDOA ukomo wa mwenyekiti.
Kwa mtazamo wako ni bora kuendelea na Mkoloni CCM aliyeshindwa kuleta maageuzi kwa miaka 60 au ....!!

By the way, kuondoka kwa CCM madarakani tayari itakuwa ni Mageuzi Makubwa kabla ya lolote kufanyika.
 
Back
Top Bottom