The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Tunashuhudia wafuasi wa CHADEMA humu mitandaoni wakiwa na imani kubwa sana na chama chao huku wakiwaamini viongozi wao mithili ya miungu watu kwamba eti tukiwapa ridhaa ya kuongoza nchi basi watafanya mambo makubwa kwelkweli.
Mbaya zaidi ni kwamba hata inapotokea failure ya mtu binafsi ndani ya serikali wao utawasikia wanalaumu akili za wanaccm.
Niwaambie ukweli tofauti kati ya ccm na CHADEMA ni ndogo kwa sababu kiongozi huandaliwa na mifumo ya malezi na makuzi elimu uzoefu pamoja na uwezo binafsi.
Kwa mantiki hiyo sitarajii jipya lolote kwa kuwa mifumo iliyowaandaa ccm ndiyo huwaandaa CHADEMA .
Nafasi pekee ambayo wangeitumia ni uwezo binafsi ambao nao sioni kama wanao maana tangu niifahamu CHADEMA haijabadili kitu chochote zaidi ya KUONDOA ukomo wa mwenyekiti.
Mbaya zaidi ni kwamba hata inapotokea failure ya mtu binafsi ndani ya serikali wao utawasikia wanalaumu akili za wanaccm.
Niwaambie ukweli tofauti kati ya ccm na CHADEMA ni ndogo kwa sababu kiongozi huandaliwa na mifumo ya malezi na makuzi elimu uzoefu pamoja na uwezo binafsi.
Kwa mantiki hiyo sitarajii jipya lolote kwa kuwa mifumo iliyowaandaa ccm ndiyo huwaandaa CHADEMA .
Nafasi pekee ambayo wangeitumia ni uwezo binafsi ambao nao sioni kama wanao maana tangu niifahamu CHADEMA haijabadili kitu chochote zaidi ya KUONDOA ukomo wa mwenyekiti.